Kumbukizi: Leo ni siku ya 45 tangu Mheshimiwa Rais Magufuli alivoondoka Dodoma na kuhamia Chato, Geita

Nasikia katoka chato kahamia BURIGI madai yake anaikwepa Corona
 
Baraza la mawaziri anafanyia kijijini kwao chato kwenye nyumba ya marehemu Babu yake.
 
Yuko bize mpk Odinga&wenzake wa E/Africa simu zao hazipolewi huku Ramaphosa akiambiwa Only TEXT,hahah.
 
Yuko bize mpk Odinga&wenzake wa E/Africa simu zao hazipolewi huku Ramaphosa akiambiwa Only TEXT,hahah.

Odinga ndio nani? Wenzake kina nani? Do you know what you are talking about? Au unaropoka tu?


Watanzania ni wakati wa kuamka​
 
Kwahiyo magufuli anafuata ushauri wa Chadema wa kukaa nyumbani?
 
Odinga ndio nani? Wenzake kina nani? Do you what you are talking about? Au unaropoka tu?


Watanzania ni wakati wa kuamka​
Hahah ameshapanika tayari.

Vipi bado logistic problem inasumbua pande hizo?
 
Usiwe Kama juha hii mada imeletwa na upinzani?
 
Hali halisi ndio Kama unavyojionea
 
Magufuli angenisikiliza japo Mimi mtu mdogo lkn namshauri asigombee Urais tena,,akapumzike !! Kila nikilala namuotea mambo mabaya kumkuta akiwa madarakani!!! Nakupenda sana mzee Magufuli kama ni historia ushaandikwa!!

Mimi ni pacha ndoto zangu huwa zinanitisha maana asilimia 90% huwa zinakuwa kweli!! Mzee wangu kapumzike,,,narudia tena kapumzike mzee wangu.
 
Magufuli angenisikiliza japo Mimi mtu mdogo lkn namshauri asigombee Urais tena,,akapumzike !! Kila nikilala namuotea mambo mabaya kumkuta akiwa madarakani!!! Nakupenda sana mzee Magufuli kama ni historia ushaandikwa!!

Mimi ni pacha ndoto zangu huwa zinanitisha maana asilimia 90% huwa zinakuwa kweli!! Mzee wangu kapumzike,,,narudia tena kapumzike mzee wangu.
 
Dunia nzima Trump yupo ikulu, Borris yupo ofisini, Edga lungu yupo ikulu, Kenyata yupo ikulu, museven, maphorisa, wote wnapiga kazi ikulu ila ukitaka kujua mtu muoga njoo tz

Sent using Jamii Forums mobile app
Kila mtu na maisha yake na yeye ni mtanzania anaruhusiwa kuishi popote kwani mpaka leo kuna pengo gani katika nchi?? Mbona nchi inakwenda?? Mtu kwao bana muache ale vya nyumbani lakini kumbuka kwa shujaa kilienda kilio na kwa muoga kilienda kicheko hahaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…