Kumekucha: BAWACHA watinga Ubalozi wa Marekani kushinikiza Freeman Mbowe aachiwe huru

Kumekucha: BAWACHA watinga Ubalozi wa Marekani kushinikiza Freeman Mbowe aachiwe huru

Wamekwenda kutusemea kwa marafiki zetu....

Kila Mtu ana Uhuru wa kutoa mawazo yake na kusikilizwa(ikiwemo malalamiko)....

BAWACHA nao wana haki hiyo.....

Ila kubwa tu TANZANIA IS A SOVEREIGN COUNTRY....na isiyoishi katika kisiwa cha dunia yake.....

#NchiKwanza
#JMTMilele
#SiempreTanzania
Hao hawajaenda kutochongea, wameenda kuonyesha hali hamisi ya nchi yetu. Hawa wanatakiwa kupongezwa na kila mpenda Utawala bora unaozingatia Demokrasia, Utawala wa Sheria na unaozingatia haki za raia
 
Baraza la Wanawake la Chadema (BAWACHA) ambalo taarifa zinaonyesha kwamba ndio Baraza bora la wanawake Barani Afrika kwa sasa, limefika kwenye ubalozi wa Marekani nchini Tanzania kuchagiza kuachiwa kwa Mwamba wa siasa barani Afrika, Freeman Mbowe ambaye amesingiziwa ugaidi ili kumkomesha baada ya juhudi zake za kuhamasisha uwepo wa Tume huru ya uchaguzi na Katiba Mpya kukubalika na zaidi ya 80% ya Watanzania .

Video.

View attachment 1871504
Ni moja ya juhudi muhimu.
WAPONGEZWE akina mama kwa juhudi hiyo.

Vipi, PoliCCM hawakuwa na taarifa?
 
Wamekwenda kutusemea kwa marafiki zetu....

Kila Mtu ana Uhuru wa kutoa mawazo yake na kusikilizwa(ikiwemo malalamiko)....

BAWACHA nao wana haki hiyo.....

Ila kubwa tu TANZANIA IS A SOVEREIGN COUNTRY....na isiyoishi katika kisiwa cha dunia yake.....

#NchiKwanza
#JMTMilele
#SiempreTanzania
Ungekuwa unayaamini haya uliyoandika hapa leo, bila ya hiana... (samahani, nimekosa maneno ya kumalizia sentensi hiyo niliyoianza. Itafsiri vyovyote upendavyo mwenyewe).
 
Baraza la Wanawake la Chadema (BAWACHA) ambalo taarifa zinaonyesha kwamba ndio Baraza bora la wanawake Barani Afrika kwa sasa, limefika kwenye ubalozi wa Marekani nchini Tanzania kuchagiza kuachiwa kwa Mwamba wa siasa barani Afrika, Freeman Mbowe ambaye amesingiziwa ugaidi ili kumkomesha baada ya juhudi zake za kuhamasisha uwepo wa Tume huru ya uchaguzi na Katiba Mpya kukubalika na zaidi ya 80% ya Watanzania .

Video.

View attachment 1871504
Sema kikundi cha Wanawake wa Kichaga kutoka Kimara suka wenye Asili ya watu wa Hai na Rombo wakiwa na Mabango mbele ya Ubalozi wa Marekani chini ya Mwamvuli wa Bawacha.

Ukipata mwanamke yoyote miongoni mwao mwenye asili tofauti tutakutoa usilipe tozo za Miamala😃.

Sanaa ikifanywa na Wasanii.
 
Uzuri wameandama kwa Amani, wamelia na wameomba, halafu wanarudi jioni Kimara, waoge, wapike na watimize majukumu ya leo usiku.
Kesi ya Mbowe haina dhamana.
 
Back
Top Bottom