Kumbukumbu ya kuzama kwa MV Bukoba tarehe 21 May, 1996

Kumbukumbu ya kuzama kwa MV Bukoba tarehe 21 May, 1996

Thanks kwa kutukumbusha na cha ajabu mpaka leo hakuna aliyewajibishwa na ajali ile,I hope one day watakuja kuulizwa maswali why ile ajali ilitokea na kwa PM wa wakati ule why alichelewa mno kuomba msaada wa kimataifa wakati ajali hii inatokea alikuwa SA ,WHY ALICHELEWA KUWAOMBA WAJE WATUSAIDIE?maana walipokuja ilikuwa imeshakuwa too late,why iliamuliwa meli itobolewe pale wakati kulikuwa na uwezekano wa kuvutwa kuja kwenye maji yenye kina kifupi?whats happened kwa kikosi chetu cha polisi maji pale Mwanza au Bukoba?why hatukuwaomba wenzetu wa Kenya pale Kisumu kuja kusaidia kama uwezo wetu ulikuwa mdogo(au ni EGO zetu)hata hii picha ilipigwa na mpiga picha kutoka Kisumu!!!means tungekuwa hatuna hata picha moja ya ukumbusho wa kuzama kwa meli hii.ninaamini one day HAKI ya waliopoteza maisha kwenye ajali hii itajibiwa.
 
Hakika ndugu hayo yote yanatokea na yakapita kama vile waliopoteza maisha si lolote kwa wenye maamuzi.
Ila hakimu wa yote ni muumba wetu
Thanks kwa kutukumbusha na cha ajabu mpaka leo hakuna aliyewajibishwa na ajali ile,I hope one day watakuja kuulizwa maswali why ile ajali ilitokea na kwa PM wa wakati ule why alichelewa mno kuomba msaada wa kimataifa wakati ajali hii inatokea alikuwa SA ,WHY ALICHELEWA KUWAOMBA WAJE WATUSAIDIE?maana walipokuja ilikuwa imeshakuwa too late,why iliamuliwa meli itobolewe pale wakati kulikuwa na uwezekano wa kuvutwa kuja kwenye maji yenye kina kifupi?whats happened kwa kikosi chetu cha polisi maji pale Mwanza au Bukoba?why hatukuwaomba wenzetu wa Kenya pale Kisumu kuja kusaidia kama uwezo wetu ulikuwa mdogo(au ni EGO zetu)hata hii picha ilipigwa na mpiga picha kutoka Kisumu!!!means tungekuwa hatuna hata picha moja ya ukumbusho wa kuzama kwa meli hii.ninaamini one day HAKI ya waliopoteza maisha kwenye ajali hii itajibiwa.
 
Thanks kwa kutukumbusha na cha ajabu mpaka leo hakuna aliyewajibishwa na ajali ile,I hope one day watakuja kuulizwa maswali why ile ajali ilitokea na kwa PM wa wakati ule why alichelewa mno kuomba msaada wa kimataifa wakati ajali hii inatokea alikuwa SA ,WHY ALICHELEWA KUWAOMBA WAJE WATUSAIDIE?maana walipokuja ilikuwa imeshakuwa too late,why iliamuliwa meli itobolewe pale wakati kulikuwa na uwezekano wa kuvutwa kuja kwenye maji yenye kina kifupi?whats happened kwa kikosi chetu cha polisi maji pale Mwanza au Bukoba?why hatukuwaomba wenzetu wa Kenya pale Kisumu kuja kusaidia kama uwezo wetu ulikuwa mdogo(au ni EGO zetu)hata hii picha ilipigwa na mpiga picha kutoka Kisumu!!!means tungekuwa hatuna hata picha moja ya ukumbusho wa kuzama kwa meli hii.ninaamini one day HAKI ya waliopoteza maisha kwenye ajali hii itajibiwa.
Very sad
 
,
255768091163_status_ac4f6de636a24e5c922f4218265075c4.jpeg
 
LEO Mei 21, 2019 imetimia miaka 23 tangu kutokea kwa ajali mbaya katika historia nchini, ajali ya meli ya MV Bukoba iliyozama Ziwa Victoria na kuua zaidi ya watu 800.

MV Bukoba ilizama ikiwa imebakiza Km 30 kutia nanga jijini Mwanza ikitokea Kagera.

#TutawakumbukaDaima #MVBukoba

azamtvtz-20190521-0001.jpeg
 
Kwa hyo unataka uwakumbushe majonzi watu ambao walipoteza watu wao na wapenzi katika ajali hiyo?
 
Thanks kwa kutukumbusha na cha ajabu mpaka leo hakuna aliyewajibishwa na ajali ile,I hope one day watakuja kuulizwa maswali why ile ajali ilitokea na kwa PM wa wakati ule why alichelewa mno kuomba msaada wa kimataifa wakati ajali hii inatokea alikuwa SA ,WHY ALICHELEWA KUWAOMBA WAJE WATUSAIDIE?maana walipokuja ilikuwa imeshakuwa too late,why iliamuliwa meli itobolewe pale wakati kulikuwa na uwezekano wa kuvutwa kuja kwenye maji yenye kina kifupi?whats happened kwa kikosi chetu cha polisi maji pale Mwanza au Bukoba?why hatukuwaomba wenzetu wa Kenya pale Kisumu kuja kusaidia kama uwezo wetu ulikuwa mdogo(au ni EGO zetu)hata hii picha ilipigwa na mpiga picha kutoka Kisumu!!!means tungekuwa hatuna hata picha moja ya ukumbusho wa kuzama kwa meli hii.ninaamini one day HAKI ya waliopoteza maisha kwenye ajali hii itajibiwa.
ebu ongeza nyama mkuu nani huyo aliyetoboa meli?, isiwe ni yale niliyowahi simuliwa kuwa kuna uongozi mmoja wa awamu zilozopita ulikuwa uongozi wa wala nyama na wanyonya damu na walikuwa watu wa makafara
 
Dah Mungu azidi kuwaweka mahala pema peponi.
Nawakumbuka sana ndugu zangu akina Victoria na Clara pamaja na rafiki zangu wa familia ya Rujabuka Daaah nikumbukumbu mbaya sana
 
Nakumbuka taarifa ya habari dtv ilisomwa na betty mkwasa akiwa kavaa mavazi meusi.
 
ebu ongeza nyama mkuu nani huyo aliyetoboa meli?, isiwe ni yale niliyowahi simuliwa kuwa kuna uongozi mmoja wa awamu zilozopita ulikuwa uongozi wa wala nyama na wanyonya damu na walikuwa watu wa makafara
Subiri kidogo ninafanya utafiti kuhusiana na ajali hii pamoja na zingine ili our next generations waje wajue ukweli upo wapi kwa kuwa na two side of story
 
Mimi nakumbuka nilikuwa Delux Bar magomeni na kina jamhuri kiweru tunapiga ulabu ndiyo tukasikia hizo habari
Nakumbuka taarifa ya habari dtv ilisomwa na betty mkwasa akiwa kavaa mavazi meusi.
 
Back
Top Bottom