Kumekucha jamani.....niseme nisiseme?

Kumekucha jamani.....niseme nisiseme?

Tena mkiniudhi nitasema mpaka Saa 7 usiku. au kama vipi sijui tufanye niiweke hiyo taarifa Saa 8 Kamili usiku Mkuu. Wewe unashaurije? au tufanye Saa 9 Kamili kabisa Mkuu ili nisubirie Kwanza Members wabaiolojiane huko Vitandani mwao na wakimaliza najua watakuwa wameshachoka hivyo Mimi nitawachangamsha kwa hii taarifa yangu.
Saa 12 asubuhi itapendeza....
 
Hili lizee linajiita Gent... ni la hovyo hovyo tu, ligomvi, lina maneno ya shobo japo ni lifukara sana. Ninalifahamu sana japo halinifahamu. Ni la hovyo na fukara kushinda Dr. wa 900 itapendeza.
 
Back
Top Bottom