cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 27,885
- 76,043
It seems you have inside information of the whole episode congratulations!
Mnatumika km mipira ya kiume wenzenu Wa nafanya yao mnakalia kupewa sijui buku 3 na vibando tu badilikeni njaa kari mwisho mtageuzwaKama unapata pesa yako kupitia studio sijui wapi kalia huko huko, hayanihusu.
Sibadili niliyoandika. Pita hukooooo
Umeyajua juu ya hayo kwa sababu wewe ni bonge la wizard.
Kila kitu na wakati wake na mwishoni kbsa mwa picha Makonda atashinda na picha itakwisha
Kweli kazi unayo ya kusukuma kitu kisa uvivu na wivu uliokujaaa. Makonda oyeeeeee
Kaa na hasira zako ukiona vipeee jipige vibao vya usoni. Viatu lazima mastudio uliyozoea ni yale yenye sakafu ya mabati. Mtajiju na mistudio yenu
Na bado unalojaribu kusema halisimami kwangu, askari nane si walisema na Mhe. Sasa sekunde gani wangejua ni yeye kama ingetokea...endelea kuwa mdaku wa uongo jifurahishe. Tena hapo akili zao wameonyesha utimamu wa kuweza hata kutunga uongo ambao kupambana ni kuwashinda. inachukuliwa ni kweli kwisha habari. hakuna lolote wanaweza kusema liliwatokea, hawana kesi ya kufungua kusingizia yaliyosemwa siku baada kuwa walikuwa hivi au vile wala kuombwa msamaha. Mtu akivamiwa hatoki kuongelea kihivyo hata wawe na nguvu ya ubavu wa wapi. Ha ha haaaaaaaa mmmmmh
Mwaka huu ndio nimejua Vita ya Madawa kulevya ni ngumu
Vipindi vya kipuuzi siangaliagi mimi
Kwan dodoma ipo kenya?aliitwa bungeni,hawezi kusubiri arudi dar awatangazie wakazi wake kuhusu ujio wa PM wa EthiopiaAlijisahau kuwa yeye ni kiongozi wa serikali lakini pia amejitegesha bomu akaanza kutafuta kiki na mabifu na wasanii bila hekima. Sasa angalia hao wadada wa Shilawadu wanamteta na kumsengenya na Press conference anaifanya Dodoma bila kujali mipaka ya utawala wake na wanafunzi wa chuo akiwa na mshauri wake Le Mutuz akirekodi.
Kipindi pendwa cha mzee wa kemiaHicho kipindi sijawahi kukiangalia hata cku 1
Haaaa wewe hujui shilawadu ni kipindi pendwa cha Mkulu?Mi nashangaa kwanini hawa wajinga hakuvunja miguu au kutolewa meno? watu mnapenda umbea...mnaletewa umbea mnakataa kwanini msipigwe tuu..?
Kweli jamaa linanuka mdomo na miguu akivua viatu ni balaa, hata ktk tv harufu tunaipata.Wakiwa katika Kipindi chao ambacho kilikuwa mubashara kabisa Mtangazaji muongozaji wa Kipindi pendwa na Watanzania wengi hadi Mheshimiwa Rais wetu JPM aitwae Soud Brown amekuwa kila mara akifumba Fumbo huku akicheka mno na mwenzake Kwissa.
Ukiwaangalia zaidi utagundua kuwa kwa yale yaliyowatokea wiki mbili zilizopita utagundua kuwa Kipindi chao Kizima cha leo ni kama vile na wao wameamua kulipiza Kisasi kwa waliyofanyiwa na ' Mvamizi ' Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Ndugu Paul Christian Makonda.
Mtangazaji Soud Brown amekuwa kila mara akifumba fumbo moja hilo hilo huku akilinogesha na Kiitikio na Mistari iliyopo katika Wimbo maarufu wa Ney wa Mitego wa WAPO huku kila mara akimuuliza mwenzie kuwa ' Je mlango wetu umefungwa? '.
Fumbo lenyewe la Mtangazaji Soud Brown ambalo si Siri kuwa amelielekeza ' makusudically ' kabisa kwa ' adui ' yao na ' mvamizi ' wao Makonda ni kama lifuatalo nalinukuu " Hata wanaovua Viatu na Soksi zao zinanuka Wapo........unasema Wapo.......hata wanaonuka Midomo pia Wapo......unasema Wapo.....Oya Kwissa umefunga mlango lakini?...... Jamani hata wanaonuka miguu wakivua Viatu vyao Wapo.......unasema Wapo......hata wanaonuka Midomo sana Wapo......unasema Wapo......Kaka angalia umefunga lakini mlango? Walinzi wapo gado?
Sasa Kazi imeanza na naomba mlio karibu na hawa Watangazi akina Soud Brown na Kwissa mtusaidie kutuulizia kutoka Kwao kuwa huyo anayenuka Soksi na Miguu akivua Viatu ni nani? Halafu na huyo anayenuka mdomo pia ni nani?
Chokoza wote lakini kamwe usichokoze na kuanzisha vita na Waandishi wa Habari kwani wana mbinu nyingi za kukuchafua, kukumaliza na ikibidi hata kukudhalilisha. Pole sana ' mvamizi ' Mkuu wa Clouds nadhani sasa Vita baina yako na wao ndiyo imeanza na imefika patamu mno.
Kuna Watu wanajua mno kulipiza Visasi hasa kwa waliyofanyiwa au mateso ya kimanyanyaso waliyopata.
Nawasilisha.
Sasa kama ni magonjwa yasiyotibika anadhalilikaje? Je wagonjwa waliopo mahospitalini na majumbani wanadhalilika? Kunuka mdomo au miguu ni tuhuma?Leo ndiyo nimeamini kuwa kumbe unaweza ukawa na Utajiri mkubwa na Madaraka yote pamoja na Ubabe lakini kumbe ukawa na ' Matatizo Kero ' ya kunuka Soksi, Miguu na Mdomo ambayo hayatibiki. Nadhani ipo haja ya wale wote wanaomzunguka na kuwa nae kila mara Kimajukumu watusaidie kumjibia hizi tuhuma kali kabisa ambazo zitazidi tu kumshusha hadhi, kumchoresha na kumdhalilisha Kijamii.
Kuumwa ni aibu?Kumbe bashite ananuka mdomo? Aise aibu kubwa sana hii
Sasa kama ni magonjwa yasiyotibika anadhalilikaje? Je wagonjwa waliopo mahospitalini na majumbani wanadhalilika? Kunuka mdomo au miguu ni tuhuma?
Kunuka ni uchafu tu,kama mtu anavaa sox za plastic na anavaa akiwa hajakausha miguu ni uchafu.Maelezo yako tu yanaonyesha na Wewe una tatizo kama analosemwa nalo ' Makonda '. Pole sana Mkuu katibiwe haraka.
Kwanini umshauri makonda pia badala yake unamkebehi?Maelezo yako tu yanaonyesha na Wewe una tatizo kama analosemwa nalo ' Makonda '. Pole sana Mkuu katibiwe haraka.