Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #141
Mungu wabariki wazunguNi kweli ni nchi huru, lakini inaitegemea Marekani kupitia usaid kupata condom. Hata chanjo iliozinduliwa leo ni msaada toka kwao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu wabariki wazunguNi kweli ni nchi huru, lakini inaitegemea Marekani kupitia usaid kupata condom. Hata chanjo iliozinduliwa leo ni msaada toka kwao.
lisu yupo tayari hata kuuza utu wake ili apate madaraka.Lissu kashasema hawataweka wakili, Lissu sijui ni lini ataacha kutoa kauli za kukurupuka. Naiona CDM imara chini ya Mwamba Abubakar kuliko CDM ya bwana Lissu
Hao hawajaenda kutochongea, wameenda kuonyesha hali hamisi ya nchi yetu. Hawa wanatakiwa kupongezwa na kila mpenda Utawala bora unaozingatia Demokrasia, Utawala wa Sheria na unaozingatia haki za raiaWamekwenda kutusemea kwa marafiki zetu....
Kila Mtu ana Uhuru wa kutoa mawazo yake na kusikilizwa(ikiwemo malalamiko)....
BAWACHA nao wana haki hiyo.....
Ila kubwa tu TANZANIA IS A SOVEREIGN COUNTRY....na isiyoishi katika kisiwa cha dunia yake.....
#NchiKwanza
#JMTMilele
#SiempreTanzania
wewe ni nani hasa ?wanatumika vibaya sana kwanini wasiwe bavicha
msaada au mkopo.Tambua kwamba Chanjo mil 1 za corona zimetokana na msaada wa Marekani
naulizawewe ni nani hasa ?
Ni moja ya juhudi muhimu.Baraza la Wanawake la Chadema (BAWACHA) ambalo taarifa zinaonyesha kwamba ndio Baraza bora la wanawake Barani Afrika kwa sasa, limefika kwenye ubalozi wa Marekani nchini Tanzania kuchagiza kuachiwa kwa Mwamba wa siasa barani Afrika, Freeman Mbowe ambaye amesingiziwa ugaidi ili kumkomesha baada ya juhudi zake za kuhamasisha uwepo wa Tume huru ya uchaguzi na Katiba Mpya kukubalika na zaidi ya 80% ya Watanzania .
Video.
View attachment 1871504
Mkuu ongeza na kenge kabisa...shwainnnn .... jitegemee jilishe kama wewe ni mwanamuke kweli.. NDEZI wa LUMUMBA
Sasa hizo ni hasira, ambazo mwisho wake ni hasara.Lissu kashasema hawataweka wakili, Lissu sijui ni lini ataacha kutoa kauli za kukurupuka. Naiona CDM imara chini ya Mwamba Abubakar kuliko CDM ya bwana Lissu
Ungekuwa unayaamini haya uliyoandika hapa leo, bila ya hiana... (samahani, nimekosa maneno ya kumalizia sentensi hiyo niliyoianza. Itafsiri vyovyote upendavyo mwenyewe).Wamekwenda kutusemea kwa marafiki zetu....
Kila Mtu ana Uhuru wa kutoa mawazo yake na kusikilizwa(ikiwemo malalamiko)....
BAWACHA nao wana haki hiyo.....
Ila kubwa tu TANZANIA IS A SOVEREIGN COUNTRY....na isiyoishi katika kisiwa cha dunia yake.....
#NchiKwanza
#JMTMilele
#SiempreTanzania
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Magaidi yana umoja sana
Sema kikundi cha Wanawake wa Kichaga kutoka Kimara suka wenye Asili ya watu wa Hai na Rombo wakiwa na Mabango mbele ya Ubalozi wa Marekani chini ya Mwamvuli wa Bawacha.Baraza la Wanawake la Chadema (BAWACHA) ambalo taarifa zinaonyesha kwamba ndio Baraza bora la wanawake Barani Afrika kwa sasa, limefika kwenye ubalozi wa Marekani nchini Tanzania kuchagiza kuachiwa kwa Mwamba wa siasa barani Afrika, Freeman Mbowe ambaye amesingiziwa ugaidi ili kumkomesha baada ya juhudi zake za kuhamasisha uwepo wa Tume huru ya uchaguzi na Katiba Mpya kukubalika na zaidi ya 80% ya Watanzania .
Video.
View attachment 1871504
Gaidi haachwi. Mbona nyie nyumbu hamtaki kuamini Uhuru wa Mahakama???Raisi wetu mpendwa Samia Suluhu Hassan tunakuomba umuachie Mwenyekiti wetu Freeman Mbowe bado tunamuhitaji sana.
Swali fikirishi .!Kwani Mbowe ameshtakiwa na Wamarekani? [emoji850]
Mandela pia aliitwa Gaidi nadhani wewe wakati huo ulikuwa bado hujazaliwa.Gaidi haachwi. Mbona nyie nyumbu hamtaki kuamini Uhuru wa Mahakama???