Kumbuka haya Pep Guardiola kabla ya mechi ya Barcelona vs Man City

Kumbuka haya Pep Guardiola kabla ya mechi ya Barcelona vs Man City

kyene kyaka

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2016
Posts
318
Reaction score
318
Wana Jf

Tumkumbushe haya Pep Guardiola kabla ya mechi yake dhidi ya Barcelona.
Tumkumbushe ndugu yetu Pep kuwa kipind yupo Barcelona aliweza kuwatesa sana wenzie kifikra hadi kimwili kupitia mtu mmoja tu ambae ni Lionel Messi ambae nae anaenda kukumbana nae siku ya leo ingawa hayupo fit kimwili kama walivokutana nae wenzie.

Pep aliweza kukaa benchi la ufundi kipindi yupo Barcelona huku akijua kijana wake atamaliza kazi yote aliyomtuma.

Kwa mfano kama mechi dhidi ya Real Madrid akimuadhibu Mourinho ambae yupo nae EPL kwa sasa pia akimuazibu mzee wa watu Alex Ferguson mpaka kutetemeka au pale alimpomfanya mzee Wenger awalalamikie UEFA kuwa wanamuonea kumkutanisha na hiyo timu kila mara wakati mbaya wake yupo .

Note:
Pep Guardiola yule uliemtumia kuwaadhibu wenzio ndo yule yule anaenda kukuadhibu tena leo kama wenzio walivoadhibiwa au alivokuadhibu msimu wa 2014-2015 wa UEFA.

Kyenekyaka mkighanile une
 
1476896143771.jpg
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji123] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
ZAMU YA NANI LEO ZAMU YA GUARDIOLA

MKUU MESSI MSIKIE KWA WENGINE ILA USIOMBE TIMU YAKO IKUTANE NAYE NA HAPO NDIPO UNAPOJUA KWA NINI MABEKI WANAOGOPA KUKUTANA NAYE NA SIO KAMA YULE MZEE WA KIRENO
 
Nimetoka huko muda huu pana khatari ya mtu kupigwa mkono (5)kwa hali nilivyoiona
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Wana Jf

Tumkumbushe haya Pep Guardiola kabla ya mechi yake dhidi ya Barcelona.
Tumkumbushe ndugu yetu Pep kuwa kipind yupo Barcelona aliweza kuwatesa sana wenzie kifikra hadi kimwili kupitia mtu mmoja tu ambae ni Lionel Messi ambae nae anaenda kukumbana nae siku ya leo ingawa hayupo fit kimwili kama walivokutana nae wenzie.

Pep aliweza kukaa benchi la ufundi kipindi yupo Barcelona huku akijua kijana wake atamaliza kazi yote aliyomtuma.

Kwa mfano kama mechi dhidi ya Real Madrid akimuadhibu Mourinho ambae yupo nae EPL kwa sasa pia akimuazibu mzee wa watu Alex Ferguson mpaka kutetemeka au pale alimpomfanya mzee Wenger awalalamikie UEFA kuwa wanamuonea kumkutanisha na hiyo timu kila mara wakati mbaya wake yupo .

Note:
Pep Guardiola yule uliemtumia kuwaadhibu wenzio ndo yule yule anaenda kukuadhibu tena leo kama wenzio walivoadhibiwa au alivokuadhibu msimu wa 2014-2015 wa UEFA.

Kyenekyaka mkighanile une
Yametimia.
Hapo ndio ajue kwamba wachezaji ndio kila kitu kocha ni kwaajili ya nidhamu na kufanya sub tu.
 
Barcelona vs Manchester City
Score: 4 - 5
Min: 79
[emoji460] Goal!! Company
 
Back
Top Bottom