How about California love??
Kci/jojo kwenye chorus jamaa walikuwa vizur ila maisha yao ya sasa hv wanasikitisha sijui walikosea wap wahun wenzao kina snup diddy dre nas wako njemaHow do u want it?[emoji2]
Tupac kuwa rapa bora kuwahi kutokea ni debatable.2pac marehemu anayeongoza Kwa kusujudiwa na walio hai. Ni msanii aliyefunguliwa akaunti nyingi kwenye mitandao ya kijamii (Facebook, Instagram) ikiwa ni sehemu ya kumuenzi kama rapa Bora kuwahi kutokea hapa duniani.
Sijajua kama uwezo wake wa ku-rap ndiyo unamfanya kuenziwa au alikuwa ana nyota Kali ya kupendwa ndiyo sababu ya kuendelea kuenziwa.
I want it like Romeo and Juliet, Strawbella
Kci/jojo kwenye chorus jamaa walikuwa vizur ila maisha yao ya sasa hv wanasikitisha sijui walikosea wap wahun wenzao kina snup diddy dre nas wako njema
No more Pain with your california Love[emoji7]
Iko hiviKila tarehe 9 october ni siku ya kuzaliwa ya Rapper Yafeu Akiyele Fula A.K.A Yaki Kadafi. Mama yake Diamond huwa anasema kwamba kipindi Rommy Jones akiwa mdogo ilifikia hatua hata kumpa nyonyo japo hakua mwanae ila alikuwa na urafiki na mama yake Rommy.
Hivyo hivyo kwa huyu bwana mdogo Yaki Kadafi, familia yake na ya Tupac walikua marafiki na wote walikuwa wanachama cha Black Panther Party. kwaiyo muda mwingi aliutumia akiwa na kaka yake wa kufikia Tupac, Tupac alimizdi miaka 5/6.
Kwaiyo walikua pamoja kama kaka na mdogo kama vile Rommy Jones na Diamond wamekuwa. Umeona anajiita Yaki Kadafi and it sound like Gadaffi. Yes it is.
Kundi la Outlawz lililoundwa na Tupac, walikua wanatumia A.K.A za Madikteta mbalimbali;
Except 2Pac pekee ndio alijipa jina la mwanafalsafa kutoka Italia, Nicolo Machiaveli and 2Pac Remains as Phylosophical rapper ever lived.
- Hussein Fatal - Jina la Sadam Hussein
- E.D.I Mean - Jina la Idd Amin dada
- Kastro - Fidel Castro
- Mussolini - Benitto mussolini
- Napoleon - Napoleon Bonaparte
Bahati mbaya wote wawili waliuawa kwa risasi ndani ya mwaka mmoja.
View attachment 2386245
Mkuu picha yake tafadhaliIko hivi
Kundi la Outlaws la Tupac Shakur lilikuwa kubwa, lilikuwa na member wengine wawili mmoja alikuwa Mwafrika (Mghana), miaka ya 1998-1999 alikimbilia kwao Ghana, kisha kwa Aunt yake Nairobi then akaishia ARUSHA - Tanzania, Alikuwa anajiita BLACKII
Alikuwa anaishi nyumba iliyopo jirani kabisa na uwanja wa Gymkhana inatazamana na Prime Sec.School
Alikuwa na tabia ya kusoma Magazeti mahotelini hasa Impala hotel na Library ya Mkoa wa Arusha na T-shirt yake iliyoandikwa JKTW (Just Kill Those Whites) kwa nyuma
Blackii alikuwa anasema popote utakapoweza kumuua mzungu muue tu
Strawbella, What'z Ya Phone number #"
Dre ni gangsta? Tangu lini?Tupac alikuwa na influence kubwa sana kutokana na harakati zake kuwa influenced na black panthers ( Mama yake alikuwa ni miongoni mwa members ), mhuni wala hakuwa mhuni kihivyo......
Alikuwa na uhuni wa kawaida wa kila black America aliyekulia kwenye Hoods.
Real gangsters mbona bado wapo hadi leo....
Dr dre - kuna kipindi alikuwa anakamatwa karibia kila wikiendi.
Kurupt - Huyu hata ukimuona unaogopa.
N.W.A wote hawa ndio ukiskiliza ngoma zao mpaka unaogopa. Mfano F.....ck police the way ilisababisha Vurugu compton.
Snoop, na wengine waliodanja kwa mambo mengine.
Afeni Shakur hakuwa kwenye listi ya "FBI most wanted". Umechanganya na Assata Shakur ambaye alikimbilia Cuba na anaishi huko mpaka leo.Wengi wasilolijua au halisemwi ni kuwa 2pac alishiriki ktk kampeni nyingi za black panther akiwa mtoa mada kuhusu black consciousness. His mother Afen, amekufa akiwa ktk FBI most wanted list kwa sababu ya kuhamasisha haki za mtu mweusi USA.
He was very brainy person. Wengi wanamjua kwa kupitia nyimbo lakini si kwa mahojiano yake. Na naamini wazungu walikuwa hawapublish sana mahojiano yake. Kwa sababu alikuwa na uwezo mkubwa wa kujenga hoja. Walimvictimize sana kupitia nyimbo zake kadhaa zilizokuwa zina parential guidance.
Yote kwa yote napenda his lyrics. Lakini flow yake ilizidiwa utamu na ya Notorious BIG.
We unamjua Dre yupi?Dre ni gangsta? Tangu lini?
Mashairi ya 2pac yalishiba uhalisia , the guy was genius , mtu ambaye hakufikisha hata 30 years , anaongelewa kwa zaidi ya miaka 30 baada ya kifo chake"spend my time in this cell, ain't livin' well
I know my destiny is Hell, where did I fail?
My life is in denial, and when I die
Baptized in eternal fire, I'll shed so many tears"
2Pac lives in my heart
View attachment 2386326
Sahihi kabisa , angalia hii akiwakalisha waandishi wa habari alipotoka court houseUkitaka wanawake wanaojitambua wakupende kichwa chako kiwa smart tu.
Akili ni nywele ila upara wa tupac ulikua unatema madini balaa