Kumbukizi ya miaka 20 ya Moses Nnauye imetegua vitendawili vingi

Kati ya vitu tunavyo weza kuja kuvijutia baadaye ni haya majina tunayo yaandika sana Sukuma gang ,Msoga gang na mengine yanayo fanana na hayo.

Nchi yetu ni ya watanzania wote bila kujari mkoa au Kijiji anacho tokea.
Magufuli ndiye kalihqribu taifa. Mwanzo hatukuwa na huu ujinga Magufuli ndiyo kauleta.

Watu wamebomolewa nyumba zao pale Kimara lkn Mwanza akasema ziaiguswe ni za wapiga kura wake

Dar wamachinga walipata kashkash Mwanza ilipoguswa akawa mkali na kusitisha nchi nzima

Teuzi zote zikawa zinaangalia Kanda ya ziwa

Kwahiyo alaumiwe mwanzilishi wa sukuma gang
 
Sukuma Gang tuna hazina ya potential candidates.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Tatizo lenu ndani ya chama chenu mshazoea kuwauzia Watanzania mbuzi kwenye gunia...
Yaani mnaamini mkimleta kilaza yeyote atachagulika hata kwa mitutu ya bunduki...!!
Hamuandai viongozi bali mnaandaa makundi hasimu ndani ya chama!
Mwisho wa siku nchi inakuwa kama gurudumu inazunguka ikiwa pale pale...!

NB: ccm na magenge yake yote - Sukuma Gang, Msoga, Visiwa, la saba, n.k ni hatari sana kwa maendeleo ya wananchi...
 
Viongozi uandaliwa... Kuna madhara makubwa sana kuuziwa jina bila kufanya vetting ya kutosha na ya miaka mingi.
Yaliyotokea kwa Marekani ya Trump ndo kama yale yale yalotokea kwa nchini!
Kuwa na mfalme mwenye madaraka makubwa hasiyekuwa kiongozi!


NB: Nature inapotoa fundisho... Tujifunze!
 
Kati ya vitu tunavyo weza kuja kuvijutia baadaye ni haya majina tunayo yaandika sana Sukuma gang ,Msoga gang na mengine yanayo fanana na hayo.

Systems za binadamu haziko constant... zina kua... zinabadilika... Yote haya hayana budi kutoa kwanza kabla wananchi hawajajua thamani yao!

Nchi yetu ni ya watanzania wote bila kujari mkoa au Kijiji anacho tokea.

Hii conclusion inahitaji elimu kubwa sana kuitambua, kuielewa na kuiishi...
Nionavo mimi, ccm kwa makusudi imefanya mapinduzi kwa kuwapa watu elimu ya ovyo ya kuwafanya kuwa tegemezi!
Wengi wanaamini nchi hii ni ya viongozi na ccm; waamue wajuavyo na watakavyo... ilmradi wao wanaishi, wanakula, wanapigia makofi ya shangwe basi all is well!!
 
Uadui wa Nchimbi na Nape ulianzia wapi mkuu kama hutojari nifumbue macho wengine siasa imetupita pembeni.
Uadui ulianzia ufisadi wa Nchimbi ktk umiliki wa jengo la UVCCM hapo Dar. Nchimbi akiwa ni mwenyekiti wa UVCCM alifisadi mradi wa jengo hilo akishirikiana na Lowasa &co. Nape alikomalia jambo hilo, wakati huo Nchimbi akielekea kumaliza muda wake wa uongozi na akahakikisha kwamba Nape hapati nafasi ya M/kiti wa UVCCM. Kulikuwa na sarakasi za kishenzi tu hadi kuahirisha uchaguzi ili tu baadaye uchaguzi ukifanyika, Umri wa Nape uwe nje ya kanuni. Nape hakuipata nafasi hiyo.
 
Aliyemuombea Kikwete uwaziri kwa Mwinyi ni Wariobya sio Nnauye.
Warioba angemjua wapi Kikwete wakati Kikwete alikuwa wilayani mbali kabisa?
Nnauye alimjua Kikwete tangu jeshini na huko wilayani. Mwinyi aliwaingiza wawili kwa pamoja; Kikwete na Zakia Megji kwa kisinghizio cha damu mpya. Nyuma ya pazia nguvu ya udini ilisaidia sana.
 
Sisi Sukuma Gang hatutakubali kabisa lazima turudi ulingoni tena, afe beki afe kipa,ujinga wakati wa kwenda tu,tumeshajua kila kitu walichofanya hawa Msoga Gang.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Sukuma Gang wameshaondolewa kwenye reli tayari. Imebaki kuangukia kwenye korongo...... Poleni sana. Mlikuja kwa kasi kubwa bila ya kuchukua tahadhari. Mkaendelea kukanyaga mafuta na kusahau breki.
 
Ngoja tusubiri
 
Assnte kwa Mada nzuri na ya kufikirisha na kujipanga. Ila naogopa sana siasa kwa sasa
 
Mi husema ukweli kwa ujinga ndani ya nchi. Kubomolewa kwa Mwanza ilikuwa ni kama ubomoe ubungo Kibangu, ni squatters ambazo watu wa uwanja wa ndege walitaka ziondolewe kwa shida kwamba watu wasipite karibu na uwanja wa ndege. Which was nonsense! Kwani ndege ni nunda mula watu?

Machinga wa Mwanza mtaa maarufu uitwao Makoroboi ni jambo la kulielewa vizuri sana. Mtaa unaitwa makoroboi kwa sababu tangu miaka ya 60 ni mtaa wa machinga watengeneza makoroboi. Baadaye wahindi wakafungua msikiti, geti likitokea mtaa huo. Kwa ubaguzi wa wahindi wasiotaka hata mswahili aswali msikitini kwao, wakaona kama weusi hawa wanaharibu sura ya msikiti. wakaanza kuhonga maafisa wa jiji ili waondolewe. Je, hiyo inafaa kwa Afrika?

Kuhusu Kimara, hapo ni uzembe tu! Hakuna aliyeonewa. imesemwa mara nyingi kwamba Morogoro road tangu enzi ya mkoloni ina sheria yake, ikitambulika kama barabara kuu ya kutoka Dar. Sheria haijawahi badilika miaka yote. Kwa uzembe wetu tukaivamia tangu ubungo mataa ya zamani kulikuwa na bucha za nyama kibao hata transformer zikiwa ndani ya nyumba za watu. Kimara hadi vent za bomba kuu la maji zilikuwa nyumbani kwa watu. watu walijenga hadi juu ya bomba. Nani wa kulaumiwa? Tusipende kudeka deka!
 
Gujiwe la watu lilikuwa linajiendea tu!! km jongoo! halioni mbele!...lilikuwa na akili fupi sana! Dunia ina wenyewe hii! ukiji make! make! wana kume kisha Dunia bana kamwe usikurupukege! utaumia sana!! hata ufanyeyje! ndo ilivo! .......

ni km Mbinguni tu! kule bana tukifika usijitie kihere here!! cha kumjua saaana Mungu, km kile eee cha yaliyo mkuta Shetani! ..huyu jamaa mpaka leomitaa ya mbinguni ameisahau! na hatakiwi huko! shetani alijifanya kumjua Mungu sana! akaingiza na utani bila kujua!!!

yaliyo mkuta Jiwe kila mtu najua.......jiwe bana ni km alikuwa na tabia za Babab yake shetani kabisaaa!! kiburi kilimfanya ashindwe kujus namna ya uongozi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…