Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sure kk.. anaesema tupac muhuni hajawah sikiliza nyimbo zakeMbona mimi sio muhuni hata kidogo.
Jipe muda sikiliza vitu anavyoimba Tupac utaelewa jamaa alikua sio zaidi ya muhuni.
Kuna video moja alihojiwa akawa anamponda Michael Jackson na matajiri wengine weusi wenye mamilioni bank wakati kuna ndugu zao weusi wanakufa njaa. Kwa taarifa yako alikufa akiwa na 24yrs chalii tu ilaalikua na akili ya miaka 50.
That's why he's my role model
View attachment 2386343
Kuna ile when thugs cries, untill the end of time, letter to my unborn child, if i die tonight, death arround the corner, hail marry n.k atar sn huyo mwambaHua nikisikiliza track ya life goeson Najisikia machozi hivi. Daah
Nina folder maalum kwenye simu ya picha za 2PacView attachment 2386371
Sidhani kama walidate mkuu....That's why he's a legend
Sema kawatembezea kinoma noma wadada. Huyo ni dada ake WakoJako Janett Jackson
View attachment 2386436
Mwamba alikuwa na itikadi flani za ki MAN sana#Meagainsttheworld
Ndo maana yakeUwa napenda sana urafiki wa black Americans akikukubali anakukubali kweli na akikukataa anakukataa kweli.
Mimi nikishakuona ni snitch tu nakulia ganzi Kali hata Salam sina
Mpaka Madona alimkubali sana 2pacJada alikua anamzimikia sana 2pac for real. Wanawake wote duniani wanapenda mwanaume smart kichwani hata kama huna hela watakupenda sana. This is a fact, I've witnessed it on my sideView attachment 2386645
Na mimi hapa mtaani wananiita Tupac madam....Tupac alikuwa mzuri sana jamani [emoji2301][emoji2301] anavutia macho yake pua ana haiba ya kuvutia sana sijui kwanin alikufa mapema sana maskin sasa hivi angesumbua sana
Hahahaha we jamaa kwa fursaNa mimi hapa mtaani wananiita Tupac madam....
😂😂😂........Sema sipendi wanavyoniita tupac.Hahahaha we jamaa kwa fursa
Mcheki hapoTupac alikuwa mzuri sana jamani [emoji2301][emoji2301] anavutia macho yake pua ana haiba ya kuvutia sana sijui kwanin alikufa mapema sana maskin sasa hivi angesumbua sana
kadafi mtu na nusu.Kila tarehe 9 october ni siku ya kuzaliwa ya Rapper Yafeu Akiyele Fula A.K.A Yaki Kadafi. Mama yake Diamond huwa anasema kwamba kipindi Rommy Jones akiwa mdogo ilifikia hatua hata kumpa nyonyo japo hakua mwanae ila alikuwa na urafiki na mama yake Rommy.
Hivyo hivyo kwa huyu bwana mdogo Yaki Kadafi, familia yake na ya Tupac walikua marafiki na wote walikuwa wanachama cha Black Panther Party. kwaiyo muda mwingi aliutumia akiwa na kaka yake wa kufikia Tupac, Tupac alimizdi miaka 5/6.
Kwaiyo walikua pamoja kama kaka na mdogo kama vile Rommy Jones na Diamond wamekuwa. Umeona anajiita Yaki Kadafi and it sound like Gadaffi. Yes it is.
Kundi la Outlawz lililoundwa na Tupac, walikua wanatumia A.K.A za Madikteta mbalimbali;
Except 2Pac pekee ndio alijipa jina la mwanafalsafa kutoka Italia, Nicolo Machiaveli and 2Pac Remains as Phylosophical rapper ever lived.
- Hussein Fatal - Jina la Sadam Hussein
- E.D.I Mean - Jina la Idd Amin dada
- Kastro - Fidel Castro
- Mussolini - Benitto mussolini
- Napoleon - Napoleon Bonaparte
Bahati mbaya wote wawili waliuawa kwa risasi ndani ya mwaka mmoja.
View attachment 2386245
Naona unataka unabii wa mimi kuitwa pac Utimie kabisa....😂😂😂😂 Mad Max njoo uone navyoimbishwa kijanja
😂😂😂 umenichekesha sana kwa hiyo mtaan wanakuita Tupac umefanana nae nin?unajua kuchana?Naona unataka unabii wa mimi kuitwa pac Utimie kabisa....
Unamuita aje anishoot?
Unataka kuwa Faith Evans eee? 😂😂