masluphill
JF-Expert Member
- Jul 4, 2012
- 540
- 259
Mnadhani bondia wenu ana Nguvu saana kupambana .....,ila nawashangaa pale anapo tegeme mbeleko za Vyombo vya Dola na mbinu za kishetani kujipatia ushindi.Mkuu Kaka Mkubwa Wakudadavuwa, you are very right, this is the final kick of a dying horse.
P
Ushauri wako hauna mantiki, kama itikadi ya chama ni kuwatumikia na kuwatetea wananchi dhidi ya dola kandamizi, ya nini kuungana na wasaliti? Labda kama itikadi ya ya chama ni kupata manufaa binafsiNaunga mkono hoja, Chadema pekee yao hawawezi na haitakuja kutokea wakaweza!. Sisi Tanzania tuna tatizo kubwa la kitu kinachoitwa "Managing The Political Diversity" from both parties, CCM na Wapinzani, hadi ndani ya mihimili Bunge, Serikali na Mahakama.
Kwa muda uliobakia, hata kama Chadema inajua NCCR imenunuliwa na CCM, hivyo itajitenga nao, na Wabunge wote wa CUF wanasubiria tuu Bunge livunjwe watur rasmi ACT Wazalendo, Chadema walipaswa wawavumilie tuu, sometimes its good kumvumilia adui yako ili usiwaudhi wale waliokuja kwako kwasababu ya huyo adui yako. Kura milioni 6 za Lowassa ile 2015 sio za wana Chadema pekee.
Kosa kubwa la Chadema kuelekea 2020 ni kujidhania kwenye kambi ya upinzani, Chadema bado ni determinant, it's not!. Kuendelea 2020, Chadema is a dying horse, hivyo kitendo kama hiki cha kuihodhi kambi rasmi ya upinzani Bungeni, it's like a final kick of a dying horse.
Ili upinzani uweze kuvuna mavuno yoyote ya maana 2020 kwanza lazima Chadema wakubali kugawana himaya yake kwa kukubali ku share na vyama vingine vya upinzani.
Kabla ya Bunge kuvunjwa, Chadema ambacho kwa sasa ndio chama kikuu cha upinzani, kifanye SWOT na PEST analysis kwa Wabunge wake wote, halafu ikubali matokeo, wabunge wote wa Chadema watakaojiunga CCM, Chadema ijihesabu hayo majimbo yamepotea unless wana CCM wenyewe ndio waipigie Chadema kura za chuki kutokubali wapinzani waja leo na kusimamishwa kugombea CCM.
Pili wabunge wote wa Chadema watakao hamia vyama vingine, Chadema ikubali to share them na wapinzani wengine kwa kutosimamisha wagombea wengine ili kila jimbo na kila kata mgombea wa CCM apambane na mpinzani mmoja tuu. Ikitokea jimbo lilikuwa Chadema kama Moshi Vijijini na Rombo, wabunge wake wwkahamia NCCR Mageuzi, Chadema ikubali matokeo. Ikisimamisha wagombea wapya, hii itakuwa ni vita vya panzi, furaha ya kunguru, wapinzani wata split kura zao, CCM atayatwaa majimbo ya upinzani kama ameokota dodo chini ya muembe.
Upinzani pamoja na tofauti zao za ndani, lazima wavumiliane by managing diversity kwa kushirikiana hivyo hivyo pamoja na tofauti zao, wasimame united and stand as one against a common enemy, vinginevyo kwa huku bara, tunarudi kuwa nchi ya chama kimoja CCM only and only CCM!.
P
Kwa vile hakuna anayejua for sure nini kimewafika Ben Saanane na Azory Gwanda, huwezi kusema wangekuwa wanapumua as if unajua kuwa hawapumui. Lissu kila mtu anajua wahusika wa tukio lile ni watu wasiojulikana.Huu ujumbe ungemwambia jiwe mapema nazani lisu angekuwa bado yupo bungeni mpaka leo, Ben Saanane na akina Azory Gwanda na wengineo wangekuwa bado wanapumua hapa duniani.
Wakati mwingine Mazingira na yana ashiria Na kuonesha kitu katika uhalisia wake, Na kisheria ushahidi wa kimazingira unaweza kumtia mtu hatiani na akahukumiwa hata kifo.Kwa vile hakuna anayejua for sure nini kimewafika Ben Saanane na Azory Gwanda, huwezi kusema wangekuwa wanapumua as if unajua kuwa hawapumui. Lissu kila mtu anajua wahusika wa tukio lile ni watu wasiojulikana.
Tusiwe wepesi kupiga ramli chonganishi hata kusikohusika.
P
Vp kama ni wao wenyewe walioamua kujitenga baada ya Mh Mbatia kutoka kugonga miguu pale maeneo?? Ni vigumu sana kuwa kwenye safari moja wakati kila mmoja akiwa kwenye njia yake. Hivyo mm naona busara imetumika kwa hilo.Siasa za Tanzania kichekesho sana.
Si upinzani wala CCM ni vituko tupu.
Sasa bunge lenyewe ni la mwisho kabla ya serikali mpya, hao mawaziri vivuli wapya watakao ziba nafasi hizi watafanya nini?
Na wa zamani waliotemwa wangekuwa na athari gani?
Kuna wakati unatakiwa kuwaacha watu kama hao na kutumia nafsi hiyo kujiimarisha kisiasa kwa kujisifu majukwaani hawa walitutendea ubaya huu lakini kwa vile sisi wakomavu wa kisiasa na sio watu wa visasi tumewaacha kwenye nafasi hizi ingiwa sababu na uwezo wa kuwatosa kama kisasi tulikuwa nao.
Mambo madogo kama haya ya uvumilivu ndiyo yana kuwezesha kuvuna pointi muhimu kwenye siasa, hasa kwenye masanduku ya kura.
You can act like you live what you preach.
Wapiga kura ni watu wa ajabu sana, wanaweza kukupa kura sababu umewataja kwa majina angalau watu wawili tu wa kawaida wa eneo lao, au umewapa msamaha watu waliokutendea ubaya.
Huenda sipo sahihi kabisa katika hili, ngoja niamini KUB yupo sahihi.
Duh...!. Ndondi ni ulingoni, kipimo cha bondia mwenye nguvu ni kwa makonde anayorusha. Kwenye serikali za mitaani, bondia wa upande wa pili hakupanda ulingoni hivyo bondia wetu kupata ushindi wa mezani wa kishindo cha asilimia 99 9%.Mnadhani bondia wenu ana Nguvu saana kupambana .....,Wapeni watu uhuru wa kuchagua ndo mtajua Status yenu kwenye jamii.
Kwenye soka mabadiliko hufanywa kwenye dakika ya themanini na tisa na goli likapitikana. Hivyo nakubaliana na wewe Mkuu.Inabidi ujishangae mwenyewe kwa kutoona mantiki ya mabadiliko hayo.
Nadhani kwa aina fulani unataka uonekane kama kituko kwa kutoona maana ya mabadiliko yaliyofanywa.
Hata kama ni siku moja ingekuwa imebaki, kusimamia 'principle' ni mhimu kuliko kitu chochote maishani.
Watu wa aina yako msiokuwa na mnalosimamia ndio mnaowapa watawala kiburi.
It's true ushahidi wa kimazingira unaweza kumtia mtu hatiani. Nashauri tuache hizi ramli chonganishix turejee kwenye mada iliyoko mezaniWakati mwingine Mazingira na yana ashiria Na kuonesha kitu katika uhalisia wake, Na kisheria ushahidi wa kimazingira unaweza kumtia mtu hatiani na akahukumiwa hata kifo.
katika suala la T.A.L kuna vielelezo vingi vya mazingira ya kuwaficha hao wasiojulikana. kiasi ambacho Lamri zote zinaonesha hao watu ni washirika wa Team wafuga chatu.
Siasa za Tanzania kichekesho sana.
Si upinzani wala CCM ni vituko tupu.
Sasa bunge lenyewe ni la mwisho kabla ya serikali mpya, hao mawaziri vivuli wapya watakao ziba nafasi hizi watafanya nini?
Na wa zamani waliotemwa wangekuwa na athari gani?
Kuna wakati unatakiwa kuwaacha watu kama hao na kutumia nafsi hiyo kujiimarisha kisiasa kwa kujisifu majukwaani hawa walitutendea ubaya huu lakini kwa vile sisi wakomavu wa kisiasa na sio watu wa visasi tumewaacha kwenye nafasi hizi ingiwa sababu na uwezo wa kuwatosa kama kisasi tulikuwa nao.
Mambo madogo kama haya ya uvumilivu ndiyo yana kuwezesha kuvuna pointi muhimu kwenye siasa, hasa kwenye masanduku ya kura.
You can act like you live what you preach.
Wapiga kura ni watu wa ajabu sana, wanaweza kukupa kura sababu umewataja kwa majina angalau watu wawili tu wa kawaida wa eneo lao, au umewapa msamaha watu waliokutendea ubaya.
Huenda sipo sahihi kabisa katika hili, ngoja niamini KUB yupo sahihi.
Pascal Mayalla kuna umuhimu gani kukaa meza moja na mtu msiyeachiana maji mezani??Naunga mkono hoja, Chadema pekee yao hawawezi na haitakuja kutokea wakaweza!. Sisi Tanzania tuna tatizo kubwa la kitu kinachoitwa "Managing The Political Diversity" from both parties, CCM na Wapinzani, hadi ndani ya mihimili Bunge, Serikali na Mahakama.
Kwa muda uliobakia, hata kama Chadema inajua NCCR imenunuliwa na CCM, hivyo itajitenga nao, na Wabunge wote wa CUF wanasubiria tuu Bunge livunjwe watur rasmi ACT Wazalendo, Chadema walipaswa wawavumilie tuu, sometimes its good kumvumilia adui yako ili usiwaudhi wale waliokuja kwako kwasababu ya huyo adui yako. Kura milioni 6 za Lowassa ile 2015 sio za wana Chadema pekee.
Kosa kubwa la Chadema kuelekea 2020 ni kujidhania kwenye kambi ya upinzani, Chadema bado ni determinant, it's not!. Kuendelea 2020, Chadema is a dying horse, hivyo kitendo kama hiki cha kuihodhi kambi rasmi ya upinzani Bungeni, it's like a final kick of a dying horse.
Ili upinzani uweze kuvuna mavuno yoyote ya maana 2020 kwanza lazima Chadema wakubali kugawana himaya yake kwa kukubali ku share na vyama vingine vya upinzani.
Kabla ya Bunge kuvunjwa, Chadema ambacho kwa sasa ndio chama kikuu cha upinzani, kifanye SWOT na PEST analysis kwa Wabunge wake wote, halafu ikubali matokeo, wabunge wote wa Chadema watakaojiunga CCM, Chadema ijihesabu hayo majimbo yamepotea unless wana CCM wenyewe ndio waipigie Chadema kura za chuki kutokubali wapinzani waja leo na kusimamishwa kugombea CCM.
Pili wabunge wote wa Chadema watakao hamia vyama vingine, Chadema ikubali to share them na wapinzani wengine kwa kutosimamisha wagombea wengine ili kila jimbo na kila kata mgombea wa CCM apambane na mpinzani mmoja tuu. Ikitokea jimbo lilikuwa Chadema kama Moshi Vijijini na Rombo, wabunge wake wwkahamia NCCR Mageuzi, Chadema ikubali matokeo. Ikisimamisha wagombea wapya, hii itakuwa ni vita vya panzi, furaha ya kunguru, wapinzani wata split kura zao, CCM atayatwaa majimbo ya upinzani kama ameokota dodo chini ya muembe.
Upinzani pamoja na tofauti zao za ndani, lazima wavumiliane by managing diversity kwa kushirikiana hivyo hivyo pamoja na tofauti zao, wasimame united and stand as one against a common enemy, vinginevyo kwa huku bara, tunarudi kuwa nchi ya chama kimoja CCM only and only CCM!.
P
We jamaa mbona ulidai unastaafu vp tena humu jukwaani??Mkuu Kaka Mkubwa Wakudadavuwa, you are very right, this is the final kick of a dying horse.
P
Huu upuuzi wa pasco eti 'managing diversity', juzi ccm wamemtimua Membe na kuwakaripia wazee sikuona Uzi wa pasco kuishauri ccm management of diversityPascal Mayalla kuna umuhimu gani kukaa meza moja na mtu msiyeachiana maji mezani??
Sent using Jamii Forums mobile app
Kukalia viti vya kunesa nesa!Hao wabunge vivuli wana privilege gani bungeni ?
Hivi Yale majimbo 20 aliyo ahidiwa Mbatia ccm itweka wagombea?Naunga mkono hoja, Chadema pekee yao hawawezi na haitakuja kutokea wakaweza!. Sisi Tanzania tuna tatizo kubwa la kitu kinachoitwa "Managing The Political Diversity" from both parties, CCM na Wapinzani, hadi ndani ya mihimili Bunge, Serikali na Mahakama.
Kwa muda uliobakia, hata kama Chadema inajua NCCR imenunuliwa na CCM, hivyo itajitenga nao, na Wabunge wote wa CUF wanasubiria tuu Bunge livunjwe watur rasmi ACT Wazalendo, Chadema walipaswa wawavumilie tuu, sometimes its good kumvumilia adui yako ili usiwaudhi wale waliokuja kwako kwasababu ya huyo adui yako. Kura milioni 6 za Lowassa ile 2015 sio za wana Chadema pekee.
Kosa kubwa la Chadema kuelekea 2020 ni kujidhania kwenye kambi ya upinzani, Chadema bado ni determinant, it's not!. Kuendelea 2020, Chadema is a dying horse, hivyo kitendo kama hiki cha kuihodhi kambi rasmi ya upinzani Bungeni, it's like a final kick of a dying horse.
Ili upinzani uweze kuvuna mavuno yoyote ya maana 2020 kwanza lazima Chadema wakubali kugawana himaya yake kwa kukubali ku share na vyama vingine vya upinzani.
Kabla ya Bunge kuvunjwa, Chadema ambacho kwa sasa ndio chama kikuu cha upinzani, kifanye SWOT na PEST analysis kwa Wabunge wake wote, halafu ikubali matokeo, wabunge wote wa Chadema watakaojiunga CCM, Chadema ijihesabu hayo majimbo yamepotea unless wana CCM wenyewe ndio waipigie Chadema kura za chuki kutokubali wapinzani waja leo na kusimamishwa kugombea CCM.
Pili wabunge wote wa Chadema watakao hamia vyama vingine, Chadema ikubali to share them na wapinzani wengine kwa kutosimamisha wagombea wengine ili kila jimbo na kila kata mgombea wa CCM apambane na mpinzani mmoja tuu. Ikitokea jimbo lilikuwa Chadema kama Moshi Vijijini na Rombo, wabunge wake wwkahamia NCCR Mageuzi, Chadema ikubali matokeo. Ikisimamisha wagombea wapya, hii itakuwa ni vita vya panzi, furaha ya kunguru, wapinzani wata split kura zao, CCM atayatwaa majimbo ya upinzani kama ameokota dodo chini ya muembe.
Upinzani pamoja na tofauti zao za ndani, lazima wavumiliane by managing diversity kwa kushirikiana hivyo hivyo pamoja na tofauti zao, wasimame united and stand as one against a common enemy, vinginevyo kwa huku bara, tunarudi kuwa nchi ya chama kimoja CCM only and only CCM!.
P
Siasa za Tanzania kichekesho sana.
Si upinzani wala CCM ni vituko tupu.
Sasa bunge lenyewe ni la mwisho kabla ya serikali mpya, hao mawaziri vivuli wapya watakao ziba nafasi hizi watafanya nini?
Na wa zamani waliotemwa wangekuwa na athari gani?
Kuna wakati unatakiwa kuwaacha watu kama hao na kutumia nafsi hiyo kujiimarisha kisiasa kwa kujisifu majukwaani hawa walitutendea ubaya huu lakini kwa vile sisi wakomavu wa kisiasa na sio watu wa visasi tumewaacha kwenye nafasi hizi ingiwa sababu na uwezo wa kuwatosa kama kisasi tulikuwa nao.
Mambo madogo kama haya ya uvumilivu ndiyo yana kuwezesha kuvuna pointi muhimu kwenye siasa, hasa kwenye masanduku ya kura.
You can act like you live what you preach.
Wapiga kura ni watu wa ajabu sana, wanaweza kukupa kura sababu umewataja kwa majina angalau watu wawili tu wa kawaida wa eneo lao, au umewapa msamaha watu waliokutendea ubaya.
Huenda sipo sahihi kabisa katika hili, ngoja niamini KUB yupo sahihi.
Anaaminiwa na Nyumbu....siyo watuinasemekana watu wanamuamini mno !
Ni sawa huwezi kuwa na Baraza lenye wabunge wa kitoka CCM BView attachment 1407132
Katiba baraza jipya lililotangazwa na Kiongozi wa kambi rasmi bungeni , Wabunge wote wa Cuf pamoja na Mbunge wa NCCR MAGEUZI ndugu Mbatia wametoswa .
Hivi,Hawa mawaziri vivuli Kuna malipo ya ziada wanayolipwa?Very valid
P
Upinzani una mikakati gani ya maana?Huenda lengo kuwaengua kushiriki vikao vya upinzani wasije kufichua mikakati yao kwa mshindani.
Kama hivyo sababu ina mashiko.
Tumia akili huwezi kumbakisha ndani adui ambaye tayari kajitambulisha kwakoSiasa za Tanzania kichekesho sana.
Si upinzani wala CCM ni vituko tupu.
Sasa bunge lenyewe ni la mwisho kabla ya serikali mpya, hao mawaziri vivuli wapya watakao ziba nafasi hizi watafanya nini?
Na wa zamani waliotemwa wangekuwa na athari gani?
Kuna wakati unatakiwa kuwaacha watu kama hao na kutumia nafsi hiyo kujiimarisha kisiasa kwa kujisifu majukwaani hawa walitutendea ubaya huu lakini kwa vile sisi wakomavu wa kisiasa na sio watu wa visasi tumewaacha kwenye nafasi hizi ingiwa sababu na uwezo wa kuwatosa kama kisasi tulikuwa nao.
Mambo madogo kama haya ya uvumilivu ndiyo yana kuwezesha kuvuna pointi muhimu kwenye siasa, hasa kwenye masanduku ya kura.
You can act like you live what you preach.
Wapiga kura ni watu wa ajabu sana, wanaweza kukupa kura sababu umewataja kwa majina angalau watu wawili tu wa kawaida wa eneo lao, au umewapa msamaha watu waliokutendea ubaya.
Huenda sipo sahihi kabisa katika hili, ngoja niamini KUB yupo sahihi.