Ngoja tuoneTunaisubiri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja tuoneTunaisubiri
Ngoja tuone
"Agenda za kuwavutia watu".Vyama vya siasa havitegemewi kuwa na malaika. Uchafu wa mtu ni wake labda kama una baraka za chama chake.
"Vyama vya siasa vinategemewa tu kuwa na agenda za maanq zenye kuwavutia watu."
Agenda zetu za wazi za kutaka usawa, haki na maisha bora kwa watu haziwezi kumvumilia mwizi bila kujali alipo.
Kwamba kuna rundo la mapesa lilishia China? Tunataka ushahidi upi kuwaaibisha wenye kuhusika? Labda kama tunadhani kuna majini yalifanya hilo?
Kwani waliozikusanya pesa hizo wanasema walizipeleka wapi au kwa nini walizipeleka huko? Kwa nini kuoneana aibu au kulindana hapa? Kila mmoja na akaubebe msalaba wake mwenyewe.
Kwamba hatujui mlolongo wa utunzaji wa pesa za serikali? Kwamba hata kikinuka kama hivi nani wanapaswa kuwajibika hatuwajui? Labda kama ni shamba la bibi.
Ushahidi upi tunaoutaka?
Kwani mzee Lowassa na akina Msabaha waliachia ngazi kwa ushahidi upi? Wengine si walisema walikuwa mbangusilo tu?
Au list Ile pendwa of shame ilituathiri sisi nini? Haikusaidia kuwawajibisha watu ile?
Wana tuingieni chimbo. Wote waliohusika kwenye hili wakapate kuanikwa peupe.
Hata kama Mbowe, Lissu, Samia, Mpango, Luoga, Dotto, Zitto, Rungwe, wewe, mimi nk walihusika na waanikwe tu!
"Agenda za kuwavutia watu".
Muhimu ni kuchunga hizo agenda zinazowavutia watu zisije kugeuka mtego kwako, ukisema fulani yuko hivi, simamia hapo hapo, ili usijekubanwa na mazingira mbele ya safari ukajikuta unabadilika, hivyo kuwaacha wale watu uliowavutia kwa agenda zako wasijue la kufanya.
JINSI CHAMA CHA MAPINDUZI KINAVYOJUA KUJISAFISHA CHENYEWE NA HATIMAYE, KUKOSEKANA KWA HOJA MPYA AMBAYO MTANZANIA ATATAKA KUISIKIA, ALL GENIUS KNOW THIS....