Kumbukizi: Kauli ya Rais Samia Suluhu kipindi cha kampeni 2020

Kumbukizi: Kauli ya Rais Samia Suluhu kipindi cha kampeni 2020

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Kauli hii ilitolewa na Mh. Rais Samia Suluhu kipindi cha kampeni za uchaguzi mkuu uliofanyika Octoba 2020

Screenshot_20210419-092500.jpg
 
kuna siku alikuwa chunya akaropoka 'hata mkichagua upinzani ccm lazima iunde serikani'

mama hamna kitu yale yale tu.
Hivi kwanini machadema mnakuwa wajinga sana?

Kwani aliekufa ni MAGUFULI au CCM?
 
Wasukuma fanyeni kazi kutegemea vyeo kutawakosesha raha sana awamu hii
 
Back
Top Bottom