Kumbukizi: Sokoine ndiye alibomoa uchumi wa nchi, na utawala wa sheria. Sioni chochote cha kumsifu, urathi wake uandikwe upya

Kumbukizi: Sokoine ndiye alibomoa uchumi wa nchi, na utawala wa sheria. Sioni chochote cha kumsifu, urathi wake uandikwe upya

Sokoine alikuwa ni mpumbavu mbwa
Yaani typical nyani mweusi linaetumia akili ya chooni kwenye masuala ya mustakabali wa nchi, mpaka Nyerere akaona bora amzimishe tu .
Kama utawala wa kisheria ukifuatwa per se katika hili taifa basi barabara nyingi zitabakia nyeupe kwa namna gari za anasa zitakavyopuputika.

Matajiri wengi wa nchi hii ni wanasiasa na wafanyabiashara wakwepaji kodi.
 
Uwaziri Mkuu wa Sokoine ulikuwa wa hovyo kuliko mawaziri wakuu wote tangu nchi ipate uhuru mpaka sasa.

Ni yeye, kama alivyosema Mzee Warioba, aliasisi sheria za hovyo kabisa, hovyo kabisa ambazo zilikiuka haki za binadamu. Utesaji mkubwa ulifanyika na yeye akiwa anangalia.

Upande wa uchumi, mali za watu ziliporwa, watu wakafilisiwa, biashara zilikufa nchi nzima. Hakika yeye ndiye kiini cha uharibifubwa uchumi wa nchi, badala ya kuujenga. Imagine nchi inatoka vitani, halafu ikawa chini ya Sokoine. Yeye akiona duka, anamkamata mwenye duka na kutaifisha bidhaa. Watu wakamwaga sukari katika mito na bahari, watu wakatupa hela maporini. Ulikuwa uongozi wa hovyo kabisa kuwahi kushuhudiwa, mbali na ule wa JPM.

Sioni chochote cha kujivunia kutoka kwake. Urathi wake umeandikwa na Salva Rweyemamu, sikutarajia afanye critical analysis ya uongozi wake zaidi ya kupuliza maumivu waoiyopitia watanzania.

Hii project ya uongozi Institute ni kama iko structured na iko scripted. Tunasubiri urathi ambao utamjadili Sokoine kwa uhalisia wake.
Sokoine alikuwa hapendi Rushwa, biashara za magendo, uhujumu uchumi na vitendo viovu vinavyoludisha nyuma maendeleo ya nchi na watu wake Kwa ujumla. Hivyo tuhuma ulizozitoa juu ya sokoine inaonyesha wazi wewe ni Moja ya familia zilizokuwa zinafanya mambo maovu niliyoyataja na alizishughulikia na kuzinyoosha

.
 
Uwaziri Mkuu wa Sokoine ulikuwa wa hovyo kuliko mawaziri wakuu wote tangu nchi ipate uhuru mpaka sasa.

Ni yeye, kama alivyosema Mzee Warioba, aliasisi sheria za hovyo kabisa, hovyo kabisa ambazo zilikiuka haki za binadamu. Utesaji mkubwa ulifanyika na yeye akiwa anangalia.

Upande wa uchumi, mali za watu ziliporwa, watu wakafilisiwa, biashara zilikufa nchi nzima. Hakika yeye ndiye kiini cha uharibifubwa uchumi wa nchi, badala ya kuujenga. Imagine nchi inatoka vitani, halafu ikawa chini ya Sokoine. Yeye akiona duka, anamkamata mwenye duka na kutaifisha bidhaa. Watu wakamwaga sukari katika mito na bahari, watu wakatupa hela maporini. Ulikuwa uongozi wa hovyo kabisa kuwahi kushuhudiwa, mbali na ule wa JPM.

Sioni chochote cha kujivunia kutoka kwake. Urathi wake umeandikwa na Salva Rweyemamu, sikutarajia afanye critical analysis ya uongozi wake zaidi ya kupuliza maumivu waoiyopitia watanzania.

Hii project ya uongozi Institute ni kama iko structured na iko scripted. Tunasubiri urathi ambao utamjadili Sokoine kwa uhalisia wake.
kumbuka kuwa tunatofautiana mawazo na mitazamo unavyoona wewe ni tofauti na aonavyo mwingine, muhimu ni kuheshimu hizi tofauti zetu za kibinadamu.
 
Una uhakika? Yaani UDOM inengwe hiyo secondary ndio uone ni big issue
Kuna kingine zaidi ya UDOM? Mbona wakolon walijenga UDSM na bado wakajenga shule kibao za maana. Sasa sisi baada ya UDOM tumejenga nini tena kwa upande wa shule na vyuo?
 
Kuna kingine zaidi ya UDOM? Mbona wakolon walijenga UDSM na bado wakajenga shule kibao za maana. Sasa sisi baada ya UDOM tumejenga nini tena kwa upande wa shule na vyuo?
UDSM imejengwa baada ya uhuru, fuatilia mambo ya nchi, mko bize na mambo ya Pdiddy na Mdude
 
Kipindi Cha sokoine ilikuwa ukipata fedha nyingi unafatwa na wasiojulikana unaulizwa umezipata wapi Hela zote hizo?matajiri waliambiwa utajili wao wagawane na wananchi masikini.pamoja na kwamba utawala wa kipindi hicho kuwa na mapungufu lakini huu wa kizimkazi ndiyo wa hovyo sana kuliko tawala zote zilizowahi kutokea za madikteta duniani kama Hitler na nduli
 
Hii nchi imejaa mimbulula tu
Na inaonekana kwenye benki za kigeni, zote zimejaa wakenya na wahindi
Kweli kabisa mkuu, hao wako very smart. Sasa unadhani wanaweza mwajiri mtu aliyesoma shule ya kata aliyefundishwa na mwalimu ambaye hata yeye kingereza kinampiga mtama. Jiulize kwanin hatutaki ushindani wa soko la ajira na Wakenya, tunajijua vizuri kuwa wengi kama siyo wote watakuwa unemployed. Sikatai kuwa shule za kata ni wazo zuri lakini zingekuja taratibu huku ubora wa elimu ukiboreshwa. Imagine zilivyokuja kwa kasi mpaka tukawa na walimu wa vodafast. Hapo kuna elimu tena au bora liende tuonekane tumejenga shule kumbe tunaua vipaji vya watoto hata wale waliokuwa na uwezo wanapotelea humo humo. Baada ya miaka kumi watu aina ya Lissu au Zitto na wengineo wenye uwezo mkubwa hawatakuwepo. Kila mwajiri ataona bora aajiri wageni. Nenda ofisi za umma kakutane na hivi vi graduates vilivyo vyeupe kichwani ndiyo utanielewa nacho maanisha
 
Inasikitisha sana. Hata asilimia kubwa ya wafanyabiashara matajiri wa sasa,chimbuko la mitaji yao ni mali za umma kwenye zoezi la kubinafsisha mashirika ya serikali.
Ndiyo maana 98% ya wafanyabiashara ni CCM sababu wamepata mali kwa njia za wizi
 
UDSM imejengwa baada ya uhuru, fuatilia mambo ya nchi, mko bize na mambo ya Pdiddy na Mdude
Udsm imeanza 1961 na ilikuwa inaitwa College of the University of London. Sasa ilijengwa lini na ikaanzaje 1961,labda kuna sehemu sielewi naomba ufafanuzi
 
Udsm imeanza 1961 na ilikuwa inaitwa College of the University of London. Sasa ilijengwa lini na ikaanzaje 1961,labda kuna sehemu sielewi naomba ufafanuzi
Tatizo la shule za kata, kuanzishwa na kujengwa ni vitu tofauti, UDSM awali ilikuwa university College, tena sio ya London,ilipokea kada ya sheria tu, kafanye homework vizuri
 
Tatizo la shule za kata, kuanzishwa na kujengwa ni vitu tofauti, UDSM awali ilikuwa university College, tena sio ya London,ilipokea kada ya sheria tu, kafanye homework vizuri
Sawa mkuu
 
Mkuu yawezekana wewe ni 'mtoto wa 2000' kwa namna ya uandishi wako na ulivyoelezea jambo hilo kinafiki.

Kifupi ni kwamba, baada ya 'vita vya Kagera' na Nyerere kutangaza waTz 'kujifunga mkanda miezi 18', wafanya biashara mafisadi walitumia slogan hiyo kuficha bidhaa muhimu ionekane ugumu wa maisha umebarikiwa na Serikali.

Hali hiyo ilivuruga kabisa uchumi na maisha ya raia.

Hali ilikuwa ngumu mno takribani kwa miaka mitano(1980-1984).
Maduka yalikuwa totally empty, nguo sukari, sabuni, C. Oil etc etc havikuwepo madukani vilifichwa.

Sokoine alikuja kuchukua hatua ya kuwabana mafisadi walioficha bidhaa, ninasema walikuwa wameficha kwa sababu walivyosikia kuna operesheni hiyo wakavitoa vitu kwenye maghala yao usiku na kwenda kuvitupa.

Bidhaa nyingi zilitupwa zikiwemo na magunia ya pesa wakihofia kutiwa nguvuni wakikwepa mkono wa sheria.

Maelezo ya kisa hiki ni marefu sana,
Itoshe kusema kwamba kumlaumu Sokoine bila kupongeza juhudi zake za kupigania maisha ya waTz ni kumtendea dhulma.

Aliwabana mafisadi kwa manufaa ya waTz na siyo kusema kwamba katika zoezi hilo alitia mkono kujinufaisha kama viongozi wa sasa wanavyofanya, hapana.

na kifo chake kilikuwa ni pigo kuu kwa Raia na kilitikisa nchi.

Tangia kifo chake 1984 hadi leo sijawahi kusikia ama kusoma popote mtu kaandika akimlaumu Sokoine kwa ubaya wowote alioifanyia nchi na raia wake, isipokuwa wewe tu!

Karudie tena kusoma historia yake, ukiendelea kuleta ubishi wa kijuaji na stori zako za uongo hapa tutaelewa kuwa unatumika, kuna watu wapo nyuma yako kuchafua legacy ya Sokoine Waziri mkuu aliyependwa sana kwa dhati kabisa na raia wa Tz kutokana na utumishi wake uliotukuka.
Huyo kijana hakuwepo wakati huo na hakuona yale yalokuwa yanatokea.

Nina imani Interested Observer , weye na wengine mmempatia elimu kiasi.

Mimi nimegundua kwamba katika miaka ya hivi karibuni kumekuwepo na kikundi (kilicho na baraka zote kutoka anga jeusi) cha watu wasojulikana wanoteka, kutesa na kuua watu na pia kipo kikundi ambacho kina jukumu la kuua historia za watu kama Sokoine.

Hawa watu ni hatari kwa mstakabali wa nchi hii.
 
Back
Top Bottom