Kumbuka haya Pep Guardiola kabla ya mechi ya Barcelona vs Man City

Kumbuka haya Pep Guardiola kabla ya mechi ya Barcelona vs Man City

Mwambieni ajiandae na huku epl kuendelea kuchezea vipigo tu
 
Man City imekuwa nyepeeesi kama sufi. Falsafa ya tick-tack imedoda na inaonekana ni mfumo usioendana na soka la Uingereza. Atafute mfumo mwingine katika mechi ya marudiano la sivyo aandae makapu ya magoli.
 
Guardiola anamuamini sana kipa wake Bravo kwa mfumo wake lakini mpaka sasa ndio mchezaji aliyeboronga kuliko wote.
Halafu unapocheza na Barca ukacheza kama wanavyo cheza wao basi ujue utaumia sana.
 
Wana Jf

Tumkumbushe haya Pep Guardiola kabla ya mechi yake dhidi ya Barcelona.
Tumkumbushe ndugu yetu Pep kuwa kipind yupo Barcelona aliweza kuwatesa sana wenzie kifikra hadi kimwili kupitia mtu mmoja tu ambae ni Lionel Messi ambae nae anaenda kukumbana nae siku ya leo ingawa hayupo fit kimwili kama walivokutana nae wenzie.

Pep aliweza kukaa benchi la ufundi kipindi yupo Barcelona huku akijua kijana wake atamaliza kazi yote aliyomtuma.

Kwa mfano kama mechi dhidi ya Real Madrid akimuadhibu Mourinho ambae yupo nae EPL kwa sasa pia akimuazibu mzee wa watu Alex Ferguson mpaka kutetemeka au pale alimpomfanya mzee Wenger awalalamikie UEFA kuwa wanamuonea kumkutanisha na hiyo timu kila mara wakati mbaya wake yupo .

Note:
Pep Guardiola yule uliemtumia kuwaadhibu wenzio ndo yule yule anaenda kukuadhibu tena leo kama wenzio walivoadhibiwa au alivokuadhibu msimu wa 2014-2015 wa UEFA.

Kyenekyaka mkighanile une
Mkuu umetisha, na kweli ndicho kilichotokea. Pep kaadhibiwa kifo cha Mbwa mwizi.
 
Wana Jf

Tumkumbushe haya Pep Guardiola kabla ya mechi yake dhidi ya Barcelona.
Tumkumbushe ndugu yetu Pep kuwa kipind yupo Barcelona aliweza kuwatesa sana wenzie kifikra hadi kimwili kupitia mtu mmoja tu ambae ni Lionel Messi ambae nae anaenda kukumbana nae siku ya leo ingawa hayupo fit kimwili kama walivokutana nae wenzie.

Pep aliweza kukaa benchi la ufundi kipindi yupo Barcelona huku akijua kijana wake atamaliza kazi yote aliyomtuma.

Kwa mfano kama mechi dhidi ya Real Madrid akimuadhibu Mourinho ambae yupo nae EPL kwa sasa pia akimuazibu mzee wa watu Alex Ferguson mpaka kutetemeka au pale alimpomfanya mzee Wenger awalalamikie UEFA kuwa wanamuonea kumkutanisha na hiyo timu kila mara wakati mbaya wake yupo .

Note:
Pep Guardiola yule uliemtumia kuwaadhibu wenzio ndo yule yule anaenda kukuadhibu tena leo kama wenzio walivoadhibiwa au alivokuadhibu msimu wa 2014-2015 wa UEFA.

Kyenekyaka mkighanile une
Mkuu umetisha, na kweli ndicho kilichotokea. Pep kaadhibiwa kifo cha Mbwa mwizi.
 
1476945144449.jpg
 
Back
Top Bottom