Huo ndio utabiri wa Kada wa CHADEMA na mfuasi wa Mbowe akiwataka wajumbe kutomchagua Tundu Lissu kwani hana hata pesa ya kujiongoza mwenyewe hivyo atawezaje kukiongoza chama chenye mamilioni ya wafuasi!
Yericko anasema kuwa endapo Tundu Lissu atachaguliwa basi CHADEMA kitakufa ndani ya miezi miwili kwa kukosa pesa. Akaongeza kuwa, Freeman Mbowe ana ukwasi na ndiye aliyegharamia mkutano huo kwa zaidi ya Tsh Milioni 300.
Hayo ni maneno ya Mzee wa Pesa, Nyama na Pombe za bure kutoka kwa FAM
Huo ndio utabiri wa Kada wa CHADEMA na mfuasi wa Mbowe akiwataka wajumbe kutomchagua Tundu Lissu kwani hana hata pesa ya kujiongoza mwenyewe hivyo atawezaje kukiongoza chama chenye mamilioni ya wafuasi!
Yericko anasema kuwa endapo Tundu Lissu atachaguliwa basi CHADEMA kitakufa ndani ya miezi miwili kwa kukosa pesa. Akaongeza kuwa, Freeman Mbowe ana ukwasi na ndiye aliyegharamia mkutano huo kwa zaidi ya Tsh Milioni 300.
Hayo ni maneno ya Mzee wa Pesa, Nyama na Pombe za bure kutoka kwa FAM
Ushindi wa Tundu Lissu Ni afya kwa demokrasia yetu kuwa na upinzani imara. Hii ni wake up call kwenye maeneo yote ambako haki inadhulumiwa na uwajibikaji unadorora Baada ya uchaguzi tunavunja kambi, sasa hivi Tundu Lissu ndiye tegemeo letu wote kuifanya Serikali iwajibike
Huo ndio utabiri wa Kada wa CHADEMA na mfuasi wa Mbowe akiwataka wajumbe kutomchagua Tundu Lissu kwani hana hata pesa ya kujiongoza mwenyewe hivyo atawezaje kukiongoza chama chenye mamilioni ya wafuasi!
Yericko anasema kuwa endapo Tundu Lissu atachaguliwa basi CHADEMA kitakufa ndani ya miezi miwili kwa kukosa pesa. Akaongeza kuwa, Freeman Mbowe ana ukwasi na ndiye aliyegharamia mkutano huo kwa zaidi ya Tsh Milioni 300.
Hayo ni maneno ya Mzee wa Pesa, Nyama na Pombe za bure kutoka kwa FAM
Hawa waandishi wabongo bwana eti "mtaalamu wa ujasusi", hivi alishindwa hata kutumia akili kuona upepo wa kisiasa ulivyokua unavuma na kumshauri Mbowe vizuri?
Pia aache kutumia hilo jina la Nyerere ni impersonation wakati hana quality hata moja kuwa ukoo wa Nyerere!! Empty set kabisa
Kampeni ndani ya chama zimeisha Chama kimeshapata uongozi mpya.
kwa sasa wana CDM wote wana jukumu kubwa mbele yao la kuwa kitu kimoja ili kuwaongiza watanzania wote kulipambania taifa lao. Muda ni mfupi mambo ni mengi sana kufikia October.
Ukiona mtu anakuja na vi clip wakati wa kampeni leo humu basi ujue yule si mwana CDM bali ni wale among CHAWA wa mama yao.
Chadema chini ya Lofa Tundu Lisu na malofa team Lisu inakufa kwa ukata wa pesa wala sio siri
Mbowe miaka nenda rudi kwa kupenda chama alikigharimia kwa pesa zake binafsi kama hobby
Malofa team Lisu wakadhani Chadema kuna pesa nyingi
Naapa Chadema kinaenda kumfia Lisu mikononi na hadi uchaguzi mkuu unafika October Chadema itakuwa hoi bin taabani haitakuwa na nauli hata za kusafirisha wajumbe au viongozi wa kampeni hata kwa daladala