Alexander Lukashenko
JF-Expert Member
- Sep 9, 2017
- 4,140
- 9,667
ππ....makavelli.πππππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ππ....makavelli.πππππ
Umenifurahisha Sana.ππ....makavelli.
Mtu aliyezoea kusikiliza nyimbo za koh koh Yaw Yaw Baharesa.. akisikia hayo mashairi anasema jamaa muhuni tu mvuta bangeOnly God Can Judge Me ....nimeudownload sasa hivi ninakula mashairi...
No love from other side they wish I die
I call the nurse cause it hurts!
I' d rather die like a men instead of living like a coward
Wimbo una harakati huu kuliko za TL
26 yrs tangu afariki and he's still A GOAT of Rap. Kasikilize wimbo wa Ain't Mad at Cha uobe ujumbe wa maana ulioko huko kuhusu mabadirikoKwa kuongezea Tupac ndio aliwapa majina wenzako wote na kwa kifupi jamaa alikuwa msomi mzuri sana wavitabu refer kwenye album yake ya 7 theory na jina lake makavelli utaona alikuwa yuko ahead na mda kwa kumaliza kwangu ni best rap dead or alive..
Operation nyingi za Afghanistan hua wanaleta madawa US strictly for black neighborhood. Ndio maana wanajeshi weusi wakitoka huko hua wanadata coz they have witnessed and see things that they can't Unsee.Swadakta...
Kwanza kaangalie real life movie story ya Barry Seal inaiitwa inaitwa "American Made"
kwa jinsi alivyoruhusiwa na CIA kufanya biashara ya Cocaine ili fedha zinazopataikana zisaidie nchi za america ya kusini kuupinga mfumo wa kikomunisti unaondeshwa na serikali zao tawala..
Halafu
Kaitafute TV series inaiitwa "SNOWFALL"
Ili ujue jinsi ya hiyo shughuli ya ya Barry Seal ilivyotumika na CIA kuingiza Cocaine na kusambazwa kwa jamii ya watu weusi....
Mimi sio muhuni ila sometimes nakua na kazi ofisini background music inagonga 'Hit em up' inakua inanipa mood ya kazi sana jamaa anajua
He is my number 2 favourite rapper after jay z
First off, f**k your bitch and the click you claim
Westside when we ride come equipped with game
You claim to be a player but I f***d your wife
We bust on Bad Boy niggaz fucked for life
Plus Puffy tryin' ta see me weak hearts I rip
Biggie Smalls and Junior M.A.F.I.A. Some mark-ass bitches
We keep on comin' while we runnin' for yo' jewels
Steady gunnin, keep on bustin at them fools, you know the rules
Lil' Ceaser, go ask ya homie how I leave ya
Cut your young ass up, leave you in pieces, now be deceased
Lil' Kim, don't f**k around with real G's
Quick to snatch yo' ugly a**soff the streets, so f**ck peace
I let them niggaz know it's on for life
So let the Westside ride tonight
Bad Boy murdered on wax and killed
F**k wit' me and get yo' caps peeled, you know, see
Ngoja nami nimuite huyu pisi kali Strawbella so we can Us against the whole motherFu..king world[emoji125]
πππUmenifurahisha Sana.
Aahh26 yrs tangu afariki and he's still A GOAT of Rap. Kasikilize wimbo wa Ain't Mad at Cha uobe ujumbe wa maana ulioko huko kuhusu mabadiriko
She got a player for life and that's no bullshitinππAahh
Unanikumbusha mbali sana....
He went from nothin' to lots, ten carots to rock
Went from a nobody nigga to the big, man on the block
He's Mister local celebrity, addicted to move a key
Most hated by enemy, escape in the luxury
Oh you a Muslim now, no more dope game
Heard you might be comin' home, just got bail
Wanna go to the Mosque, don't wanna chase tail
I seems I lost my little homie he's a changed man
Hit the pen and now no sinnin' is the game plan
When I talk about money all you see is the struggle
When I tell you I'm livin' large you tell me it's trouble
Congratulation on the weddin', I hope your wife know
She got a playa for life, and that's no bullshittin'
ππππππ"spend my time in this cell, ain't livin' well
I know my destiny is Hell, where did I fail?
My life is in denial, and when I die
Baptized in eternal fire, I'll shed so many tears"
2Pac lives in my heart
View attachment 2386326
Muta Wasin...yaani ''Napoleon'' mwanakundi mwenzie Yaki Kadaffi ndiye aliyempiga risasi Dogo Yaki akiwa na miaka 19 tu.Naomba nikuulize..
Malcom X na Luther King Jr waliuawa kwakua walikua wahuni??
Unajua chanzo cha Yaki Kadafi kukukia kwa kina 2Pac?? Yote ni ajili ya oppression ya wazungu kwa wa afrika.
#BlackPantherParty
Sio mdogo wake ila Binamu yake NapoleonKifo cha Kadafi:
Baada ya Tupac kufa, Kadafi na baadhi ya Outlawz (Hussein Fatal, Young Noble, Napoleon) waliamua kurudi kwao (East Coast), wengine wakarudia kuwa mapusha wadogo wadogo (Hussein Fatal).
Siku moja (November 1996) huko New Jersey Kadafi (19) na Mdogo wake Napoleon (16) wakiwa wamelewa mapoda, wakawa wanataniana na kuonyeshana bastola, bahati mbaya bastola ya mdogo wake Napoleon ikafyatuka na kumuua Kadafi. Dogo akakimbia.
Baada ya miaka kadhaa na ushauri wa kujisalimisha aliopewa na kaka yake Napoleon, Dogo alijipeleka mwenyewe polisi na kuelezea hayo. Alisema nafsi ilikuwa inamsuta sana. Polisi kabla ya hapo walikuwa hawana idea nani kamuua Kadafi. Dogo alipigwa mvua ya miaka 7.
Napoleon aliamua kuwa Ostadh mpaka leo anazunguka nchi mbali mbali akihubiri hubiri na ana mkwanja mrefuView attachment 2387423
nimekupata kaka nimeifunza zaidi huu uzi wa Pac ni mzuri[emoji120]Naomba nikuulize..
Malcom X na Luther King Jr waliuawa kwakua walikua wahuni??
Unajua chanzo cha Yaki Kadafi kukukia kwa kina 2Pac?? Yote ni ajili ya oppression ya wazungu kwa wa afrika.
#BlackPantherParty
Ni tofauti kabisa.. Pac cheki pua zao, huyu mmoja mtaani huwa tunawaita manyampua.Hivi ni mimi pekee ndio naona huyu chalii Caleb McLaughlin, aliyecheza series ya Stranger Things (Lucas Sinclair) anafanana na Tupac alivyokua mtotoView attachment 2386406View attachment 2386409
Kuna watu wanadhan tupac wa kwenye movies za juice na above the rim ndio uhalisia wakat yeye aliigiza kuelemisha mablack madhala ya gangs violenceSure kk.. anaesema tupac muhuni hajawah sikiliza nyimbo zake
Ukisikiliza mashair ya kwmy nyimbo zake utagundua alkua mtu gn
#rip