Kumbukumbu kutoka kwa Professor Jay kwenye uzinduzi wa Albumya pili ya Mapinduzi halisi

Kumbukumbu kutoka kwa Professor Jay kwenye uzinduzi wa Albumya pili ya Mapinduzi halisi

beatboi

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2021
Posts
561
Reaction score
1,356
1737135344024.jpg

The Unforgetable THROW BACK 🔥🔥🔥

Ilikuwa mwaka 2003 takribani Miaka 22 iliyopita nikiwa naingia kwenye ukumbi wa DIAMOND JUBILEE - UPANGA kwa kusukuma Mkokoteni 'KiZALI LA MENTALI' feat Sirnature kwenye uzinduzi wa Album yangu ya pili ya MAPINDUZI HALISI ambayo baadae ilikuja kutangazwa na KILIMANJARO MUSIC AWARDS wakati huo (sasa TMA) kuwa album bora ya HIP HOP kwa mwaka 2003,

Nilikuwa nimezungukwa na MIILI VIBANDA (Bouncers) pamoja na Producer wangu bora wa muda wote Tanzania Majani187 of BONGO RECORDS na Solothang_aka_ulamaa 👑

NB: Ni wasanii wachache sana tuliokuwa na uwezo wa kuujaza ukumbi mkubwa wa DIAMOND JUBILEE na ukatapika kisawasawa💪💪💪

Je wewe ulikuwa wapi kipindi hiki???
 
kumbu nakupa zaidi huu mkokoteni ulikuwa wa jamaa mmoja hivi pale MWANANYAMALA A pale mtaa wa pili ukitoka A kwenda mwananyamala hosptari na ndio alifanyia na VIDEO YA ZALI LA MENTARI na hata kwenye VIDEO huyo jamaq anaonekana anacheka anaPENGO hivi kitambo sana hii
 
Watoto wa 2000 kwenye uzi kama huu huwa wanapita tu kimyakimya. Maana wenyewe wamewazoea wenzao kina Zuchu, Diamond, Marioo na Harmonize.

Ukiwaambia enzi hizo Lady JayDee alikuwa anajiita Commando, hawataamini. Sugu anajiita MOTOCHINI!! Afande Sele anaitwa Mfalme wa Rhymes!! Ndiyo unawachanganya kabisa.
 
Watoto wa 2000 kwenye uzi kama huu huwa wanapita tu kimyakimya. Maana wenyewe wamewazoea wenzao kina Zuchu, Diamond, Marioo na Harmonize.

Ukiwaambia enzi hizo Lady JayDee alikuwa anajiita Commando, hawataamini. Sugu anajiita MOTOCHINI!! Afande Sele anaitwa Mfalme wa Rhymes!! Ndiyo unawachanganya kabisa.
watoto wa elfu mbili wenzao ni kina Diamond?
 
Watoto wa 2000 kwenye uzi kama huu huwa wanapita tu kimyakimya. Maana wenyewe wamewazoea wenzao kina Zuchu, Diamond, Marioo na Harmonize.

Ukiwaambia enzi hizo Lady JayDee alikuwa anajiita Commando, hawataamini. Sugu anajiita MOTOCHINI!! Afande Sele anaitwa Mfalme wa Rhymes!! Ndiyo unawachanganya kabisa.
Kuna ufahari gani kuzaliwa mapema hapa duniani zaidi ya kuzeeka mapema na kuwahi kufa?

Hivi kati ya mtu aliye kwenye late 70's na aliye kwenye early 20's nani ana potential ya maisha hapa duniani.

Wewe ni taahira?
 
Kuna ufahari gani kuzaliwa mapema hapa duniani zaidi ya kuzeeka mapema na kuwahi kufa?

Hivi kati ya mtu aliye kwenye late 70's na aliye kwenye early 20's nani ana potential ya maisha hapa duniani.

Wewe ni taahira?
Mifi 🧠
 
Mambo swadakta niko na vicky ndio my wife...Kidume nang'aa wanaojigonga Shenzz typeee...shenz type!
Nilipokuwa nasota mlinikwepa kama ukoma, mambo juu ya mstari kunisalimu mnaona noma.
Vicky ni Jay....Jay ni Vicky mustarehe kutoka ndani ya dhiki sa kila siku shereeh!
 
Ilifika siku ya siku mentali Jay ndani ya jumba
Na Vickie ndani ya shela hakuna uchawi wala ndumba
Tulishikana mikono ni nderemo na vifijo (halele!)
Tukafunga pingu za maisha kanisani bila ya fujo
Furaha isiyo kifani lilifanyika bonge la party
Watoto wa uswahili walibeba wali kwenye mashati (du)
Zawadi zilizagaa zilikuwa nyingi tena kemukemu
Baba mkwe alitupa Benz, kiwanda, nyumba na BM
 
Ilifika siku ya siku mentali Jay ndani ya jumba
Na Vickie ndani ya shela hakuna uchawi wala ndumba
Tulishikana mikono ni nderemo na vifijo (halele!)
Tukafunga pingu za maisha kanisani bila ya fujo
Furaha isiyo kifani lilifanyika bonge la party
Watoto wa uswahili walibeba wali kwenye mashati (du)
Zawadi zilizagaa zilikuwa nyingi tena kemukemu
Baba mkwe alitupa Benz, kiwanda, nyumba na BM
hawa watoto sasa hivi watu wazima na familia zao
Screenshot_20250120-225627.png
Screenshot_20250120-225713.png
 
Back
Top Bottom