Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Probably [emoji39], Ila Eminem aliingia kwny HipHop ili kuneutralise hashy words towards US govt, na kuua Black Supremacy & Domination kwenye HipHopEminem anawezaje kuflow vile??
Umeshakuwa dr. Wa meno Sasa au sio, hayo achana nayo ww angalia photo za mwamba then sepa.Ila familia ya Akina 2Pac wana Dental Formular mbaya. Hasa dada yake tupac ana meno mabayaView attachment 2386269
Happy mother's dayProbably [emoji39], Ila Eminem aliingia kwny HipHop ili kuneutralise hashy words towards US govt, na kuua Black Supremacy & Domination kwenye HipHop
Tupac angekuwa hai, Eminem asingemkaribia hata kiurafiki kwsbb Tupac hakuwa Mnafiki
Mimi nimetoa oni langu kutokana na Perspective-ion yangu. Nawe unaruhusiwa kutoa oni kwa mlengo uliopo. Kama unaona Dental formula yao nzuri basi sawa. Kwangu mie naona mbaya!Umeshakuwa dr. Wa meno Sasa au sio, hayo achana nayo ww angalia photo za mwamba then sepa.
Dear MamaI wish I could take the pain away
If you can make it through the night, there's a brighter day
Everything will be alright if you hold on
It's a struggle every day, gotta roll onView attachment 2609898
Eminem ilikuwa ni project ya "Sii Ai Ei" kuua "black sumpremacy" kwenye HipHop/Rap kama ulivyoandika.Probably [emoji39], Ila Eminem aliingia kwny HipHop ili kuneutralise hashy words towards US govt, na kuua Black Supremacy & Domination kwenye HipHop
Tupac angekuwa hai, Eminem asingemkaribia hata kiurafiki kwsbb Tupac hakuwa Mnafiki
It's just me against the world, baby..
Yasmin na afeni walikutana kwenye hiko chama na kuweka bond kubwa kinoma...kuanzia hapo urafiki wao ulidumu hadi kwa watoto
Na chafu yao alikuwa mume wake yasmin jina nimelisahau ambaye alikuwa mwanasiasa jela.
They got money for WAR but can't feed the poor #KEEPYOURHEADUP
Dear Mama
Haya katafute mkuu
kuna moja anaonyesha dole la kati ninayo ileeKama mtakua mmenotice... Mtaani kuna ongezeko kubwa la Tishet zenye picha ya 2Pac
nadhani sababu ni ile black live matter maana kwenye yale maandamao kulipigwa wimbo wa Tupac Changes.Kama mtakua mmenotice... Mtaani kuna ongezeko kubwa la Tishet zenye picha ya 2Pac
Ila alikuwa handsome🤤I wish I could take the pain away
If you can make it through the night, there's a brighter day
Everything will be alright if you hold on
It's a struggle every day, gotta roll onView attachment 2609898
TuoneKama mimi tu
Siku hizi niko porini mzee, ya mjini yananipita,Kama mtakua mmenotice... Mtaani kuna ongezeko kubwa la Tishet zenye picha ya 2Pac