sasa waliobamBe informed hayo magaidi unayosema kushirikiana na Mbowe jana DPP kayaachia hana ushahidi.
ki wale watatu ndiyo watakula msoto na mwenyekiti maana hao ndiyo ushahidi upo hao walioachiwa kweli hawana ushahidi lakini mbowe ushahidi umekamilika mkuuu