Hivi kaniacha kweli mm mshahara wake sina shida nao nina shida na yeye tuNdio umeshaachwa hivyo ... Wick kaongezwa cheo kazini na mshahara umepanda ... Basi sasa hivi anaongozwa na kichwa cha chini ...kila skirt anayoiona lazima asimamishe gari ..haha
Sent using Jamii Forums mobile app
Ebu ukoHaha sasa kumbe ni vipi !? Mimi nilidhani umevutiwa na maamuzi yetu ya kumtumikia bwana " ....!
Sent using Jamii Forums mobile app
Woiiiiii " nikiwa mkubwa Mungu anijaalie na mimi nipate manzi mwenye upendo kama wako .Ila siachikiii labda niamue mwenyewe mm ni wake tu na yeye ni wangu
Woiiiiii " nikiwa mkubwa Mungu anijaalie na mimi nipate manzi mwenye upendo kama wako .
.@wick mzee baba huyu mtoto umempa nini !!? Mbona amekuganda kama kupe?
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee ... Wick wee mzee weee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] huyo manzi wako awe na roho ngumu kama yangu sababu namfumaniaga huyo jamaa ujue mara kwa mara
Aisee ... Wick wee mzee weee
Nitamleta kwako umfunde kwanza " ili hata akinikuta nachepuka ... Aniambie haya baby inatosha sasa turudi zetu nyumbani
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaa hiyo safi sana " ... na mimi nitafutie wa hivyo Aise ."Ndio mm nipo hivyo sasa hata nikimkuta anabebishana humu namwambia babe ukimaliza tutoke kwenye hii tread
Asante madame " Barikiwa piaAsante @heary
Barikiwa sana.
The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.
"Malahabaaa"Mimi natuma salamu za shikamoo kwa Dada zangu..
Khantwe
manengelo
espy
cute b
Narudi kuongeza list.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyoooo !! Haha yaani wewe " ningelikuwa nae nisingeli kwambia haya ..Hahhahah si unaye ndugu yangu au unataka unigombanishe nae
Amen , kesho pakikucha nitakutumia salamu.
Wooow itapendeza sana " kwa kuwa zitakuwa zinatoka kwako ngoja niandae chombo maalum cha kuzihifadhi mapema kabisaAmen , kesho pakikucha nitakutumia salamu.
The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.
Nimesha haribu babe, nakupenda wewe tu[emoji85] [emoji85]
huna lolote...babe hiyo vipi, unatumikiaje mabwana wawili?
Hahaha sio wawili tu hata watano naweza kutumikia, kwani unateseka babe?huna lolote...babe hiyo vipi, unatumikiaje mabwana wawili?
Leo nimemuacha rasmi wallah....[emoji12] [emoji12]huna lolote...babe hiyo vipi, unatumikiaje mabwana wawili?
5SOME UNAWEZAJE AISEE...WE MWANAMKE AISEE...NDIO NATESEKA JUU YA PENZI LAKOHahaha sio wawili tu hata watano naweza kutumikia, kwani unateseka babe?
Sent using Jamii Forums mobile app
Leo nimemuacha rasmi wallah....[emoji12] [emoji12]
[emoji125] [emoji125] [emoji125]