Kumbukizi: Leo ni siku ya 45 tangu Mheshimiwa Rais Magufuli alivoondoka Dodoma na kuhamia Chato, Geita

Odinga ndio nani? Wenzake kina nani? Do you know what you are talking about? Au unaropoka tu?


Watanzania ni wakati wa kuamka​
Busiba kapata bwana wa Kikongo . Fedha ya kodi inatumika kwenye ujunga kama huu.
 
Tuombe tu asije kukuta wajeda "wamekwisha itaifisha" Ikulu al- maarufu kama "Coupé de dat!!'
 
Wanatapatapa tu bila hoja za msingi eti sijui fulani nini ninachompendea Rais wangu yupogo really haigizagi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtu anamimiwa sifa kibao wakati anajulikana kwa incompetence

kush na Wisdom
 
ivi unajua gharama ya kukaa huko ni kubwa sana ? unaleta viva yako hapa ? ivi mbona mijitu ya ccm mavi mavi sana


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
nasikia hapokei simu za wenzake
Labda yuko hoi coronavirus haikimbiwi ingawa Kabudi amesharudi na mkorogo huenda usisaidie maana lazima ufanyiwe utafiti. Baada ya siku 14 tutapata matokeo ya ile dozi ya kuonja aliyobugia Kabudi kule Madagascar. "Ya Leo Kali" maneno ya mtalaam baada ya kuonja kangara kilabuni, Dodoma. Angetumwa Musukuma!
 
May 10, 2020
Lusaka, Zambia

COVID-19: NAKONDE BOARDER ‘SHUT’
President EDGAR LUNGU has directed for a temporary closure of the Nakonde Border with effect Monday 11 May 2020.


Source : ZNBC Today
 
Siku hizi hata kuota vitu kama hivyo ni marufuku mkuu,Lema aliwahi kuota ile ndoto ikamfikisha police.
 
Mfano msafara watu 100 x 120,000 x 45 =540,000,000 nje na mafuta, entertainment n.k, hatari sana. Najaribu kuwaza sina uhakika ni mfano.
Vijana wa kazi wanataka Per diem ,ndio maana wanamsumbua mzee, wakikaa dar hakuna ela wanaishi kwa kutegemea mshahara tu, bora wakae chato, sasa wamempeleka kisiwani, nako atakaa huko siku 30, akitoka hapa ataenda kisiwa kingine, halafu ataanza likizo ya kustaafu
 
Mfano msafara watu 100 x 120,000 x 45 =540,000,000 nje na mafuta, entertainment n.k, hatari sana. Najaribu kuwaza sina uhakika ni mfano.
Vijana wa kazi wanataka Per diem ,ndio maana wanamsumbua mzee, wakikaa dar hakuna ela wanaishi kwa kutegemea mshahara tu, bora wakae chato, sasa wamempeleka kisiwani, nako atakaa huko siku 30, akitoka hapo ataanza likizo ya kustaafu
 
Nchi hii ina Ikulu ndogo nyingi.Rais anaweza kwenda popote pale na mambo yakaendelea.Ndg zangu Watanzania tuache kujazana na kupenda Ku entertain story za Kijinga hazitusaidiii hata kidogo.
 
Kiutani utani mtu unaweza kwenda mahali usirudi... Ukatokomea kabisa huko ujue

Jr[emoji769]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…