technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
Huu uzi uwekwe kama kumbu kumbu na tuje kujikumbusha watakapokuwa wamefikia 1: Ndungai 2: Makonda 3: Gambo 4: Chalamila 5 Polepole Uwenda na mimi sitakuwepo ila nataka huu uzi uwe wa kumbukumbu kwao kwamba hata uko nyuma kulikuwa ma watu wasioguswa miamba lakini walianguka vibaya.
Huu uzi uwekwe kama kumbu kumbu na tuje kujikumbusha watakapokuwa wamefikia 1: Ndungai 2: Makonda 3: Gambo 4: Chalamila 5 Polepole Uwenda na mimi sitakuwepo ila nataka huu uzi uwe wa kumbukumbu kwao kwamba hata uko nyuma kulikuwa ma watu wasioguswa miamba lakini walianguka vibaya.
Dua la paka kimbuluHuu uzi uwekwe kama kumbu kumbu na tuje kujikumbusha watakapokuwa wamefikia 1: Ndungai 2: Makonda 3: Gambo 4: Chalamila 5 Polepole Uwenda na mimi sitakuwepo ila nataka huu uzi uwe wa kumbukumbu kwao kwamba hata uko nyuma kulikuwa ma watu wasioguswa miamba lakini walianguka vibaya.
Gambo sioni shida yake. Huyu kijana yuko vizuri hakurupuki. Ana stahili kuendelea. Sio rahisi kwa hawa maboya ulio wasema hapo juu kuleta amani Arusha kama alivyo fanya GamboHuu uzi uwekwe kama kumbu kumbu na tuje kujikumbusha watakapokuwa wamefikia 1: Ndungai 2: Makonda 3: Gambo 4: Chalamila 5 Polepole Uwenda na mimi sitakuwepo ila nataka huu uzi uwe wa kumbukumbu kwao kwamba hata uko nyuma kulikuwa ma watu wasioguswa miamba lakini walianguka vibaya.
Huu uzi uwekwe kama kumbu kumbu na tuje kujikumbusha watakapokuwa wamefikia 1: Ndungai 2: Makonda 3: Gambo 4: Chalamila 5 Polepole Uwenda na mimi sitakuwepo ila nataka huu uzi uwe wa kumbukumbu kwao kwamba hata uko nyuma kulikuwa ma watu wasioguswa miamba lakini walianguka vibay
NI KWELI
Ni kweliHuu uzi uwekwe kama kumbu kumbu na tuje kujikumbusha watakapokuwa wamefikia 1: Ndungai 2: Makonda 3: Gambo 4: Chalamila 5 Polepole Uwenda na mimi sitakuwepo ila nataka huu uzi uwe wa kumbukumbu kwao kwamba hata uko nyuma kulikuwa ma watu wasioguswa miamba lakini walianguka vibaya.
Itakuwa ni kulipa visasi tuSisifii uzi wako. Ila kuna haja ya viongozi wetu kutafakari kesho yao.
Leo una mdaraka.. kesho utakuwa mwananchi wa kawaida tu.
Je jamii itakuchukuliaje?
Yaan kwa akili yko unadhani mtatawala hd milele??Yaan wapinzania ni sawa na fisi anayefuata mkono wa binadam akisubiri uanguke aokote ale. 2025 ccm itaendelea kuwa madarakani hivo watakuwa wastaaf tu kama kina lowasa na wengine km pina nk
Corona! Hao mbumbumbu walioruhusu herd immunity watatangulia kwanza wao, mark my words!
Cant be marked.Corona! Hao mbumbumbu walioruhusu herd immunity watatangulia kwanza wao, mark my words!