Yoav Gallant
JF-Expert Member
- May 23, 2023
- 2,122
- 4,699
Hilo kombe hakuna mwenye kulihitaji ndiyo maana wakapeleka timu ya watotoSimba inabidi kubeba kombe la mapinduzi ili kuwaumiza zaidi.
Umelipiga Makolokolo kwenye mshono kisawasawa [emoji382][emoji375][emoji142]Hilo kombe hakuna mwenye kulihitaji ndiyo maana wakapeleka timu ya watoto
Hiyo kamati haina tofauti na kamati za harusi tuKamati imeona mjue
Na singida nao walifanya kosa kufungwa.Hii makosa ya marefa huwa ni makubwa Sana sijui kwann huwa hayapewi uzito unaostahili. Hivi kweli kamati inaweza ikasema uzito WA Kosa alilofanya hautoshi kumpa adhabu? Hivi wanajua kama Hilo Kosa ndio limesababisha Singida kutolewa? Unasemaje Kosa halina uzito?
Lile tukio la mpira kushikwa na beki wa kati (Mangalo) wa Singida FG ndani ya eitini yadi wakati mchezo unaendelea walizungumzia nalo?Penant gan Mzee[emoji23]
Sasa mbona kelele zinakua nyingi hasa wale walioumaliza mwendo!?....Hilo kombe hakuna mwenye kulihitaji ndiyo maana wakapeleka timu ya watoto
Kamati ya waamuzi ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Zanzibar (ZFF), imesema kuwa Mwamuzi Nasri Salum hakustahili kuipa Simba kona iliyoifanya ipate bao la kusawazisha, katika mechi ya nusu fainali ya Kombe la Mapinduzi, wakati ikicheza na Singida Fountain Gate jana kwenye Uwanja wa Amaan.
Katika mchezo huo, Simba iliibuka na ushindi wa mikwaju ya penalti 3-2 baada ya timu hizo kutoka sare ya bao 1-1 katika muda wa kawaida wa mchezo.
Mwenyekiti wa kamati hiyo, Waziri Shekha amesema uamuzi wa kuipa Simba kona katika dakika za nyongeza, haukuwa sahihi na kwa mwamuzi huyo alifanya makosa, japo kamati hiyo haiwezi kumpa adhabu.
"Nilikwambia kwamba tutachunguza na tumekutana leo, tumebaini kwamba kulikuwa na makosa ya mwamuzi. Haikupaswa kuwa kona. Hakuna sehemu ambayo mpira ulichezwa na mchezaji wa Singida na kipa akaudakia nje, hivyo haikuwa sahihi kuwa kona,” amesema na kuongeza;
“Ni makosa ya kibinadamu na ndio kosa pekee tumeliona baada ya kupitia ripoti na marudio ila sehemu zingine zote alikuwaa sahihi. Uzito wa kosa alilofanya hautoshi kumpa adhabu refa huyo ukizingatia amekuwa akichezesha vyema mechi nyingi.”
Watu wanalalamikia kona, wewe unakuja na taarabu zako?Kule tanga Ali Salim alitoka kwenye mstari na kule Zanzibar je alitoka kwenye mstari? Dadeki mtu akifanya vzuri awatak kukubali mseme na kule zenj
Waamuzi wa kutoka Tanzania ni wapuuzi tu, na ndio wanatuchelewesha kwenye safari ya mafanikio.Kwenye Afcon hakuna mwamuzi toka Tanzania bara wala Zanzibar
Vipi kuhusu muda uliongezwa maana ilikuwa dakika 6 tukaenda mpaka dakika 8Kamati ya waamuzi ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Zanzibar (ZFF), imesema kuwa Mwamuzi Nasri Salum hakustahili kuipa Simba kona iliyoifanya ipate bao la kusawazisha, katika mechi ya nusu fainali ya Kombe la Mapinduzi, wakati ikicheza na Singida Fountain Gate jana kwenye Uwanja wa Amaan.
Katika mchezo huo, Simba iliibuka na ushindi wa mikwaju ya penalti 3-2 baada ya timu hizo kutoka sare ya bao 1-1 katika muda wa kawaida wa mchezo.
Mwenyekiti wa kamati hiyo, Waziri Shekha amesema uamuzi wa kuipa Simba kona katika dakika za nyongeza, haukuwa sahihi na kwa mwamuzi huyo alifanya makosa, japo kamati hiyo haiwezi kumpa adhabu.
"Nilikwambia kwamba tutachunguza na tumekutana leo, tumebaini kwamba kulikuwa na makosa ya mwamuzi. Haikupaswa kuwa kona. Hakuna sehemu ambayo mpira ulichezwa na mchezaji wa Singida na kipa akaudakia nje, hivyo haikuwa sahihi kuwa kona,” amesema na kuongeza;
“Ni makosa ya kibinadamu na ndio kosa pekee tumeliona baada ya kupitia ripoti na marudio ila sehemu zingine zote alikuwaa sahihi. Uzito wa kosa alilofanya hautoshi kumpa adhabu refa huyo ukizingatia amekuwa akichezesha vyema mechi nyingi.”