Hata mm naonaga sawa tu MWAMBA WA CHATO anavotunyoosha! Enzi za JK wananchi tulijigeuza JINI KISIRANI! Kidogo utaskia MGOMO WA MADAKTARI.... haujakaa sawa utaskia na DARUSO wametangaza MGOMO... ukirudi huku unaskia CHAHEMA wanaandamana.... Huyu twendeni naye tu ili tujifunze kuwaheshimu Viongozi wanyenyekevu wenye upole!