Pre GE2025 Kumbukizi: Viongozi Tabora CHADEMA walizichapa kisa uchaguzi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
C
Chadema wanagombana sana,ndio furaha yetu na mtu tuliyempa kazi ya kuwapoteza Sultan Mbowe
 
Eti hao ndio wanataka Katiba Mpya 😁😁Uchaguzi ndani ya CDM unatumia rushwa ili kupata viongozi watakaopambana kuleta katiba mpya ya kupinga rushwa na ufisadi
 
Sikuwahi kudhani CHADEMA ni chama kikubwa hivyo mmana Kila mtu anata uongozi nani ya CHADEMA, Inawezekana mama kahaidi neema Kwa CHADEMA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…