HAHAHAAAA YAANI MABAVICHA HUWAGA MNAJIPA MOYO ETI MANDELA HIVI UNAWEZA KUMLINGANISHA HUYO MHUNI MBOWE NA MANDELA AU MDUDE NAYE HUWAGA ANAJILINGANISHA NA MANDELA HIVI NCHI IJE ITAWALIWE NA MDUDE ITAKUWA NI KICHEKESHO CHA KARNE MBOWE HAWEZI KUJILINGANISHA NA MANDELA KAMA AMESHINDWA KUHESHIM KATIBA YA CHADEMA TU YA NCHI ATAIWEZA? GAIDI TU HUYOMandela pia aliitwa Gaidi nadhani wewe wakati huo ulikuwa bado hujazaliwa
Uzuri ni kua MATAGA /SUKUMA GANG nyie ni wanafiki mmemtia maji tayari mama yenu , ili CHADEMA tumnyoe haraka.Ndio mnataka kumyoa mama kabla ya December!?
Ya 2 ni mboweMungu tayari katufanyia kazi 1 kwa ufanisi , bado 4 , tunatarajia kabla ya december zitakamilika
Wakati Nelson Mandela anapigania kuondoa Utawala wa Kibaguzi na Kikaburu, wafuasi wa Wanachama wa African National Congress hawakujali Katiba ya ANC mpaka malengo yao yalipotimia.MBOWE HAWEZI KUJILINGANISHA NA MANDEL
KabisaNina uhakika Mh Rais ni msikivu atafanyia kazi ombi na akina mama hawa. Kinyume na hapo nchi yetu itatengwa kidiplomasia kwani itaonekana si salama kwa ugaidi.
YULE NDIYO ALIKUWA MWANASIASA KAMILI SIYO MBOWE YEYE KAZI YAKE MASLAHI TU RUZUKU COVID 19 MPQAKA LEO KWANINI HAWATOKI BUNGENI MBOWE ANAJUWA KILA KITU HALAFU UMUITE MANDELA KUWENI SERIOUS BASI HATA KIDOGOWakati Nelson Mandela anapigania kuondoa Utawala wa Kibaguzi na Kikaburu, wafuasi wa Wanachama wa African National Congress hawakujali Katiba ya ANC mpaka malengo yao yalipotimia.
Ningekuwa bado sijaoa na Katie Ruge naye hajawaolewa, walahi ningepeleka posa aisee maana huyu dada ni jembe la ukweli!Baraza la Wanawake la Chadema (BAWACHA) ambalo taarifa zinaonyesha kwamba ndio Baraza bora la wanawake Barani Afrika kwa sasa, limefika kwenye ubalozi wa Marekani nchini Tanzania kuchagiza kuachiwa kwa Mwamba wa siasa barani Afrika, Freeman Mbowe ambaye amesingiziwa ugaidi ili kumkomesha baada ya juhudi zake za kuhamasisha uwepo wa Tume huru ya uchaguzi na Katiba Mpya kukubalika na zaidi ya 80% ya Watanzania .
Video.
View attachment 1871504
Msimamo wetu CHADEMA kuhusu kudhibiti maambukizi ya Covid 19 uko palepale,SIYO MBOWE YEYE KAZI YAKE MASLAHI TU RUZUKU COVID 19
Jamani Mbowe angeona hawa wamama wanavyomlilia asingethubutu kuiwaibia ruzuku ya chama chao. Kumbe yuko ndani kwa laana ya mambo mengi sana....Baraza la Wanawake la Chadema (BAWACHA) ambalo taarifa zinaonyesha kwamba ndio Baraza bora la wanawake Barani Afrika kwa sasa, limefika kwenye ubalozi wa Marekani nchini Tanzania kuchagiza kuachiwa kwa Mwamba wa siasa barani Afrika, Freeman Mbowe ambaye amesingiziwa ugaidi ili kumkomesha baada ya juhudi zake za kuhamasisha uwepo wa Tume huru ya uchaguzi na Katiba Mpya kukubalika na zaidi ya 80% ya Watanzania .
Video.
View attachment 1871504
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dikteta wako hujawahi kuacha kumtaja mpaka ujifungue mimba yake aliyokuchia.Msimamo wetu CHADEMA kuhusu kudhibiti maambukizi ya Covid 19 uko palepale,
na sasa Raisi wetu mpendwa Samia Suluhu Hassan amekubali Chanjo ianze kutumika sasa Wazee wetu na wale wenye Magonjwa Sugu watajikongoja waende kuchanjwa
huo ni Ushindi kwa Nchi yetu Maelfu ya Wazee na Wagonjwa wamefariki kabla ya kupata fursa hii kwa sababu tu ya Dikteta mmoja Chizi.
Ni Ushindi pia wa Chadema na kilichobakia ni upatikanaji wa Katiba Mpya ya Wananchi itakayotuvusha kwa miaka Hamsini ijayo.
Steve Biko,Nelson Mandela Walter Sisulu na wenzao wote waliitwa Wahuni Magaidi Vibaka na Majina yote ya kudhalilisha MwanadamuHUYO MHUNI MBOWE
KINA HALIMA MBONA WAMEWASHINDA KUWATOA BUNGENI ? HII NI MRADI WA MBOWE NDIYO MAANA WAPO MPAKA SASAMsimamo wetu CHADEMA kuhusu kudhibiti maambukizi ya Covid 19 uko palepale,
na sasa Raisi wetu mpendwa Samia Suluhu Hassan amekubali Chanjo ianze kutumika sasa Wazee wetu na wale wenye Magonjwa Sugu watajikongoja waende kuchanjwa
huo ni Ushindi kwa Nchi yetu Maelfu ya Wazee na Wagonjwa wamefariki kabla ya kupata fursa hii kwa sababu tu ya Dikteta mmoja Chizi.
Ni Ushindi pia wa Chadema na kilichobakia ni upatikanaji wa Katiba Mpya ya Wananchi itakayotuvusha kwa miaka Hamsini ijayo.
NA HAITAWEZEKANA GAIDI KAMA MBOWE AKAWA SHUJAA WA HATA HAPO HAI TU MWIZI GAIDI MLA RUZUKUSteve Biko,Nelson Mandela Walter Sisulu na wenzao wote waliitwa Wahuni Magaidi Vibaka na Majina yote ya kudhalilisha Mwanadamu
Lakini leo hii wote wameingia kwenye historia kuwa walikuwa Mashujaa wa Afrika na sio hawa Machizi wa leo waliolazwa huko Chato.
Kijana tujadiliane kwa Hoja[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dikteta wako hujawahi kuacha kumtaja mpaka ujifungue mimba yake aliyokuchia.
Makamo aligoma kutoa papuchi kwa gaidi namba moja barani afrikaWatakua hawakuwasiliana na makamu mwenyekiti wao hawa,
Makamu alisema "hawatohangaika na Mbowe, wanaiachia serikali imfanye itakavyo"
Hiyo ni dhana tu kama una ushahidi uweke hapa Jukwaani tuuone na tuusome.KINA HALIMA MBONA WAMEWASHINDA KUWATOA BUNGENI ? HII NI MRADI WA MBOWE NDIYO MAANA WAPO MPAKA SASA
uongo utakusaidia nini ?Jamani Mbowe angeona hawa wamama wanavyomlilia asingethubutu kuiwaibia ruzuku ya chama chao. Kumbe yuko ndani kwa laana ya mambo mengi sana....
SIYO DHANA MBONA KASHINDWA KUWATOA? RUZUKU ANAKULA NANI? KINA HALIMA KILA MWEZI WANAPELEKA MSHIKO KWA GAIDI NYIE MNAISHIA KUPIGA MAPAMBIO JFHiyo ni dhana tu kama una ushahidi uweke hapa Jukwaani tuuone na tuusome.