Kumbukizi: Sokoine ndiye alibomoa uchumi wa nchi, na utawala wa sheria. Sioni chochote cha kumsifu, urathi wake uandikwe upya

Kumbukizi: Sokoine ndiye alibomoa uchumi wa nchi, na utawala wa sheria. Sioni chochote cha kumsifu, urathi wake uandikwe upya

M
Hata kodi hata lipa, tusiendekeze umasikini

Uchumi mzuri na positivity inayozungumzwa na wacenge wachache humu ndio hio uliyoielezea hapo. Nawaita wacenge kwa sababu ni watu wenye roho za kishetani tu ambao wanafurahia kundi kubwa likiteseka huku wao wakiogelea kwenye utajiri wa kutisha kupitia ufisadi na ubadhirifu wa fedha za umma.

Magufuli na Sokoine wangepiga collabo hii nchi ingekuwa kama South Africa kwa sasa.


Ili mfanya biashara asiye na utajiri wa KiPDD na ambaye hakuridhishwa na familia yake hata duka la kuuza viberiti na sabuni awe na utajiri wa kufikia tril. 1 ni lazima awe na biashara inayozalisha kila mwaka sh.Bil.10 kwa muda wa miaka 100 . Yaani huyo mfanyabiashara awe ameishi miaka 100 na tangu kuzaliwa awe ana kipato cha sh. bil.10 kila mwaka . Kipato hicho ni rahisi sana kwa wanamichezo au wanamziki kutokana na pesa wanaolipwa na wenye vilabu .
Lakini kipato hicho kwa Tanzania ni ngumu sana kwa mpiga kiwi na muuza juisi ya Tende na maziwa kukipata . Hii tusidanganyane kabisa.
Akina Mo, Manji ,Rostum ni mabilionea lakini walitokea kwenye Familia za kitajiri tangu mababu lakini eti wanaweza wakapitwa na muuza juisi kariakoo aliyetokea Familia ya kawaida isiyokuwa hata na Brenda ya kukamua embe🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ni wazi kuna watu nyuma yake wamechukua pesa kule wakaweka waaa.

Hawa leo wanamtukana Nyerere na Sokoine kwa sababu hakuhujumu pesa za umma na kuzificha kwa wafanyabiashara binafsi . Wa anapenda mfumo wa wizi kwa sababu wanaiba pesa za miradi ya umma na kuweka kwa watu binafsi na kujifanya wana PPP. Wizi mtupu. Eti Serikali ya nchi maskini inanunua bahasha ya sh. 100 kwa sh. 500 kwa mtu binafsi wakati ingeweza kuitengeneza kwa sh.50. Huo ndio uzalendo. Elimu inakua mbovu kwa sababu Library za shule hazina tena maana kwa kila mwaka wahindi wanatubadilishia vitabu vya stori za kigeni zenye mpaka picha za kuhamasisha ushoga na zisizo na uhusiano kabisa na mazingira yetu wala Hekaya za kiafrika . Yote ni kwa sababu kila anayeingia madarakani na wizara ya Elimu anataka awe bilionea kupitia fedha za manunuzi na 10% . Huo eti ndio uchumi mzuri wa nchi na uzalendo . Yaani kakikundi ka watu wasiofikia 2000 ndio kanakwapua fedha zote za umma na kisha wanakwepa kodi ,wanajitungia sheria wasishirakiwe mahakamani na mishahara yao haina kodi . Maskini zaidi ya 85 wanaumizwa kwa kodi kubwa na tozo na hawa majizi wakubwa wana wa lusifer.
Na ndio maana wanaua sana wetu kwa sababu wanahofia kuwa siku watu wakiwashtukia watazitapika mchana kweupe na kuishia gerezani .
 
Huyo kijana hakuwepo wakati huo na hakuona yale yalokuwa yanatokea.

Nina imani Interested Observer , weye na wengine mmempatia elimu kiasi.

Mimi nimegundua kwamba katika miaka ya hivi karibuni kumekuwepo na kikundi (kilicho na baraka zote kutoka anga jeusi) cha watu wasojulikana wanoteka, kutesa na kuua watu na pia kipo kikundi ambacho kina jukumu la kuua historia za watu kama Sokoine.

Hawa watu ni hatari kwa mstakabali wa nchi hii.


Amini usiamini yule Rais tuliyemuazima kutoka nchi jirani yenye ambaye nchini kwake kuna Rais kamili ,akifanikiwa kurudi 2025 tumekwisha kabisa Watanganyika. Kwanza atateua Mkuu wa Wajeda kutoka nchini kwake, atateua Mkuu wa Washika vifungu kutoka nchini kwake ,atateua Mkuu wa wachunguzi kutoka nchini kwake na hakuna watakachofanya . Nusu ya watakao ajiriwa kwenye idara hizo watakua ni kutoka kwenye kale la nchi .Ni hatari sana kwa mustakabali wa watanganyika wasio na pa kukimbilia pana hata nchi waliyoungana nayo miaka 60 iliyopita hawakubaliwi kuhamia nchi hiyo waliyochangia ya mchanga (Zanzibar)
Baada ya 2025 nchi itakua ni kama mali yake na ndugu zake kutoka nchini kwake na kule Walikotoka Babu zake. Nchi itatawaliwa kwa utashi na hisia zake na kila ztakayenyanyua mdomo atapeperushwa kama karatasi kwenye upepo wa kisulisuli.
Watanganyika waliumizwa sana na Azimio la Arusha kwa manufaa ya Nchi na taifa lakini mali zile zile zilitwaliwa na Wageni na kuwaacha watanganyika wakiwa hawana ajira na ajira zinazotolewa zinatolewa zaidi kwa wageni.
Ugaidi utakua mkubwa sana lengo ni kuwaogopesha zaidi Watanganyika ambao mpaka sasa wameshaonekana wazi kuwa ni watu wanaowaza mipira ya simba na yanga na ulevi wa pombe na umalaya wa mashangazi na Miziki n.k wakati wale wageni hawataki nchi yao Watanganyika wamiliki hata kiwanja cha kujenga choo.

Kile kilichosababisha Tanganyika na Zanzibar kuungana kimeanza kupeperushwa siku walipouza Bandari ,mbuga za wanyama, viwanja vya ndege ,mapori na misitu kwa wageni ambao kisingi wana vinasaba nao na wa akiwa ni maajenti wa Nchi za magharibi hasa Marekani . Marekani na Dubai ni pete na kidole . Mmarekani na ugaidi na Waarabu ni kitu kimoja . Watanganyika wamekwisha kwa kutolewa kwenye reli na Maazimio ya Zanzibar yaliyoturudisha kwenye ukabila ,Udini,ubinafsi na ufisadi ,siku hizi hata wanafunzi hawavai tena unifomu bali kila mmoja anatambulisha dini yale. Wanaanza kubaguana kuanzia wakiwa wadogo kwa kuona hawa hawana dini safi na sisi tuna dini safi na tujuane kwa mavazi yetu.

Je, kwa nini hapakua na mjadala wa wazi kuhusu uvaamaji wa unifomu kwa watoto wa shule ili pawe na mavazi yanayofanana na yenye maadili kama ilibidi au ni ubinafsi kuwa wengine wawe na maadili yanayotakwa na dini na wengine wavae mavazi yanayotamkwa na Serikali . Je ,ikitokea Raisi amekua Mmasai ni sawa kuwaruhusu Wamasai kwenda shuleni na Rubega 🤣🤣🤣🤣.

Kule tulikomtoa yule Rais wa kuazima kwao sheria na taratibu zao hawakubali kutawaliwa na Rais Mwanamke lakini Tanganyika wanataka kutuaminisha kuwa nchi haina dini wakati kwao hakuna nafsi hiyo kamwe . Sasa utagundua tu kuwa hawa wageni wanakuja kuvuna tu na kuharibu umoja na uzalendo wa Watanganyika .
 
M





Ili mfanya biashara asiye na utajiri wa KiPDD na ambaye hakuridhishwa na familia yake hata duka la kuuza viberiti na sabuni awe na utajiri wa kufikia tril. 1 ni lazima awe na biashara inayozalisha kila mwaka sh.Bil.10 kwa muda wa miaka 100 . Yaani huyo mfanyabiashara awe ameishi miaka 100 na tangu kuzaliwa awe ana kipato cha sh. bil.10 kila mwaka . Kipato hicho ni rahisi sana kwa wanamichezo au wanamziki kutokana na pesa wanaolipwa na wenye vilabu .
Lakini kipato hicho kwa Tanzania ni ngumu sana kwa mpiga kiwi na muuza juisi ya Tende na maziwa kukipata . Hii tusidanganyane kabisa.
Akina Mo, Manji ,Rostum ni mabilionea lakini walitokea kwenye Familia za kitajiri tangu mababu lakini eti wanaweza wakapitwa na muuza juisi kariakoo aliyetokea Familia ya kawaida isiyokuwa hata na Brenda ya kukamua embe🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ni wazi kuna watu nyuma yake wamechukua pesa kule wakaweka waaa.

Hawa leo wanamtukana Nyerere na Sokoine kwa sababu hakuhujumu pesa za umma na kuzificha kwa wafanyabiashara binafsi . Wa anapenda mfumo wa wizi kwa sababu wanaiba pesa za miradi ya umma na kuweka kwa watu binafsi na kujifanya wana PPP. Wizi mtupu. Eti Serikali ya nchi maskini inanunua bahasha ya sh. 100 kwa sh. 500 kwa mtu binafsi wakati ingeweza kuitengeneza kwa sh.50. Huo ndio uzalendo. Elimu inakua mbovu kwa sababu Library za shule hazina tena maana kwa kila mwaka wahindi wanatubadilishia vitabu vya stori za kigeni zenye mpaka picha za kuhamasisha ushoga na zisizo na uhusiano kabisa na mazingira yetu wala Hekaya za kiafrika . Yote ni kwa sababu kila anayeingia madarakani na wizara ya Elimu anataka awe bilionea kupitia fedha za manunuzi na 10% . Huo eti ndio uchumi mzuri wa nchi na uzalendo . Yaani kakikundi ka watu wasiofikia 2000 ndio kanakwapua fedha zote za umma na kisha wanakwepa kodi ,wanajitungia sheria wasishirakiwe mahakamani na mishahara yao haina kodi . Maskini zaidi ya 85 wanaumizwa kwa kodi kubwa na tozo na hawa majizi wakubwa wana wa lusifer.
Na ndio maana wanaua sana wetu kwa sababu wanahofia kuwa siku watu wakiwashtukia watazitapika mchana kweupe na kuishia gerezani .
Ndio maana lazma nguvu kubwa itumike kubariki ushenzi kwa kuuita positivity ilihali ni upuuzi tu😂! Toka lini wizi ukawa ni jambo la heri? Ukiwa mzalendo na mpenda haki nchi hii siku zako za kuishi zitakuwa chache sana.
 
M





Ili mfanya biashara asiye na utajiri wa KiPDD na ambaye hakuridhishwa na familia yake hata duka la kuuza viberiti na sabuni awe na utajiri wa kufikia tril. 1 ni lazima awe na biashara inayozalisha kila mwaka sh.Bil.10 kwa muda wa miaka 100 . Yaani huyo mfanyabiashara awe ameishi miaka 100 na tangu kuzaliwa awe ana kipato cha sh. bil.10 kila mwaka . Kipato hicho ni rahisi sana kwa wanamichezo au wanamziki kutokana na pesa wanaolipwa na wenye vilabu .
Lakini kipato hicho kwa Tanzania ni ngumu sana kwa mpiga kiwi na muuza juisi ya Tende na maziwa kukipata . Hii tusidanganyane kabisa.
Akina Mo, Manji ,Rostum ni mabilionea lakini walitokea kwenye Familia za kitajiri tangu mababu lakini eti wanaweza wakapitwa na muuza juisi kariakoo aliyetokea Familia ya kawaida isiyokuwa hata na Brenda ya kukamua embe🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ni wazi kuna watu nyuma yake wamechukua pesa kule wakaweka waaa.

Hawa leo wanamtukana Nyerere na Sokoine kwa sababu hakuhujumu pesa za umma na kuzificha kwa wafanyabiashara binafsi . Wa anapenda mfumo wa wizi kwa sababu wanaiba pesa za miradi ya umma na kuweka kwa watu binafsi na kujifanya wana PPP. Wizi mtupu. Eti Serikali ya nchi maskini inanunua bahasha ya sh. 100 kwa sh. 500 kwa mtu binafsi wakati ingeweza kuitengeneza kwa sh.50. Huo ndio uzalendo. Elimu inakua mbovu kwa sababu Library za shule hazina tena maana kwa kila mwaka wahindi wanatubadilishia vitabu vya stori za kigeni zenye mpaka picha za kuhamasisha ushoga na zisizo na uhusiano kabisa na mazingira yetu wala Hekaya za kiafrika . Yote ni kwa sababu kila anayeingia madarakani na wizara ya Elimu anataka awe bilionea kupitia fedha za manunuzi na 10% . Huo eti ndio uchumi mzuri wa nchi na uzalendo . Yaani kakikundi ka watu wasiofikia 2000 ndio kanakwapua fedha zote za umma na kisha wanakwepa kodi ,wanajitungia sheria wasishirakiwe mahakamani na mishahara yao haina kodi . Maskini zaidi ya 85 wanaumizwa kwa kodi kubwa na tozo na hawa majizi wakubwa wana wa lusifer.
Na ndio maana wanaua sana wetu kwa sababu wanahofia kuwa siku watu wakiwashtukia watazitapika mchana kweupe na kuishia gerezani .
Mfumo wa kinyonyaji umeletwa na CCM ni wa hatari sn
 
Uchumi wa Watu wangapi bana? Hiki ndio kimekuwa kichaka cha kujifichia Mafisadi na Wanyonyaji.Kwani ni nini kimebadilika tangu Wakati huo? Sana Sana ni kuongezeka kwa tofauti Kati ya Walionacho na Wasionacho.Sokoine alijua udhaifu wa sheria linapokuja suala la kupambana na Wezi wa mali ya uma,na kama ulimsikiliza Mzee Warioba yeye alitaka Hata kujiuzulu ili sheria zisipindishwe,na Hata kuna moja ya hotuba ya Mwalimu akiongelea hizo operesheni za Wahujumu anasema "Wakati mwingine mimi ndio hupoozesha...." lakini Edward aliumizwa Sana na ufisadi na alitamani hata ikibidi sheria zipindishwe.Na Mzee Warioba anasema tatizo lilikuwa utekelezaji,nani anajua kulikuwa na hujuma kwenye utekelezaji?na hatimae lakini si Wahujumu mlishinda Vita na Edward akaondoka 1984,bado mnamlaumu hii 2024?Kwa hiyo mnatamani tusiione nia njema ya Edward kuwasaidia Wanyonge waliokuwa wanadhulumiwa na Wahujumu?Leo nimesikia Kuwa eti yule binti aliyebakwa alioneshwa picha ya mmoja wa Waliokua wanambaka.Mafisadi mna njia nyingi za kutempa na sheria dhidi ya Wanyonge,na Edward alijua hilo ndio maana alitamani njia ya mkato kuwadhibiti ila ikashindikana na Mafisadi mmeibuka Washindi mpaka Leo hii mnatamba.
 
Back
Top Bottom