klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,647
- 5,145
dah! hii hali inabidi iingizwe kwenye mswada wa neksti paliamenti! azawaizi kimewaka! lakini geoff wewe ukifa isikusumbue sana invizibo atasmamia mazishi yako na mc nguli yupo inkesi hakufa yeye mwanzo.hii mambo inatisha bwana!sasa hivi dem ukimuaprochi ukiona anakubali gemu kirahisi rahisi STUKA!...huenda ni ISRAELI(MTOA-ROHO),,,,π
greti thinka unaonekana una maPHD kibao. yaani matatizo yametokea toilet lakini wewe umeyagundua bedroom.
kinadada watakuja na hasira veri soon. hawa kinadada wa hapa hawapendagi konklusheni ya wao kubeba lawama bat yowa data iz veri truu.
kwasasa haitabiriki ni mwanaume gani ataanza kufa!dah! hii hali inabidi iingizwe kwenye mswada wa neksti paliamenti! azawaizi kimewaka! lakini geoff wewe ukifa isikusumbue sana invizibo atasmamia mazishi yako na mc nguli yupo inkesi hakufa yeye mwanzo.
gudi edivaizi!Yawezekana kweli?! au na wewe umekuja na konkulusheni!
Hebu fikiria, nikwanini usimwambie mwenza wako unachotaka na kitakachokuridhisha kuliko kwenda kumchungulia ******? mimi ninafikiri hapa swala muhimu ni kukosekana kwa mawasiliano,watu wawili walioamua kushare miili yao inabidi wazungumze! Ni katika mazungumzo unaweza kumjua mwenzako na kufanya kile anachotaka, lakini hawa wote kila mtu hajiamini mbele ya mwenzake na ndio maana mwanamke anajifunukafunika na mwanaume anaishia kuchungulia. au labda mwanaume kila wakati anayakosoa maumbile ya mwanamke na mwanamke anakosa uhuru wa kukaa 'wazi' kwa mwenzake. kwa ujumla wana tatizo. jamani tuanze kuzungumza,tuambiane ukweli,na kama unaona mwenzako ana aibu jaribu kumtoa aibu akuone rafiki,zaidi ya yote usikosoe maumbile ambayo hakuna mtu mwenye uwezo wa kuyarekebisha.
hizo ni gia tu!mwisho wa siku utaanza kukachombeza!.........
hahahahahaha!....kicheko tafadhari π
halaf noma ni haya magazeti kama enzi za mwalim habari unazipata kwa cheameni tu hakuna jf wala michuzi. lakini leo ukizimia tu jf wanaandika ushakufa ! halaf wanakuchambua .dah hili tekonolojia limeharibu mtaji kweli.kwasasa haitabiriki ni mwanaume gani ataanza kufa!
ninachojua ni kwamba THE MORE YOU DO IT(hata kama ni mkeo),THE MORE RISKS OF DYING YOU ARE FACING!....hii mbinu ya kuuana ni noma!bora ufe kwa ukimwi watu wanaweza hisi labda ni BLOOD TRANSFUSION!
.....KUFIA KIUNONI NI ISHU NYINGINE!wanawake mtusamehe bure jamani
hapo inabidi zile staili za mauwaji aka mc lema staili uziepuke azawaizi mama mtoto na kazaigoti katatangulia ahera.hapa inabidi utumie staili ya "chura kachoka" tu.
foo moo infomesheni, naandaa sredi spesheli kuhusiana na hili.
kwasasa haitabiriki ni mwanaume gani ataanza kufa!
ninachojua ni kwamba THE MORE YOU DO IT(hata kama ni mkeo),THE MORE RISKS OF DYING YOU ARE FACING!....hii mbinu ya kuuana ni noma!bora ufe kwa ukimwi watu wanaweza hisi labda ni BLOOD TRANSFUSION!
.....KUFIA KIUNONI NI ISHU NYINGINE!wanawake mtusamehe bure jamani
kicheko tafadhari π
vipi gesti kulikuwa na foleni?πLini umeanza kusali kwa Kakobe? Hiyo kwangu mimi ni heshima!
Hey, ni hii mvua ndo imesababisha umekataliwa kutoka mapema au gest zimejaa?Lini umeanza kusali kwa Kakobe? Hiyo kwangu mimi ni heshima!
vipi gesti kulikuwa na foleni?π
Hey, ni hii mvua ndo imesababisha umekataliwa kutoka mapema au gest zimejaa?
hehehehe!....Gesti za Kinondoni si unazijua? Usipofanya booking mapema utakumbana na foleni!
Itabidi mjikague wangapi wameingia na wangapi wametoka salama maana mmmmmmh! mambo ni mengi.Haka kabaridi, vyumba vilijaa. Nikalazimika kumsubiri Fidel anipasishie rum lake! Foleni si barabarani tu kiongozi!
Itabidi mjikague wangapi wameingia na wangapi wametoka salama maana mmmmmmh! mambo ni mengi.