MWALLA
JF-Expert Member
- Dec 12, 2006
- 16,952
- 10,500
shwainnnn .... jitegemee jilishe kama wewe ni mwanamuke kweli.. NDEZI wa LUMUMBAWamekwenda kutusemea kwa marafiki zetu....
Kila Mtu ana Uhuru wa kutoa mawazo yake na kusikilizwa(ikiwemo malalamiko)....
BAWACHA nao wana haki hiyo.....
Ila kubwa tu TANZANIA IS A SOVEREIGN COUNTRY....na isiyoishi katika kisiwa cha dunia yake.....
#NchiKwanza
#JMTMilele
#SiempreTanzania