Kumekucha: kamati ya waamuzi (ZFF) yasema Simba ilipendelewa

Na singida nao walifanya kosa kufungwa.
 


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona hii ilikuwa Kamati ya UTO.
Chenye hasira ya kufurushwa nje ya mashindano.
Lakini nasikia walichezesha timu ya vijana akina.
Mauya
Kibwana
Romalisa
Mzimze
Kibabage
Moroko
Skudu
Msheri
Shekan
Nk.
 
Kule tanga Ali Salim alitoka kwenye mstari na kule Zanzibar je alitoka kwenye mstari? Dadeki mtu akifanya vzuri awatak kukubali mseme na kule zenj
Watu wanalalamikia kona, wewe unakuja na taarabu zako?
wawapi wewe?
 
Hilo lilikuwa wazi toka ile siku baada ya dakika za nyongeza kuisha.

Vipi kuhusu team ya APR malalamiko yao?

Mbeleko kabisa ile bora Singida F na APR zishikilie msimamo wa kutoshiriki hiyo mapendeleo cup!
 
Vipi kuhusu muda uliongezwa maana ilikuwa dakika 6 tukaenda mpaka dakika 8
 
Unachotakiwa kujua alipangalo mungu
Bin-adamu huwezi pangua
Over
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…