Kumbukizi: Tupac na Yaki Kadafi enzi za utoto wao

Kumbukizi: Tupac na Yaki Kadafi enzi za utoto wao

Pac alikuwa ni hatari, lyrics, anavyo rap, anatambaa na biti ana energy, alikuwa anamzuka.. Msikilize ngoma alizoshirikisha watu, kuanzia california love, mpaka 2 of amerikaz most wanted, jamaa alikuwa balaa, anatambaa na biti kama hana akili nzuri.
Sikiliza so many tears na ngoma zake kibao, so sad naamini umauti ulimfika akiwa bado ana madinii mengi, ndio alikuwa anaelekea kwenye kilele cha ubora wake, na angekaa hapo akashindana hata na generations 2 hivi.
 
Sick flows, he was a real spitter..sadly he was taken and his life cut short too early. I wonder what his first debut album would be like. Him and Fatal had unique voices.
Sure thing Hussein Fatal na Yaki wana flow flani hivi amaizing kuna wakati nashindwa kuwatofautisha. Sikiliza wimbo wa Baby don't cry Verse 2 anavyochana Hussein
 
Pac alikuwa ni hatari, lyrics, anavyo rap, anatambaa na biti ana energy, alikuwa anamzuka.. Msikilize ngoma alizoshirikisha watu, kuanzia california love, mpaka 2 of amerikaz most wanted, jamaa alikuwa balaa, anatambaa na biti kama hana akili nzuri.
Sikiliza so many tears na ngoma zake kibao, so sad naamini umauti ulimfika akiwa bado ana madinii mengi, ndio alikuwa anaelekea kwenye kilele cha ubora wake, na angekaa hapo akashindana hata na generations 2 hivi.
Noma sana 2pac hua sichoki kuusikiliza so many tears. Remember Kato??? Napenda anavyotaja kato.
Watu wengi wenye madini waliondoka mapema duniani
Cc. Steven Kanumba
 
Tupac angebaki hai mpaka sasa angekua anamiliki kundi baya sana watu watukutu kuwai kutokea,alikua na nyota pia ya kupendwa na watukutu,watata,makabaila,wahuni n,k.
huyu ni mtukutu haswa naamini kama kweli yupo mbinguni basi keshafanya virugu za kila aina huko.
Wanaccm bwana watu werevu mnaita watata ,watukutu kisa nguvu ya Kuhoji Mambo walionayo Tupac hakutakiwa kuuwawa leo taasisi zake zingesisimua Mambo mengi kwenye jamii duniani....

Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
 
Noma sana 2pac hua sichoki kuusikiliza so many tears. Remember Kato??? Napenda anavyotaja kato.
Watu wengi wenye madini waliondoka mapema duniani
Cc. Steven Kanumba
Is there heaven for a g, remember me...

Kwa haraka haraka Kato katajwa kwenye ngoma zinaweza kufika 5 hivi ninazozijua mimi hiyo.

So many tears
”Be the first to blast Remember Kato
No longer with us; he’s deceased
Call on the sirens, seen him murdered in the streets, now rest in peace”


How Long Will They Mourn Me
”Yeah! This for my nigga Kato, it’s still on nigga – believe that”
” How long.. will they mourn.. my brother
(This for my nigga Kato, and all his kids)”


Life Goes On
”Hey Kato, Mental, y’all niggas make sure it’s poppin’ when we get up there”

Ngoma nyingine zimenitoka.
 
Huyu Yaki Kadafi ndo anasema "I am from N.E.W JERSEY where prenty of murder occurs" kwenye Hit em up?
Yes ndio yeye.

I'm from N-E-W Jerseys
Where plenty of murders occurs
No points or commas, we bring drama to all you herbs
Now go check the scenario
Little Ceas' I'll bring you fake G's to your knees
Copping pleas in de Janeiro
Little Kim, is you coked up or doped up?
Get your little Junior Whopper click smoked up
What the https://jamii.app/JFUserGuide, is you stupid?
I take money, crash and mash through Brooklyn
With my click looting, shooting and polluting your block
With a 15-shot cocked Glock to your knot
Outlaw MAFIA clique moving up another notch
And your pop stars popped and get mopped and dropped
And all your fake ass East coast props
Brainstormed and locked
 
Is there heaven for a g, remember me...
...So many homies in cemetery, shed so many tears.
Kwa haraka haraka Kato katajwa kwenye ngoma zinaweza kufika 5 hivi ninazozijua mimi hiyo.

So many tears
”Be the first to blast Remember Kato
No longer with us; he’s deceased
Call on the sirens, seen him murdered in the streets, now rest in peace”


How Long Will They Mourn Me
”Yeah! This for my nigga Kato, it’s still on nigga – believe that”
” How long.. will they mourn.. my brother
(This for my nigga Kato, and all his kids)”


Life Goes On
”Hey Kato, Mental, y’all niggas make sure it’s poppin’ when we get up there”

Ngoma nyingine zimenitoka.
Bado sijafuatilia uhusiano wake na huyu kato ulikuaje na alikufa vipi.
Enlight me please about kato
 
...So many homies in cemetery, shed so many tears.

Bado sijafuatilia uhusiano wake na huyu kato ulikuaje na alikufa vipi.
Enlight me please about kato
Kato alikuwa rafiki wa mchizi wake na big syke, alitambulishwa kwa tupac na big syke akiwa na mental illness mchizi mwingine wa big syke waliokuwa pamoja kwenye kundi la evil mind gangsterz

Big syke ndio aliimba verse ya pili kwenye all eyez on me.

Kato aliuwawa wakati watu wanataka kuiba rims za gari ya big syke, rim flani hivi wamarekan kwenye gari zao wanatumia hasa wamarekani weusi zinaitwa dayton kama sikosei
 
Kweli kaka. Zipo Documentaries nyingi zinazoonyesha jinsi Unga na Bastola zilivyokuwa zinaingizwa kwa makontena kwenye inner cities za USA miaka ya 70. Nyingi zikitokea South America. Ukiingia YouTube unazikuta
Kwaiyo zikiingizwa black america wanalazimishwa kutumia unga na kuuwana kwa mabastola au inakuwaje waanze kuyatumia mzee yaani waafrica siku tukiacha izi lawama mbuzi ndo siku tutajikwamua kimaendeleo aisee
 
Kwaiyo zikiingizwa black america wanalazimishwa kutumia unga na kuuwana kwa mabastola au inakuwaje waanze kuyatumia mzee yaani waafrica siku tukiacha izi lawama mbuzi ndo siku tutajikwamua kimaendeleo aisee
Don't get me wrong mzee, hata Mimi si-support uhalifu...watu weusi ni kama tunakilaana flani cha kuchukiana...si Africa wala Ughaibuni, tunauana tu...Hata haya mamiziki ya kufokafoka niliachaga kuyasikiliza siku nyiiingi...basi tu story ya hawa OutLawz waga ipo interesting
 
Kato alikuwa rafiki wa mchizi wake na big syke, alitambulishwa kwa tupac na big syke akiwa na mental illness mchizi mwingine wa big syke waliokuwa pamoja kwenye kundi la evil mind gangsterz

Big syke ndio aliimba verse ya pili kwenye all eyez on me.

Kato aliuwawa wakati watu wanataka kuiba rims za gari ya big syke, rim flani hivi wamarekan kwenye gari zao wanatumia hasa wamarekani weusi zinaitwa dayton kama sikosei
Thanks for demonstration sir...✌️
Ngoja nikamsome zaid Big Skye..Kuna wimbo wa Xzibit ft 2Pac inaitwa Take them out ushawahi usikiliza.
!
!
Remember me as an outcast Outlaw
Another album out, that's what I'm about, more
Getting raw 'til the day I see my casket, buried as a G
While the whole world remembers me, until the end of time

Pac_ Till the end of Time
 
Thanks for demonstration sir...✌️
Ngoja nikamsome zaid Big Skye..Kuna wimbo wa Xzibit ft 2Pac inaitwa Take them out ushawahi usikiliza.
!
!
Remember me as an outcast Outlaw
Another album out, that's what I'm about, more
Getting raw 'til the day I see my casket, buried as a G
While the whole world remembers me, until the end of time

Pac_ Till the end of Time
Hapana ngoma nyingi ambazo hakuingia studio mwenyewe kufanya utundu wake sijazisikiliza album ya mwisho nadhani ilikuwa ni hiyo untill the end of time ama better dayz kama sikosei.

Ila hiyo ngoma ya until the end of time ni konki.. Jamaa alikuwa nux bin hatari.
 
Aahh
Unanikumbusha mbali sana....

He went from nothin' to lots, ten carots to rock
Went from a nobody nigga to the big, man on the block
He's Mister local celebrity, addicted to move a key
Most hated by enemy, escape in the luxury

Oh you a Muslim now, no more dope game
Heard you might be comin' home, just got bail
Wanna go to the Mosque, don't wanna chase tail
I seems I lost my little homie he's a changed man
Hit the pen and now no sinnin' is the game plan
When I talk about money all you see is the struggle
When I tell you I'm livin' large you tell me it's trouble
Congratulation on the weddin', I hope your wife know
She got a playa for life, and that's no bullshittin'
The question I wonder is after death, after my last breath
When will I finally get to rest through this oppression?
They punish the people that's askin' questions,
And those that possess steal from the ones without possessions
The message I stress: to make it stop, study your lessons
Don't settle for less, even the genius asks his questions
Be grateful for blessings, don't ever change, keep your essence
The power is in the people and politics we address
Always do your best, don't let the pressure make you panic
 
Back
Top Bottom