Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naami pac alikula sana tu kwa Jada maana yule demu alikua anamzimikia sana. Jamaa ana nyota ya kupendwa sana hadi leoKatika Watu walibahatika kukutana na Pac mara kadhaa ni Will Smith, Smith anasema hakuwahi kuvutiwa kumfanya Pac rafiki kisa tu Jada alikuwa anamzimikia sana Pac... Hii ndo Bongo tuna Ntimanyongo!
Pac alivokuwa Jela, Yaki aliweka Record ya kuwa Mtu aliemtembelea sana huko Keko!
Tupac ni King wa East Coast na West CoastNaami pac alikula sana tu kwa Jada maana yule demu alikua anamzimikia sana. Jamaa ana nyota ya kupendwa sana hadi leo
Nataman kujua mama ake Yaki Kadafi na mama ake Tupac walikutana vipi. Maana walibond sana kama ndugu!Tupac ni King wa East Coast na West Coast
Cos ilizaliwa New York na Aliendeleza harakati zake California
Police walikuwa wanawasumbua sana cos bimkubwa wake alikuwa msumbufu kwenye chama la wana Black Panther.....
The feds is watchin' - plottin' to get meMoney bring Bitch
Bitch bring lie
#ALLEYEZONME #THUGLIFE TILL I'M GONE
Yasmin na afeni walikutana kwenye hiko chama na kuweka bond kubwa kinoma...kuanzia hapo urafiki wao ulidumu hadi kwa watotoNataman kujua mama ake Yaki Kadafi na mama ake Tupac walikutana vipi. Maana walibond sana kama ndugu!
Mbali na kukutanishwa na BP Party nini hasa kiliwafanya wabond zaid???
The feds is watchin' - plottin' to get me
Will I survive? Will I die? Come on, let's picture the possibility
Givin' me charges, lawyers makin' a grip
I told the judge I was raised wrong and that's why I blaze
Was hyper as a kid, cold as a teenager
On my mobile, callin' big shots on the scene major
Packin' hundreds in my drawers - the law
Passion, I'm livin' rough and raw
Catchin' cases at a fast rate, ballin' in the fast lane
Hustle 'til the mornin', never stopped until the cash came
View attachment 2495764
Hivi hadi Yaki anakufa baba yake alikua hajatoka jela.?Yasmin na afeni walikutana kwenye hiko chama na kuweka bond kubwa kinoma...kuanzia hapo urafiki wao ulidumu hadi kwa watoto
Na chafu yao alikuwa mume wake yasmin jina nimelisahau ambaye alikuwa mwanasiasa jela.
I'm old enough to go to War but not old enough to DrinkThey got money for WAR but can't feed the poor #KEEPYOURHEADUP
Mimi Pac na Nipsey hunitoi[emoji23]Uzi umenitoa machozi huu. 2Pac, Lucky Dube na Whitney Houston ndio wasanii ninaowapenda zaidi katika ulimwengu wa muziki. Wapumzike kwa Amani.
How many brothers feel victim in the street!?Mwenyezi Mungu arehemu roho zetu
[They met in another reality][emoji22][emoji22][emoji22]
View attachment 2536162
Yaap, ila hii photoshopMwenyezi Mungu arehemu roho zetu
[They met in another reality][emoji22][emoji22][emoji22]
View attachment 2536162