Kumbukizi: Tupac na Yaki Kadafi enzi za utoto wao

Kumbukizi: Tupac na Yaki Kadafi enzi za utoto wao

Da'Vinci

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2016
Posts
35,812
Reaction score
107,628
Kila tarehe 9 october ni siku ya kuzaliwa ya Rapper Yafeu Akiyele Fula A.K.A Yaki Kadafi. Mama yake Diamond huwa anasema kwamba kipindi Rommy Jones akiwa mdogo ilifikia hatua hata kumpa nyonyo japo hakua mwanae ila alikuwa na urafiki na mama yake Rommy.

Hivyo hivyo kwa huyu bwana mdogo Yaki Kadafi, familia yake na ya Tupac walikua marafiki na wote walikuwa wanachama cha Black Panther Party. kwaiyo muda mwingi aliutumia akiwa na kaka yake wa kufikia Tupac, Tupac alimizdi miaka 5/6.

Kwaiyo walikua pamoja kama kaka na mdogo kama vile Rommy Jones na Diamond wamekuwa. Umeona anajiita Yaki Kadafi and it sound like Gadaffi. Yes it is.

Kundi la Outlawz lililoundwa na Tupac, walikua wanatumia A.K.A za Madikteta mbalimbali;
  • Hussein Fatal - Jina la Sadam Hussein
  • E.D.I Mean - Jina la Idd Amin dada
  • Kastro - Fidel Castro
  • Mussolini - Benitto mussolini
  • Napoleon - Napoleon Bonaparte
Except 2Pac pekee ndio alijipa jina la mwanafalsafa kutoka Italia, Nicolo Machiaveli and 2Pac Remains as Phylosophical rapper ever lived.

Bahati mbaya wote wawili waliuawa kwa risasi ndani ya mwaka mmoja.
FB_IMG_16656041559661512.jpg
 
Kila tarehe 9 october ni siku ya kuzaliwa ya Rapper Yafeu Akiyele Fula AKA Yaki Kadafi. mama ake Diamond hua anasema kwamba kipindi Rommy Jones akiwa mdogo ilifikia hatua hata kumpa nyonyo japo hakua mwanae ila alikua na urafiki na mama ake Rommy......Hivyo hivyo kwa Huyu bwana mdogo Yaki Kadafi familia yake na ya Tupac walikua marafiki na wote walikua wanachama cha Black Panther Party. So muda mwingi aliutumia akiwa na kaka yake wa kufikia Tupac, Tupac alimizdi miaka 5/6

So walikua pamoja kama kaka na mdogo like how Rommy Jones and Diamond grew.

Umeona anajiita Yaki Kadafi and it sound like Gadaffi..Yes it is.
Kundi la Outlawz lililoundwa na Tupac walikua wanatumia aka za Madikteta mbalimbali Except 2Pac pekee ndio alijipa jina la mwanafalsafa kutoka Italia, Nicolo Machiaveli and 2Pac Remains as Phylosophical rapper ever lived.

Bahati mbaya wote wawili waliuawa kwa risasi ndani ya mwaka mmoja.
View attachment 2386245
Dah aminia sana mwanangu unyama mwingi, safi imekaa post
 
"spend my time in this cell, ain't livin' well
I know my destiny is Hell, where did I fail?
My life is in denial, and when I die
Baptized in eternal fire, I'll shed so many tears"

2Pac lives in my heart
FB_IMG_16656040559396465.jpg
 
Wahuni tu hao
Mbona mimi sio muhuni hata kidogo.
Jipe muda sikiliza vitu anavyoimba Tupac utaelewa jamaa alikua sio zaidi ya muhuni.
Kuna video moja alihojiwa akawa anamponda Michael Jackson na matajiri wengine weusi wenye mamilioni bank wakati kuna ndugu zao weusi wanakufa njaa. Kwa taarifa yako alikufa akiwa na 24yrs chalii tu ilaalikua na akili ya miaka 50.
That's why he's my role model
FB_IMG_16656041627940932~2.jpg
 
Mbona mimi sio muhuni hata kidogo.
Jipe muda sikiliza vitu anavyoimba Tupac utaelewa jamaa alikua sio zaidi ya muhuni.
Kuna video moja alihojiwa akawa anamponda Michael Jackson na matajiri wengine weusi wenye mamilioni bank wakati kuna ndugu zao weusi wanakufa njaa. Kwa taarifa yako alikufa akiwa na 24yrs chalii tu ilaalikua na akili ya miaka 50.
That's why he's my role model
View attachment 2386343
Tupac anakufa mi nna akili zangu ,yule alikuwa muhuni mwenye kipaji period.angalia alivyosuguana na polisi na mahakama.wahuni wenye akili wapo mmoja wao ni tupac
 
Thug life for life, maniga west
"Screaming, "Thug 'til I die" before I passed out
But now that you're gone, I'm in the zone
Thinking I don't wanna die all alone, but now ya gone
And all I got left are stinkin' memories
I love them n—s to death, I'm drinkin' Hennessy
While trying to make it last
I drank a fifth for that when you passed
'Cause life goes on"
FB_IMG_16656042733051485.jpg
 
Back
Top Bottom