Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huyu mtu alikuwa mpuuzi sana tena sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Dola ikishazoea Kusaidia mwisho itajisahau na kudhani ndio yenye haki ya kutawala
😭😭🤬🥵🥵kadogosa yuko vizuriiii....dj walete katiii
View attachment 3178557
Waache wawazoeshe kuonja ukoleaji wa chumvi tu halafu wabweke kama mbwa koko baadaye!Dola ikishazoea Kusaidia mwisho itajisahau na kudhani ndio yenye haki ya kutawala
😂😂😂😂
Wakati mnanunua injini za dizeli kuvuta hiyo mikokoteni yenu; Wachina 👇kadogosa yuko vizuriiii....dj walete katiii
View attachment 3178557
Huku kwetu mtu anaweza kugombea urais wa nchi ila ety hawezi kuwa mwenyekiti wa chama 😂Huku kwetu mbowe hataki kung'atuka madarakani