Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Kauli hii ilitolewa na Mh. Rais Samia Suluhu kipindi cha kampeni za uchaguzi mkuu uliofanyika Octoba 2020
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe inasemaje hapa?Unataka kusema nini bwashee?!
Hizo ni lugha za kampeni tu!Wewe inasemaje hapa?
Mimi siongezi wala kupunguza neno.
Kwani wewe unesoma nini bwana Yahaya?Unataka kusema nini bwashee?!
Alichonukuu!Kwani wewe unesoma nini bwana Yahaya?
Chanzo?? Source yake lini? Wapi?Kauli hii ilitolewa na Mh.Rais Samia Suluhu kipindi cha kampeni za uchaguzi mkuu uliofanyika Octoba 2020
Hivi kwanini machadema mnakuwa wajinga sana?kuna siku alikuwa chunya akaropoka 'hata mkichagua upinzani ccm lazima iunde serikani'
mama hamna kitu yale yale tu.
Nimestuka Mama hafaiHizo ni lugha za kampeni tu!
umekufa weweHivi kwanini machadema mnakuwa wajinga sana?
Kwani aliekufa ni MAGUFULI au CCM?
Kumbe ndivyo alivyokuna siku alikuwa chunya akaropoka 'hata mkichagua upinzani ccm lazima iunde serikani'
mama hamna kitu yale yale tu.
Basi uchaguzi ujao Lisu mapema tu anatangazwa rais sawa eeumekufa wewe
Mimi sio Msukuma na sijawahi kuwa shabiki wa CCM tangu niwe na akili timamu.Wasukuma fanyeni kazi kutegemea vyeo kutawakosesha raha sana awamu hii
Zinasaidia nini hizi kauli kwa kipindi hichi?Mimi sio Msukuma na sijawahi kuwa shabiki wa CCM tangu niwe na akili timamu.
Nawakumbusha tu kauli za Mh .
Ni kumbukizi tu hamna jingine.Zinasaidia nini hizi kauli kwa kipindi hichi?
Ni heri wazungu waje waitawale AfricaHii kauli naikumbuka...Na maneno ya Capt Komba "CCM ni ile ile" nayazingatia sana.