ram
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 9,326
- 8,505
Yesu wangu jamani, huyo mwalimu ikawaje sasa ndugu yangu?
Waliopoteza familia nzima walikuwa wengi tu, Mungu awarehemu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yesu wangu jamani, huyo mwalimu ikawaje sasa ndugu yangu?
Ouch!Kuna jamaa alikua fundi seremala kipindi hicho na nilimpatia oda ya kitanda. Alipotea ghafla na siku nilipokutana nae huyo bwana alikua tajiri wa kutisha.nilimkumbusha oda yangu na advance niliyompa akaenda kuninunulia kitanda kipya on the spot.
Miaka 19 leo, Mungu alaze roho za marehemu mahali pema peponi.
Kaaazi kweli kweliKuna jamaa alikua fundi seremala kipindi hicho na nilimpatia oda ya kitanda. Alipotea ghafla na siku nilipokutana nae huyo bwana alikua tajiri wa kutisha.nilimkumbusha oda yangu na advance niliyompa akaenda kuninunulia kitanda kipya on the spot.
tafsiri mkuu?RIP students from Rugambwa.. we lost a family friend, she was a student at rugambwa boarded that ship.
uko wapi josethefirst.Wapumzike kwa Amani
Mpaka sasa jamaa ni pedeshee mkubwa tuKaaazi kweli kweli
nipo mjini aiseeuko wapi josethefirst.
je tumeweza kujifunza lolote kutokana na ajali ile?hakika ni blah blah tu, walale kwa amani wahanga wote wa ajali ile, lakini vile vile napenda kuwapa pole nyingi na faraja wale wote ambao waliondokewa na wapendwa wao, na kuondoka kwao likawa pigo kubwa, Mungu wa rehema nyingi azidi kuwatia nguvu na ujasiri wa kusonga mbele, aamen
Hakika hatukujifunza lolote na leo tumewapoteza tena wapendwa wetu wengi!hivi leo hii likitokeaj janga kama hili tuna vifaa na wazamiaji wetu wenyewe?
Inasikitisha sana! Ifikie mahali tujifunze kutokana na makosa, tutaendelea kupoteza wapendwa wetu mpaka lini?Maswali magumu sana..Serikali imefanya nini kuepusha ajari za namna hii? Je imeweka kitengo cha uokozi kama ikitokea Meli ikazama ziwani jinsi ya kuokoa watu? Je Bandari za Bukoba na Kemondo zimeimalishwa kuzuia watu wasiokuwa na ticket na wazamiaji kupanda Meli?..Je MV Victoria imefanyiwa lini matengenezo makubwa ili kuokoa roho za watu zisije angamia tena?..Usafiri wa Basi toka Bukoba kuja Mwanza ila changamoto ya Kivuko inajulikana? Kuna mhindi "inasemekana" alipiga simu Mwanza kwa wenzie na kutangaza mtu atayeokoa Maisha yake atapewa Nusu ya Mali zake ndo maana Wajanja wakakikimbilia kutoboa meli ili kumuokoa ili waweze kutajirika...Je serikali iliwachukulia hatua gani hao walitoa uamuzi wa kutoboa meli na kusababisha izame kabisa!??
Wapumzike kwa Amani watu wote walitangulia mbele ya haki!!!
Tusiache kuwakumbusha maana wajibu wetu ni huu.. Mungu awapumzishe kwa amani walitangulia na Mv Nyerere..Inaumiza sana kupoteza nguvu ya Taifa namna hiiInasikitisha sana! Ifikie mahali tujifunze kutokana na makosa, tutaendelea kupoteza wapendwa wetu mpaka lini?