makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Sick flows, he was a real spitter..sadly he was taken and his life cut short too early. I wonder what his first debut album would be like. Him and Fatal had unique voices.
Oh okay, nilijimix, ni story nilisomaga zamani, enzi za internet mpaka uende internet cafeSio mdogo wake ila Binamu yake Napoleon
Hvi aliacha watoto wangapi?That's why he's a legend
Sema kawatembezea kinoma noma wadada. Huyo ni dada ake WakoJako Janett Jackson
View attachment 2386436
Sure thing Hussein Fatal na Yaki wana flow flani hivi amaizing kuna wakati nashindwa kuwatofautisha. Sikiliza wimbo wa Baby don't cry Verse 2 anavyochana HusseinSick flows, he was a real spitter..sadly he was taken and his life cut short too early. I wonder what his first debut album would be like. Him and Fatal had unique voices.
Noma sana 2pac hua sichoki kuusikiliza so many tears. Remember Kato??? Napenda anavyotaja kato.Pac alikuwa ni hatari, lyrics, anavyo rap, anatambaa na biti ana energy, alikuwa anamzuka.. Msikilize ngoma alizoshirikisha watu, kuanzia california love, mpaka 2 of amerikaz most wanted, jamaa alikuwa balaa, anatambaa na biti kama hana akili nzuri.
Sikiliza so many tears na ngoma zake kibao, so sad naamini umauti ulimfika akiwa bado ana madinii mengi, ndio alikuwa anaelekea kwenye kilele cha ubora wake, na angekaa hapo akashindana hata na generations 2 hivi.
Why wakati alikuwa akiruka sana na kina dada ? Au mbegu zake hazikuwa na nguvu?Hakuacha watoto 2pac, ila Yaki kaacha watoto 2
Kutembeza dyudyu sio assurance ya kupata mtoto. Wa imani tunaamini mtoto mi Zawadi kutoka kwa Mungu, mpaka Mungu aruhusu hilo ndio unapata mtoto.W
Why wakati alikuwa akiruka sana na kina dada ? Au mbegu zake hazikuwa na nguvu?
Wanaccm bwana watu werevu mnaita watata ,watukutu kisa nguvu ya Kuhoji Mambo walionayo Tupac hakutakiwa kuuwawa leo taasisi zake zingesisimua Mambo mengi kwenye jamii duniani....Tupac angebaki hai mpaka sasa angekua anamiliki kundi baya sana watu watukutu kuwai kutokea,alikua na nyota pia ya kupendwa na watukutu,watata,makabaila,wahuni n,k.
huyu ni mtukutu haswa naamini kama kweli yupo mbinguni basi keshafanya virugu za kila aina huko.
Is there heaven for a g, remember me...Noma sana 2pac hua sichoki kuusikiliza so many tears. Remember Kato??? Napenda anavyotaja kato.
Watu wengi wenye madini waliondoka mapema duniani
Cc. Steven Kanumba
Yes ndio yeye.Huyu Yaki Kadafi ndo anasema "I am from N.E.W JERSEY where prenty of murder occurs" kwenye Hit em up?
...So many homies in cemetery, shed so many tears.Is there heaven for a g, remember me...
Bado sijafuatilia uhusiano wake na huyu kato ulikuaje na alikufa vipi.Kwa haraka haraka Kato katajwa kwenye ngoma zinaweza kufika 5 hivi ninazozijua mimi hiyo.
So many tears
”Be the first to blast Remember Kato
No longer with us; he’s deceased
Call on the sirens, seen him murdered in the streets, now rest in peace”
How Long Will They Mourn Me
”Yeah! This for my nigga Kato, it’s still on nigga – believe that”
” How long.. will they mourn.. my brother
(This for my nigga Kato, and all his kids)”
Life Goes On
”Hey Kato, Mental, y’all niggas make sure it’s poppin’ when we get up there”
Ngoma nyingine zimenitoka.
Kato alikuwa rafiki wa mchizi wake na big syke, alitambulishwa kwa tupac na big syke akiwa na mental illness mchizi mwingine wa big syke waliokuwa pamoja kwenye kundi la evil mind gangsterz...So many homies in cemetery, shed so many tears.
Bado sijafuatilia uhusiano wake na huyu kato ulikuaje na alikufa vipi.
Enlight me please about kato
Kwaiyo zikiingizwa black america wanalazimishwa kutumia unga na kuuwana kwa mabastola au inakuwaje waanze kuyatumia mzee yaani waafrica siku tukiacha izi lawama mbuzi ndo siku tutajikwamua kimaendeleo aiseeKweli kaka. Zipo Documentaries nyingi zinazoonyesha jinsi Unga na Bastola zilivyokuwa zinaingizwa kwa makontena kwenye inner cities za USA miaka ya 70. Nyingi zikitokea South America. Ukiingia YouTube unazikuta
Don't get me wrong mzee, hata Mimi si-support uhalifu...watu weusi ni kama tunakilaana flani cha kuchukiana...si Africa wala Ughaibuni, tunauana tu...Hata haya mamiziki ya kufokafoka niliachaga kuyasikiliza siku nyiiingi...basi tu story ya hawa OutLawz waga ipo interestingKwaiyo zikiingizwa black america wanalazimishwa kutumia unga na kuuwana kwa mabastola au inakuwaje waanze kuyatumia mzee yaani waafrica siku tukiacha izi lawama mbuzi ndo siku tutajikwamua kimaendeleo aisee
Thanks for demonstration sir...✌️Kato alikuwa rafiki wa mchizi wake na big syke, alitambulishwa kwa tupac na big syke akiwa na mental illness mchizi mwingine wa big syke waliokuwa pamoja kwenye kundi la evil mind gangsterz
Big syke ndio aliimba verse ya pili kwenye all eyez on me.
Kato aliuwawa wakati watu wanataka kuiba rims za gari ya big syke, rim flani hivi wamarekan kwenye gari zao wanatumia hasa wamarekani weusi zinaitwa dayton kama sikosei
Hapana ngoma nyingi ambazo hakuingia studio mwenyewe kufanya utundu wake sijazisikiliza album ya mwisho nadhani ilikuwa ni hiyo untill the end of time ama better dayz kama sikosei.Thanks for demonstration sir...✌️
Ngoja nikamsome zaid Big Skye..Kuna wimbo wa Xzibit ft 2Pac inaitwa Take them out ushawahi usikiliza.
!
!
Remember me as an outcast Outlaw
Another album out, that's what I'm about, more
Getting raw 'til the day I see my casket, buried as a G
While the whole world remembers me, until the end of time
Pac_ Till the end of Time
The question I wonder is after death, after my last breathAahh
Unanikumbusha mbali sana....
He went from nothin' to lots, ten carots to rock
Went from a nobody nigga to the big, man on the block
He's Mister local celebrity, addicted to move a key
Most hated by enemy, escape in the luxury
Oh you a Muslim now, no more dope game
Heard you might be comin' home, just got bail
Wanna go to the Mosque, don't wanna chase tail
I seems I lost my little homie he's a changed man
Hit the pen and now no sinnin' is the game plan
When I talk about money all you see is the struggle
When I tell you I'm livin' large you tell me it's trouble
Congratulation on the weddin', I hope your wife know
She got a playa for life, and that's no bullshittin'