Kumbukumbu mbaya za mapenzi: Mpenzi wangu kuchumbiwa na Mwanaume mwingine

Kumbukumbu mbaya za mapenzi: Mpenzi wangu kuchumbiwa na Mwanaume mwingine

Bora ata ww kakwambia ukweli.
Mm hatukugombana ila aliniaga anaenda kwao maana life la kuishi kwa dingi yake mdogo amechoka. Baada akaniambia sim mbovu baada ya mda nikapata namba ya mdogo ake kutoka kwa rafiki yake.
Mda wote nikawa mawasiliana nae ananiambia yupo kwao (ukerewe) na hana mpango wa kurudi town (mwanza) kidume nikaanza kusaka sehem pakujishikisha. Kila nilichokuwa nafanya nilikuwa najiapiza nikifanikisha tu lazma nimuite tuje tuishi wote.
Mwisho wa siku nakuja kupata taarifa kuwa sahiv yupo analea na ameolewa na mbaya zaid yupo mwanza na sio kwao kama alivyokuwa ananiaminisha.
Nilijaribu kupeleleza kwa rafiki zake na pamoja na mdogo wake wakanihakikishia ni kweli ameolewa na yeye ndio aliwambia wasiniambie kama kaolewa na yupo town humu humu na namba kabadirisha sio kwamba sim yake ni mbovu. Aisee niliumia ila nilikubari matokeo nikafuta namba zao maisha yakaendelea.

Kuna mda lazma ujifunze kuacha mambo yapite sio kila mtu uliyenae leo ndio utakae zikwa nae
 
Bora ata ww kakwambia ukweli.
Mm hatukugombana ila aliniaga anaenda kwao maana life la kuishi kwa dingi yake mdogo amechoka. Baada akaniambia sim mbovu baada ya mda nikapata namba ya mdogo ake kutoka kwa rafiki yake.
Mda wote nikawa mawasiliana nae ananiambia yupo kwao (ukerewe) na hana mpango wa kurudi town (mwanza) kidume nikaanza kusaka sehem pakujishikisha. Kila nilichokuwa nafanya nilikuwa najiapiza nikifanikisha tu lazma nimuite tuje tuishi wote.
Mwisho wa siku nakuja kupata taarifa kuwa sahiv yupo analea na ameolewa na mbaya zaid yupo mwanza na sio kwao kama alivyokuwa ananiaminisha.
Nilijaribu kupeleleza kwa rafiki zake na pamoja na mdogo wake wakanihakikishia ni kweli ameolewa na yeye ndio aliwambia wasiniambie kama kaolewa na yupo town humu humu na namba kabadirisha sio kwamba sim yake ni mbovu. Aisee niliumia ila nilikubari matokeo nikafuta namba zao maisha yakaendelea.

Kuna mda lazma ujifunze kuacha mambo yapite sio kila mtu uliyenae leo ndio utakae zikwa nae
Pole sana.
 
Bora ata ww kakwambia ukweli.
Mm hatukugombana ila aliniaga anaenda kwao maana life la kuishi kwa dingi yake mdogo amechoka. Baada akaniambia sim mbovu baada ya mda nikapata namba ya mdogo ake kutoka kwa rafiki yake.
Mda wote nikawa mawasiliana nae ananiambia yupo kwao (ukerewe) na hana mpango wa kurudi town (mwanza) kidume nikaanza kusaka sehem pakujishikisha. Kila nilichokuwa nafanya nilikuwa najiapiza nikifanikisha tu lazma nimuite tuje tuishi wote.
Mwisho wa siku nakuja kupata taarifa kuwa sahiv yupo analea na ameolewa na mbaya zaid yupo mwanza na sio kwao kama alivyokuwa ananiaminisha.
Nilijaribu kupeleleza kwa rafiki zake na pamoja na mdogo wake wakanihakikishia ni kweli ameolewa na yeye ndio aliwambia wasiniambie kama kaolewa na yupo town humu humu na namba kabadirisha sio kwamba sim yake ni mbovu. Aisee niliumia ila nilikubari matokeo nikafuta namba zao maisha yakaendelea.

Kuna mda lazma ujifunze kuacha mambo yapite sio kila mtu uliyenae leo ndio utakae zikwa nae
Pole na hongera kumovs on
 
Bora ata ww kakwambia ukweli.
Mm hatukugombana ila aliniaga anaenda kwao maana life la kuishi kwa dingi yake mdogo amechoka. Baada akaniambia sim mbovu baada ya mda nikapata namba ya mdogo ake kutoka kwa rafiki yake.
Mda wote nikawa mawasiliana nae ananiambia yupo kwao (ukerewe) na hana mpango wa kurudi town (mwanza) kidume nikaanza kusaka sehem pakujishikisha. Kila nilichokuwa nafanya nilikuwa najiapiza nikifanikisha tu lazma nimuite tuje tuishi wote.
Mwisho wa siku nakuja kupata taarifa kuwa sahiv yupo analea na ameolewa na mbaya zaid yupo mwanza na sio kwao kama alivyokuwa ananiaminisha.
Nilijaribu kupeleleza kwa rafiki zake na pamoja na mdogo wake wakanihakikishia ni kweli ameolewa na yeye ndio aliwambia wasiniambie kama kaolewa na yupo town humu humu na namba kabadirisha sio kwamba sim yake ni mbovu. Aisee niliumia ila nilikubari matokeo nikafuta namba zao maisha yakaendelea.

Kuna mda lazma ujifunze kuacha mambo yapite sio kila mtu uliyenae leo ndio utakae zikwa nae
bravo
 
Bora ata ww kakwambia ukweli.
Mm hatukugombana ila aliniaga anaenda kwao maana life la kuishi kwa dingi yake mdogo amechoka. Baada akaniambia sim mbovu baada ya mda nikapata namba ya mdogo ake kutoka kwa rafiki yake.
Mda wote nikawa mawasiliana nae ananiambia yupo kwao (ukerewe) na hana mpango wa kurudi town (mwanza) kidume nikaanza kusaka sehem pakujishikisha. Kila nilichokuwa nafanya nilikuwa najiapiza nikifanikisha tu lazma nimuite tuje tuishi wote.
Mwisho wa siku nakuja kupata taarifa kuwa sahiv yupo analea na ameolewa na mbaya zaid yupo mwanza na sio kwao kama alivyokuwa ananiaminisha.
Nilijaribu kupeleleza kwa rafiki zake na pamoja na mdogo wake wakanihakikishia ni kweli ameolewa na yeye ndio aliwambia wasiniambie kama kaolewa na yupo town humu humu na namba kabadirisha sio kwamba sim yake ni mbovu. Aisee niliumia ila nilikubari matokeo nikafuta namba zao maisha yakaendelea.

Kuna mda lazma ujifunze kuacha mambo yapite sio kila mtu uliyenae leo ndio utakae zikwa nae
Kabisa mkuuu,haya mambo ukiyaendekeza utakufa [emoji1] [emoji1787]

Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
 
Àsante. Nimeisha zoea maana sio wa kwanza kumpoteza na huwa naamin kama nimepoteza kitu ninachokipenda bas kipo bora zaidi Mungu kaniandalia ni vile tu mda wake bado haujafika.
Mm mwili wangu mpaka neno kupenda ushakufa ganzi,yaan kupenda siwezi kabisa ingawaje nina mke

Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
 
Bora ata ww kakwambia ukweli.
Mm hatukugombana ila aliniaga anaenda kwao maana life la kuishi kwa dingi yake mdogo amechoka. Baada akaniambia sim mbovu baada ya mda nikapata namba ya mdogo ake kutoka kwa rafiki yake.
Mda wote nikawa mawasiliana nae ananiambia yupo kwao (ukerewe) na hana mpango wa kurudi town (mwanza) kidume nikaanza kusaka sehem pakujishikisha. Kila nilichokuwa nafanya nilikuwa najiapiza nikifanikisha tu lazma nimuite tuje tuishi wote.
Mwisho wa siku nakuja kupata taarifa kuwa sahiv yupo analea na ameolewa na mbaya zaid yupo mwanza na sio kwao kama alivyokuwa ananiaminisha.
Nilijaribu kupeleleza kwa rafiki zake na pamoja na mdogo wake wakanihakikishia ni kweli ameolewa na yeye ndio aliwambia wasiniambie kama kaolewa na yupo town humu humu na namba kabadirisha sio kwamba sim yake ni mbovu. Aisee niliumia ila nilikubari matokeo nikafuta namba zao maisha yakaendelea.

Kuna mda lazma ujifunze kuacha mambo yapite sio kila mtu uliyenae leo ndio utakae zikwa nae
Alikuona huelekei my be tantalila zilikuwa mingi!
 
Kuachwa!kuachwa!
Kuachwa ni shughuli pevu
Aah mbaya zaidi kwa yule unayempemda
Yeye ananenepa,wewe unakondaa
Kwaawazo!ooh!kwa mawazooo
 
Back
Top Bottom