Kumekucha DSTV, Mkurugenzi wa vipindi Maisha Magic Bongo na msaidizi wake wasimamishwa kwa rushwa!

Kumekucha DSTV, Mkurugenzi wa vipindi Maisha Magic Bongo na msaidizi wake wasimamishwa kwa rushwa!

Lakini producer ndio anabaki na kitita kirefu.

Japo sidhani kama Azam tv Wana hiyo michezo... Wote tunaona namna maproducers wanavyorotate , akitoka huyu, kesho huyu.
Na wamelimit namba ya episodes...
Huko DStv mtu mmoja anaruka hewani mwaka mzima.
Azam kidogo wanaopiga ni watangazaji wa mpira ambao wanapokea kitita tka kwa wanasiasa wawasifie kipindi wanatangaza mpira, kumsifia mwanasiasa saa unatangaza mecho ya Simba na Waydad means anawafikia Watanzania milioni 28 kwa takwimu za TCRA na bado wageni hivyo hwa jamaa hullipwa kati ya 15-20 milion.
 
mshahara hautoshi...
Umenikosha ,basi nilipopata kasehemu ka kujishikiza dogo anayenifuatia akawa mbea mbea oooh kaka hatutunzi ,me hata kumuomba mia siwezi na ikumbukwe maokoto nilikua natuma sana sana tu .
Basi Mungu si Athumani dogo nae akapata kazi bwana bwanaa dogo hatumi hata mia home mpaka leo hii kisingizio hela haitoshi na ndio kwanza anatupiga vizinga
 
Umenikosha ,basi nilipopata kasehemu ka kujishikiza dogo anayenifuatia akawa mbea mbea oooh kaka hatutunzi ,me hata kumuomba mia siwezi na ikumbukwe maokoto nilikua natuma sana sana tu .
Basi Mungu si Athumani dogo nae akapata kazi bwana bwanaa dogo hatumi hata mia home mpaka leo hii kisingizio hela haitoshi na ndio kwanza anatupiga vizinga
naomba buku mkuu
 
Azam kidogo wanaopiga ni watangazaji wa mpira ambao wanapokea kitita tka kwa wanasiasa wawasifie kipindi wanatangaza mpira, kumsifia mwanasiasa saa unatangaza mecho ya Simba na Waydad means anawafikia Watanzania milioni 28 kwa takwimu za TCRA na bado wageni hivyo hwa jamaa hullipwa kati ya 15-20 milion.
Aiseee
Hatari sana
 
Kwanza na declare interest Kambogi ni mshikaji wangu-rafiki ni mmoja ya mabinti wastaarabu sana na wako poa tuu!

Lazima tukubali kabisa DSTV hadi inafika hapo watu hawa ambao wanaonekana wanakula rushwa au wamechukua rushwa wamekuwa na mchango mkubwa sana kufanya Watanzania kununua visimbusi vya DSTV na watu kufatilia DSTV na pia kuweka maudhui yanayaendana na watanzania maana zamani DSTV ilikuwa inaonekana ya matajiri ila kwa sasa imekuwa ya kila mtu hasa kwa ubunifu wa vipindi na hasa Tamthilia…

Kwa vyovyote vile washindani wa DSTV hawawezi kutulia kuona mshindani wao anazidi kuchanja mbunga namna ile …ni lazima watatafuta njia za kuwachafua watu ili watimize malengo yao…

Tamthilia kali mnazo ziona leo pale DSTV haziwi vile kwa sababu ya Lamatah tuu bali kuna watu nyuma hasa watu wa DSTV ambao huwa wanajaribu kuhakikisha standards za maudhui na kila kitu kiwe kizuri lakini bahati iliyo mbaya wale ambao wanaona kama kina Lamatah wanapendelewa wameona wawachafue watu ili wao washinde….

Watanzania hatupendi kuambiwa ukweli kabisa ,mtu anaambiwa kabisa hichi kitu bado hakijakidhi vigezo na hakimiti vigezo tunavyo vitaka hapa DSTV basi ana kasirika anaona ameombwa rushwa…Mtu anaambiwa rekebisha hili na hili hataki eti anakwenda kusema South Africa…

Jamani Maproducer wa Tz lazima mjue hakuna Msouth(Mzungu) ataweza kuwapa kipaumbele zaidi ya Mtanzania mwenzenu…Watazamaji wanataka kilicho bora lazima wakina Kanboge wahakikishe watanzania wanapata kila kizuri….

Kuna Tamthilia zimekatishwa hapo DSTV kwakuwa maproducer hawataki kufata standards wakishindwa wanakimbilia South Africa..na bahati nzuri huyu binti hajaanza kuandamwa leo maana kama kusimamishwa angeshasimamishwa toka mwaka jana maana watu wakiambiwa tu kipindi chako hakijakidhi tunayo yahitaji basi wao ni kwenda kusema south kwa kuwa wanajua kitika majungu watafanikiwa…

Hii vita ni zaidi ya hicho ulicho kiandika hii ni Vita ya wabongo wenyewe baadaya ya kuona juakali imefanikiwa basi kila mbongo hasa maproducer wanataka ile nafasi na hapa Lamatah ajiandae na Juakali yake….

Watanzania hasa maproducer wanapenda hela lakini hawako tayari kupika vitu vizuri wakiambiwa hiki kibaya basi wanaanza kumchukia yule anayetengeneza kitu kizuri badala ya kujirekebisha!

Mimi nilishamwambia Babra kama atafukuzwa DSTV haiwezi kuwa mwisho wa maisha na mambo yatasonga na atapata kazi nyingine maana uwezo anao ..Tanzania ni kiwanda cha majungu hasa ukifanikiwa….!
 
Kwanza na declare interest Kambogi ni mshikaji wangu-rafiki ni mmoja ya mabinti wastaarabu sana na wako poa tuu!

Lazima tukubali kabisa DSTV hadi inafika hapo watu hawa ambao wanaonekana wanakula rushwa au wamechukua rushwa wamekuwa na mchango mkubwa sana kufanya Watanzania kununua visimbusi vya DSTV na watu kufatilia DSTV na pia kuweka maudhui yanayaendana na watanzania maana zamani DSTV ilikuwa inaonekana ya matajiri ila kwa sasa imekuwa ya kila mtu hasa kwa ubunifu wa vipindi na hasa Tamthilia…

Kwa vyovyote vile washindani wa DSTV hawawezi kutulia kuona mshindani wao anazidi kuchanja mbunga namna ile …ni lazima watatafuta njia za kuwachafua watu ili watimize malengo yao…

Tamthilia kali mnazo ziona leo pale DSTV haziwi vile kwa sababu ya Lamatah tuu bali kuna watu nyuma hasa watu wa DSTV ambao huwa wanajaribu kuhakikisha standards za maudhui na kila kitu kiwe kizuri lakini bahati iliyo mbaya wale ambao wanaona kama kina Lamatah wanapendelewa wameona wawachafue watu ili wao washinde….

Watanzania hatupendi kuambiwa ukweli kabisa ,mtu anaambiwa kabisa hichi kitu bado hakijakidhi vigezo na hakimiti vigezo tunavyo vitaka hapa DSTV basi ana kasirika anaona ameombwa rushwa…Mtu anaambiwa rekebisha hili na hili hataki eti anakwenda kusema South Africa…

Jamani Maproducer wa Tz lazima mjue hakuna Msouth(Mzungu) ataweza kuwapa kipaumbele zaidi ya Mtanzania mwenzenu…Watazamaji wanataka kilicho bora lazima wakina Kanboge wahakikishe watanzania wanapata kila kizuri….

Kuna Tamthilia zimekatishwa hapo DSTV kwakuwa maproducer hawataki kufata standards wakishindwa wanakimbilia South Africa..na bahati nzuri huyu binti hajaanza kuandamwa leo maana kama kusimamishwa angeshasimamishwa toka mwaka jana maana watu wakiambiwa tu kipindi chako hakijakidhi tunayo yahitaji basi wao ni kwenda kusema south kwa kuwa wanajua kitika majungu watafanikiwa…

Hii vita ni zaidi ya hicho ulicho kiandika hii ni Vita ya wabongo wenyewe baadaya ya kuona juakali imefanikiwa basi kila mbongo hasa maproducer wanataka ile nafasi na hapa Lamatah ajiandae na Juakali yake….

Watanzania hasa maproducer wanapenda hela lakini hawako tayari kupika vitu vizuri wakiambiwa hiki kibaya basi wanaanza kumchukia yule anayetengeneza kitu kizuri badala ya kujirekebisha!

Mimi nilishamwambia Babra kama atafukuzwa DSTV haiwezi kuwa mwisho wa maisha na mambo yatasonga na atapata kazi nyingine maana uwezo anao ..Tanzania ni kiwanda cha majungu hasa ukifanikiwa….!
Mkuu, na mimi nadeclare interest kwamba wewe ni mshkaji wangu wa muda mrefu hapa JF! Haya twende kwa facts sasa…

Je, si kweli kwamba Barbara katika ushahidi uliopelekwa Afrika ya Kusini ni mojawapo ya Rushwa alizokuwa akipewa na Isike ili tamthilia yake ya Pazia ipewe nafasi pale DSTV?

Kuchafuliwa, majungu kazini hivyo vyote ni sehemu ya kazi. Kwenye riziki hapakosi fitina.
Ila kama na wewe ukiingia tamaa na kujiingiza kwenye rushwa hupaswi kumtupia yeyote lawama.
 
Azam kidogo wanaopiga ni watangazaji wa mpira ambao wanapokea kitita tka kwa wanasiasa wawasifie kipindi wanatangaza mpira, kumsifia mwanasiasa saa unatangaza mecho ya Simba na Waydad means anawafikia Watanzania milioni 28 kwa takwimu za TCRA na bado wageni hivyo hwa jamaa hullipwa kati ya 15-20 milion.
Unaonekana kufahamu mengi sana, ulipogusia suala la mapenzi baina ya wakurugenzi na watayarishaji ulipelekea mimi kurudi ‘chimbo’ kupata taarifa zaidi.
Asante
 
Huyu babra kambogi nimeanza kumsikia kitambo sana... Hata akipumzishwa ni sawa kabisa!

Ale pensheni na yeye!... Hizo nafasi utafikiri huwa wanabandikwa na Sumaku!!

Aisee hawatokagi wakiingia!...

Hata ndoa Zina afadhali huwa zinavunjika
 
Huyu babra kambogi nimeanza kumsikia kitambo sana... Hata akipumzishwa ni sawa kabisa!

Ale pensheni na yeye!... Hizo nafasi utafikiri huwa wanabandikwa na Sumaku!!

Aisee hawatokagi wakiingia!...

Hata ndoa Zina afadhali huwa zinavunjika
We unaweza toka mahali unapolipwa million 20 au zaidi kila mwezi 🤣 wakati asilimia 90% ya mishahara ya wafanyakazi nchini wanalipwa chini ya laki 7 za kitanzania. Na hapo bima, usafiri na mawasiliano wanabeba kampuni wewe hela yako inakaa tu.

Kigwangala mpaka leo anaomba arudishwe wizarani kwa ndumba au kwa sala. Unafanya mchezo na 20M nini.
 
We unaweza toka mahali unapolipwa million 20 au zaidi kila mwezi 🤣 wakati asilimia 90% ya mishahara ya wafanyakazi nchini wanalipwa chini ya laki 7 za kitanzania. Na hapo bima, usafiri na mawasiliano wanabeba kampuni wewe hela yako inakaa tu.

Kigwangala mpaka leo anaomba arudishwe wizarani kwa ndumba au kwa sala. Unafanya mchezo na 20M nini.
Hapo ni plus akienda shopping analudishiwa Hela anazitumia plus perdiem iliyoshiba
 
Back
Top Bottom