MBITIYAZA nakupenda sana halafu nilikumisi mno baada ya kuona umekula Umeme / Ban hapa juzi kati. Sijui kwanini yaani nimetokea tu Kukudondokea Kimoyo na kuna siku huwezi amini niliota nakubaiolojia. Amini maneno yangu ninakupenda kupita maelezo. Kama vipi naomba tutiririke na tuserereke pamoja Kimalavidavi.