Kumekucha! Bifu la Watangazaji wa Shilawadu na RC Makonda lafikia patamu na limenoga sasa

Kumekucha! Bifu la Watangazaji wa Shilawadu na RC Makonda lafikia patamu na limenoga sasa

Umeyajua juu ya hayo kwa sababu wewe ni bonge la wizard.

Wala haiitaji kuwa na degree au kuwa mchawi ili kujua kuwa wewe ni mmoja wa misukule ya gwajima, maana haueleweki,,

au ushakatwa ulimi nn,,maana msukule akikatwa ulimi ni mtihani
 
Kila kitu na wakati wake na mwishoni kbsa mwa picha Makonda atashinda na picha itakwisha

Ni kweli Mkuu tunajua kabisa kuwa kuna siku tu picha litaisha ila je unataka kusema na huko kutema soksi, miguu na kunuka ' ndomo ' na kwenye kuna siku kutakwisha?
 
Kweli kazi unayo ya kusukuma kitu kisa uvivu na wivu uliokujaaa. Makonda oyeeeeee

Kaa na hasira zako ukiona vipeee jipige vibao vya usoni. Viatu lazima mastudio uliyozoea ni yale yenye sakafu ya mabati. Mtajiju na mistudio yenu

Na bado unalojaribu kusema halisimami kwangu, askari nane si walisema na Mhe. Sasa sekunde gani wangejua ni yeye kama ingetokea...endelea kuwa mdaku wa uongo jifurahishe. Tena hapo akili zao wameonyesha utimamu wa kuweza hata kutunga uongo ambao kupambana ni kuwashinda. inachukuliwa ni kweli kwisha habari. hakuna lolote wanaweza kusema liliwatokea, hawana kesi ya kufungua kusingizia yaliyosemwa siku baada kuwa walikuwa hivi au vile wala kuombwa msamaha. Mtu akivamiwa hatoki kuongelea kihivyo hata wawe na nguvu ya ubavu wa wapi. Ha ha haaaaaaaa mmmmmh

Kwa ' mahaba ' niue yako haya leo naweza nikathibitisha kuwa yawezekana Wewe ndiyo yule ' Beibe ' wake wa Kihaya sijui Kinyarwanda hivyo umeamua kujitoa mhanga kabisa uwe unajitahidi kila unapoona uzi wa kumsema Mumeo ' Jini mkata Kamba ' humu JF basi uwe unamtetea kwa nguvu zako zote. Safi sana Dada kazana, komaa ili ndoa yenu hiyo changa isiishie ukingoni hivi karibuni ila sisi ' masela ' huku bado tunaendelea ' kukomaa ' nae humu hadi siku atakapotolewa hapo alipo halafu tutamsaidia kumpa tiba ya kunuka soksi, miguu na ' ndomo '.
 
Mwaka huu ndio nimejua Vita ya Madawa kulevya ni ngumu

Kama Marekani tu ambako wana kila kitu na kila aina ya Ulinzi pamoja na Vifaa bila kusahau mbinu zote lakini mpaka sasa ' Drugs Barons ' wanawasumbua na hawajaweza kumaliza tatizo la matumizi na usafirishaji wa dawa za kulevya ndiyo ghafla ije tuweze sisi Watanzania tena tulio masikini wa ' kutukuka ' kabisa?
 
Vipindi vya kipuuzi siangaliagi mimi

Ningekuona una ' akili ' basi hata huu ' uzi ' nao usingeufungua kabisa au hata kuacha tu kuujibu ila kwa majibu yako haya ya ' Kinafiki ' nina uhakika tena wa 100% kuwa Wewe ni mmoja kati ya Watazamaji wazuri kabisa wa Kipindi cha SHILAWADU kama ambavyo hata Raia wetu namba moja Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli nae ni mpenzi wa ' kutukuka ' kabisa wa hicho Kipindi.
 
FB_IMG_14683241103097743.jpg
 
Alijisahau kuwa yeye ni kiongozi wa serikali lakini pia amejitegesha bomu akaanza kutafuta kiki na mabifu na wasanii bila hekima. Sasa angalia hao wadada wa Shilawadu wanamteta na kumsengenya na Press conference anaifanya Dodoma bila kujali mipaka ya utawala wake na wanafunzi wa chuo akiwa na mshauri wake Le Mutuz akirekodi.
Kwan dodoma ipo kenya?aliitwa bungeni,hawezi kusubiri arudi dar awatangazie wakazi wake kuhusu ujio wa PM wa Ethiopia
Yaani mkimuona Makonda mnajisikia kuharisha
 
Mi nashangaa kwanini hawa wajinga hakuvunja miguu au kutolewa meno? watu mnapenda umbea...mnaletewa umbea mnakataa kwanini msipigwe tuu..?
 
Mkuu aliyepungukiwa na akili huwaonea watu sana.(biblia)
 
Wakiwa katika Kipindi chao ambacho kilikuwa mubashara kabisa Mtangazaji muongozaji wa Kipindi pendwa na Watanzania wengi hadi Mheshimiwa Rais wetu JPM aitwae Soud Brown amekuwa kila mara akifumba Fumbo huku akicheka mno na mwenzake Kwissa.

Ukiwaangalia zaidi utagundua kuwa kwa yale yaliyowatokea wiki mbili zilizopita utagundua kuwa Kipindi chao Kizima cha leo ni kama vile na wao wameamua kulipiza Kisasi kwa waliyofanyiwa na ' Mvamizi ' Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Ndugu Paul Christian Makonda.

Mtangazaji Soud Brown amekuwa kila mara akifumba fumbo moja hilo hilo huku akilinogesha na Kiitikio na Mistari iliyopo katika Wimbo maarufu wa Ney wa Mitego wa WAPO huku kila mara akimuuliza mwenzie kuwa ' Je mlango wetu umefungwa? '.

Fumbo lenyewe la Mtangazaji Soud Brown ambalo si Siri kuwa amelielekeza ' makusudically ' kabisa kwa ' adui ' yao na ' mvamizi ' wao Makonda ni kama lifuatalo nalinukuu " Hata wanaovua Viatu na Soksi zao zinanuka Wapo........unasema Wapo.......hata wanaonuka Midomo pia Wapo......unasema Wapo.....Oya Kwissa umefunga mlango lakini?...... Jamani hata wanaonuka miguu wakivua Viatu vyao Wapo.......unasema Wapo......hata wanaonuka Midomo sana Wapo......unasema Wapo......Kaka angalia umefunga lakini mlango? Walinzi wapo gado?


Sasa Kazi imeanza na naomba mlio karibu na hawa Watangazi akina Soud Brown na Kwissa mtusaidie kutuulizia kutoka Kwao kuwa huyo anayenuka Soksi na Miguu akivua Viatu ni nani? Halafu na huyo anayenuka mdomo pia ni nani?

Chokoza wote lakini kamwe usichokoze na kuanzisha vita na Waandishi wa Habari kwani wana mbinu nyingi za kukuchafua, kukumaliza na ikibidi hata kukudhalilisha. Pole sana ' mvamizi ' Mkuu wa Clouds nadhani sasa Vita baina yako na wao ndiyo imeanza na imefika patamu mno.

Kuna Watu wanajua mno kulipiza Visasi hasa kwa waliyofanyiwa au mateso ya kimanyanyaso waliyopata.

Nawasilisha.
Kweli jamaa linanuka mdomo na miguu akivua viatu ni balaa, hata ktk tv harufu tunaipata.
 
Leo ndiyo nimeamini kuwa kumbe unaweza ukawa na Utajiri mkubwa na Madaraka yote pamoja na Ubabe lakini kumbe ukawa na ' Matatizo Kero ' ya kunuka Soksi, Miguu na Mdomo ambayo hayatibiki. Nadhani ipo haja ya wale wote wanaomzunguka na kuwa nae kila mara Kimajukumu watusaidie kumjibia hizi tuhuma kali kabisa ambazo zitazidi tu kumshusha hadhi, kumchoresha na kumdhalilisha Kijamii.
Sasa kama ni magonjwa yasiyotibika anadhalilikaje? Je wagonjwa waliopo mahospitalini na majumbani wanadhalilika? Kunuka mdomo au miguu ni tuhuma?
 
Sasa kama ni magonjwa yasiyotibika anadhalilikaje? Je wagonjwa waliopo mahospitalini na majumbani wanadhalilika? Kunuka mdomo au miguu ni tuhuma?

Maelezo yako tu yanaonyesha na Wewe una tatizo kama analosemwa nalo ' Makonda '. Pole sana Mkuu katibiwe haraka.
 
Wanawake wanakazi ya kuvumilia sana,ingekuwa dem ananuka ile kitu,basi angetoswa.
 
Maelezo yako tu yanaonyesha na Wewe una tatizo kama analosemwa nalo ' Makonda '. Pole sana Mkuu katibiwe haraka.
Kunuka ni uchafu tu,kama mtu anavaa sox za plastic na anavaa akiwa hajakausha miguu ni uchafu.
Na mdomoni kama hapigi mswaki vizuri,hasafishi ulimi au na meno kwa upande wa ndani.
Na kama pia hasafishi upande wa jui uliounga na pua unasemaje ni ugonjwa usiotibika?
Au kama mtu ameweka "tartar"kwenye meno yake kutokana na kutotumia mswaki sahihi kwa muda mrwfu,wakati tartar ni mabaki ya chakula,unasemaje ni ugonjwa wakati ni uchafu?
Dawa ni kuwa na mswaki sahihi na mara nyingi ni ile "HARD",asitumie "MEDIUM" wala "SOFT"
*NB AMUONE DENTIST KWANZA asafishwe meno na ashauriwe namna ya kupiga mswaki na aina ya mwaki(siyo brand,ni ugumu) kutokana na meno yake.
 
Back
Top Bottom