Kumbukumbu murua: Tujikumbushe watangazaji mahiri wa mpira nchini

YULE MMASAAI EZEKIEL MALONGO NI KIBOKO YAO KUTANGAZA MPIRA
 
Jibu nani alikuwa anaukosha moyo wako.sio kusema furani hakuna.watanzania ni wagumu sn kuelewa.
Sued Mwinyi, Ahamed Jongo, Jese John.
====
Aliyekuwa anamudu dakika tisini bila msaada tena kwa kasi ile ile ni "Mbunge wa Singida"! Ila simba iwe inaongoza.
 
Jakobo Tesha eti nae alikuwepo [emoji30]
 
Baraka mpenja Hassan mvula Hashim Ibwe Ramadhan Ngoda na Paschal Kabombe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…