Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,256
- 16,317
ilinivuruga sana kisaikolojia asee,nilipata tabu and i was still young,i mean bado akili haikuwa imepata mishtuko ya aina hyo ya vifo vya kutisha.nilikuwa bado sijajua mambo haya ya mitandao so taarifa hazkuwa znatufikia kiulaini kama kipind hichi,, rip wote,jaman nimepata huzuni,nimekumbuka hilo tukio