Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Don't tell me I'm such thing that you're referring me to.Much appreciation Sir✌️
Lakini always ndivyo inavyokuwa, mtu bright/smart ufanya mambo au jambo lake kwa viwango vya juu. Huku yeye kwa vision zake anaona akiwa amefanya kawaida kama watu wengine wanavyofanya but in reality amefanya kitu kwa extraordinary ability kwa kuhusisha (Intelligent + Intellectual ability).
Kwenye mpira hata sijui kitu.. namshabikia Messi na mayele tu😅Najua ni vigumu kunielewa kwa sababu ndiyo wewe na hauwezi kunielewa kwa sababu hauwezi kuuvua uhusika ulionao na kuvaa uhusika mwingine.
That's why ni rahisi sana kuuchambua or kuucheza mpira pale wewe unapokuwa nje ya uwanja kuliko wanaoucheza.
Ndio maana makocha ni watazamaji wazuri wa mpira na sio wachezaji.
So nipo hapa kama kocha🤭🤗
Tena sio kocha tu, bali kocha wa Manchester United "Erik Ten Hag"🤣.
Thanks for being a regular visitor & Commentator of my writingSo, You have such talent Sir.
Cheers ✌️.
Thanks for appreciation SirThanks for being a regular visitor & Commentator of my writing
Mwamba huyu hapaNimekaa hapa natazama RETURN TO THE 36TH CHAMBER kupitia KIXView attachment 2476819
Kuna nyingine inaitwa Disciples of 36 Chambers of Shaolin. Kali sanaNimekaa hapa natazama RETURN TO THE 36TH CHAMBER kupitia KIXView attachment 2476819
Linapokuja suala la dark beats RZA na HAVOC (of mobb deep) ni habari nyingine kabisa... kina Dre na Timberland wanakaa pembeniRza kichwa sana yaani anavyochombeza vionjo vya muvi kwenye muziki wake Hadi raha. Unawezajua kuna watu wanapigana
Inatia majonzi sana hii nyimbo...
"Spend my time in this cell, ain't living well..I know my destiny is hell, where did I fell"
Nyingine ain't mad at cha hua inanituliza sana the way ana flow kwenye hiyo ngoma.
Nina playlist maalumu ya 2Pac karibia kila siku namsikilizaView attachment 2474367
Sir, I don't think I'm smart or bright ila nadhani nina Low Latent Inhibition?
If you have a real faith and believe, things will start to happen automatically.Ngoja tuone hizo best lucky kama zitatokeaga😅
Easy mathafvkn E....NWAAliua sana mule