Kumekucha: BAWACHA watinga Ubalozi wa Marekani kushinikiza Freeman Mbowe aachiwe huru

Kumekucha: BAWACHA watinga Ubalozi wa Marekani kushinikiza Freeman Mbowe aachiwe huru

Be informed hayo magaidi unayosema kushirikiana na Mbowe jana DPP kayaachia hana ushahidi.
sasa waliobam
ki wale watatu ndiyo watakula msoto na mwenyekiti maana hao ndiyo ushahidi upo hao walioachiwa kweli hawana ushahidi lakini mbowe ushahidi umekamilika mkuuu
 
Hongera sana, angalu unatambua kuwa Serikali hii ya awamu ya 6 haina upendeleo wa aiana yoyote ile, na ndio maaana leo hii tunaona hatua zina chukuliwa dhidi ya mhalifu yeyote yule bila kujali ni wa chama gani.
Huu sasa ndio utawala unao zingatia Sheria.
Nimekutukana tusi kubwa sn sema sijaliandika hapa
 
sasa waliobam
ki wale watatu ndiyo watakula msoto na mwenyekiti maana hao ndiyo ushahidi upo hao walioachiwa kweli hawana ushahidi lakini mbowe ushahidi umekamilika mkuuu
Mbowe sio mara ya kwanza kupewa kesi za kubumba kama hii, alipewa kesi ya madawa ya kulevya mkasema hivi hivi.
 
Baraza la Wanawake la Chadema (BAWACHA) ambalo taarifa zinaonyesha kwamba ndio Baraza bora la wanawake Barani Afrika kwa sasa, limefika kwenye ubalozi wa Marekani nchini Tanzania kuchagiza kuachiwa kwa Mwamba wa siasa barani Afrika, Freeman Mbowe ambaye amesingiziwa ugaidi ili kumkomesha baada ya juhudi zake za kuhamasisha uwepo wa Tume huru ya uchaguzi na Katiba Mpya kukubalika na zaidi ya 80% ya Watanzania .

Video.

View attachment 1871504
Wafanye hivi Kila siku...tuone Kama idadi itaongezeka au kupungua
 
Wamekwenda kutusemea kwa marafiki zetu....

Kila Mtu ana Uhuru wa kutoa mawazo yake na kusikilizwa(ikiwemo malalamiko)....

BAWACHA nao wana haki hiyo.....

Ila kubwa tu TANZANIA IS A SOVEREIGN COUNTRY....na isiyoishi katika kisiwa cha dunia yake.....

#NchiKwanza
#JMTMilele
#SiempreTanzania
Ni kweli ni nchi huru, lakini inaitegemea Marekani kupitia usaid kupata condom. Hata chanjo iliozinduliwa leo ni msaada toka kwao.
 
Baraza la Wanawake la Chadema (BAWACHA) ambalo taarifa zinaonyesha kwamba ndio Baraza bora la wanawake Barani Afrika kwa sasa, limefika kwenye ubalozi wa Marekani nchini Tanzania kuchagiza kuachiwa kwa Mwamba wa siasa barani Afrika, Freeman Mbowe ambaye amesingiziwa ugaidi ili kumkomesha baada ya juhudi zake za kuhamasisha uwepo wa Tume huru ya uchaguzi na Katiba Mpya kukubalika na zaidi ya 80% ya Watanzania .

Video.

View attachment 1871504
Toka Chacha Wangwe afariki watu wenye akili na wanaotumia akili wameisha CHADEMA
 
"Gongeni mtafunguliwa". Safi sana BAWACHA. Zidisheni juhudi hadi mkombozi aachiwe huru. Katiba mpya ni LAZIMA. Upepo wa katiba mpya hauzuiliki. "It is a current social and political necessity in Tanzania".
Katiba mpya ni jambo jema, but jitahidini kuitafuta kwa njia nzuri, siyo kuwapandisha vichaa kwenye hayo majukwaa yenu na kuanza kutukana mamlaka. Akina Baregu na Safari siwaoni kwa sasa kwenye chama chenu
 
26 July 2021
Dar es Salaam, Tanzania
KELELE ZIMEFIKA BALOZI ZA JUMUIYA ZA KIMATAIFA, AKINA MAMA KUPAZA SAUTI JUU UVUNJIFU WA DEMOKRASIA

BAWACHA ni moto, ujumbe umefika ulimwenguni. Aluta Continua Continua mapambano yanaendelea toka 2015 mpaka 2025

N.B
Video Kutoka maktaba: ikionesha ukubwa na oganaizesheni mahiri ya BAWACHA katika siasa za Tanzania

 
Uzuri wa USA yuko kimaslahi, nyie mnaenda kupeleka umbea wenzenu wananunua chanjo, Symbioni inarudi kazini...hizo kelele zenu hawawezi kuzisikia..... hamuon Rwanda, Uganda na pale Saudia kwa MBS..
 
Uzuri wa USA yuko kimaslahi, nyie mnaenda kupeleka umbea wenzenu wananunua chanjo, Symbioni inarudi kazini...hizo kelele zenu hawawezi kuzisikia..... hamuon Rwanda, Uganda na pale Saudia kwa MBS..
cde huwa hawalijui hili.
 
Kwani Marekani ndiyo walimkamata. Mtuhumiwa ameshafikishwa mahakamani, waache sheria ifuate mkondo wake.
Wangewekeza nguvu nyingi kwa mawakili wa utetezi ili kama kweli ameonewa na kusingiziwa basi wajenge hoja za kisheria za kuwashinda waliomshitaki.
Lissu kashasema hawataweka wakili, Lissu sijui ni lini ataacha kutoa kauli za kukurupuka. Naiona CDM imara chini ya Mwamba Abubakar kuliko CDM ya bwana Lissu
 
Back
Top Bottom