Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂😂 mtaniua leo nyieAna macho mazuri kama yangu🙈🙈
Usiwe mbishi sasa..
Sema mimi sifanani sura na Tupac
😂😂....wananionea tu sifanani naye chochote.😂😂😂 umenichekesha sana kwa hiyo mtaan wanakuita Tupac umefanana nae nin?unajua kuchana?
Yoh Cuz...What's up Tupac Rapa
Drive-by shootout gonna hit you soon😅
RIP in advance
😂😂😂😂 sipendi wanavyokuonea😂😂....wananionea tu sifanani naye chochote.
Macho yangu ni madogo kama wachina ( yake unayajua).
Kichwa chake kinakaribia kuwa duara ( mie nna chogo ).
Kuchana sio sana , japo nipo deep kwenye hiphop.
Life kama la black America wa 1990s huko.
Hahahaa basi wakae kwa kutulia.Hehehe wadogo zangu hawa bana we nenda kwa sophy ni size yako
Sophy mbishi nimekubali kushindwaHehehe wadogo zangu hawa bana we nenda kwa sophy ni size yako
Nashkuru kwa kuungana nami katika hili....😂😂😂😂 sipendi wanavyokuonea
Hii ungeniambia PM dah ataiona sasa..Labda upo bahili unatongoza hata vizawadi hakuna
Kwa hiyo tufute tukatete pm?Hii ungeniambia PM dah ataiona sasa..
Nakubali dada ake. Nakupa siri tu kama hujui, wala bange grade one wote macho yao lazima yalegeeTupac alikuwa mzuri sana jamani [emoji2301][emoji2301] anavutia macho yake pua ana haiba ya kuvutia sana sijui kwanin alikufa mapema sana maskin sasa hivi angesumbua sana
HAKIKAKwa hiyo tufute tukatete pm?
Mmmh haihusian na bangi jamani kuna mtu mmoja hivi ana macho mazuri sana tena ye makubwa kiasi na wala havuti bangi wala kunywa pombeNakubali dada ake. Nakupa siri tu kama hujui, wala bange grade one wote macho yao lazima yalegee