Kibundi wa getto
JF-Expert Member
- Sep 28, 2013
- 455
- 877
Kwa wale waliozani ukimya wa Jerry Muro umetokana na kutii adhabu ya TFF imekula kwao. Jerry alipewa likizo na YANGA ya mwezi 1, na imeisha jana... Leo karudi kazini rasmi na kesho atakuepo kwenye mkutano. WAKIMATAIFAAA ... Mooooooooo