Hili ni somo la Psychology la kuweza kutambua watu na thinking capacity yao, maono, interest na umri vile vile.it is damn shame!!.......Uzi wa kijinga kama huu unakuwa na page mia ila uzi unaohusu viwanda unakuwa na page mbili!!![emoji32][emoji32][emoji32]
Ngoja nikusaidie kusema kuwa Membe amekubaliana na LOwa..saa..kuhamia CHAGA..DEMA kupepwrusha bendera ya urahisi. Hatua hii italeta uhai kwa ukawa kwani Membe atapata support ya familia ya msoga, prof Mwandosya, Lowassa na Mwinyi na Nape..Hata team hapa kazi tu watashida kwa ushindi mwembamba usiozidi 60%
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Mkuu Sema basi kabla kifurushi hakija expire
it is damn shame!!.......Uzi wa kijinga kama huu unakuwa na page mia ila uzi unaohusu viwanda unakuwa na page mbili!!![emoji32][emoji32][emoji32]
Wewe genta ujue mimi nakuheshimu sana? Umelaza watu macho, wengine tumeamka tunakuta clip ya Mange. Nikadhani ndo hilo. Sema basi au unataka mji? Basi Tarime.' Purely Talented and Charismatic Fella ' GENTAMYCINE.
Hivi genta umelaza watu macho sababu ya hii ya Mayanga? Hata wakigundua ana kinga watamfanyaje. Inabidi katiba ibadilishwe ndo wafukue makaburi.
Hili ni somo la Psychology la kuweza kutambua watu na thinking capacity yao, maono, interest na umri vile vile.
Wewe genta ujue mimi nakuheshimu sana? Umelaza watu macho, wengine tumeamka tunakuta clip ya Mange. Nikadhani ndo hilo. Sema basi au unataka mji? Basi Tarime.
Haha bro sema aiseeNarudia tena kusema Kumekucha je niseme nisiseme? Nasubiri ruhusa yenu tafadhali.
Nawakilisha.
Wewe genta ujue mimi nakuheshimu sana? Umelaza watu macho, wengine tumeamka tunakuta clip ya Mange. Nikadhani ndo hilo. Sema basi au unataka mji? Basi Tarime.
Sasa kama imefikia mahali hapa JF mpaka tubembelezane kwanza ndipo tuweze kutoa mada, basi tumefika pabaya!Narudia tena kusema Kumekucha je niseme nisiseme? Nasubiri ruhusa yenu tafadhali.
Nawakilisha.
Haha bro sema aisee
halafu nina shida na wewe
Sasa kama imefikia mahali hapa JF mpaka tubembelezane kwanza ndipo tuweze kutoa mada, basi tumefika pabaya!
Hapana! Nimesikitishwa tu na member reputable kama wewe na wenye kutegemewa hapa jukwaaani kuanza ku behave namna hiyo! Ila siyo mbaya. Wanasemaga watu wakianza kuzeeka hurudia tabia na matendo ya utotoni!Kwani nimekushikia Jiwe la Fatuma au AK 47 Kwamba lazima ufungue huu uzi wangu? Hopeless.
[emoji2][emoji2][emoji23][emoji23][emoji23]Ya Kunijeruhi tu au Kuniua kabisa?