Kumbukizi katika Picha: Hapa Mwigulu alitakiwa aanze kulipa kodi

Kumbukizi katika Picha: Hapa Mwigulu alitakiwa aanze kulipa kodi

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2015
Posts
6,661
Reaction score
21,656
Hapa waziri wetu alikuwa katimiza umri sahihi wa kulipa kodi,yaani zaidi ya miaka 18.
FB_IMG_1479139350033.jpg
 
Hahahah hivi watoto wa mjini mnakua wapi mpaka hawa jamaa wanakuja mjini na kutake over pochi na ATM ya nchi ? Mnakwama wapi ?
Umenikumbusha Jamaa ambaye alibase Sana kuchunga Ng'ombe wakati sisi tuko buzy na Shule na tukawa tunamcheka mwishowe Baba yake akamuanzisha Shule na tukawa tunasona naye, aisee jamaa alitukimbiza mpaka hivi sasa naandika hapa Jamaa ni Mwlm Shule wa shule ya Msingi.
 
Jamaa anatuumiza sana kupitia mitozo yake isiyo na kichwa wala miguu!!
 
Umenikumbusha Jamaa ambaye alibase Sana kuchunga Ng'ombe wakati sisi tuko buzy na Shule na tukawa tunamcheka mwishowe Baba yake akamuanzisha Shule na tukawa tunasona naye, aisee jamaa alitukimbiza mpaka hivi sasa naandika hapa Jamaa ni Mwlm Shule wa shule ya Msingi.
Mkimbizaj yupo shule ya msingi na ww uliyekimbizwa upo wap???
giphy.gif
 
Back
Top Bottom