Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikua ni bwana wa jack ntuyabaliwe pia..haha
alimharibu vip huyo mtoto wa Sitta??
Kama Serikali inaficha majina ya drugs lords basi bora tuwataje tu. kwa kupitia comments za watu, ma drugs lords wa TZ ni Riz_One. Kinje Ngombalu, Will Malecela, Shomari Kimbau... tuendelee na list.
Nakubaliana na wewe mkuu, vibinti vidogo lakin vinafanya visivyoweza yafanya. Vingenyopoka hapo vingekuja na advertise kibaooo ooh mara kinadrive BMW X6 ooh mara kina studio kumbe viuza poda vishenz vinahuska kwa kina katka kuua nguvu kazi za Taifa letu. Acha wakanyee debe hao watoto.Pumbav zao ikiwezekana wanyongwe kabisa mbwa hao, na serikali yetu nayo ishirikiane na Afrika Kusini ktk kuhakikisha kwamba hao wanaotajwa nao wanafikishwa kunakohusika. Tumechoka kuona watu wajingawajinga dizain yao malaya wanaichafua nchi yetu.
Magazeti ya Global Publisherz huwa ni wapuuzi sana, yaani wamejaa udaku udaku tu. Kama wanashindwa kutaja wahusika wanaandika habari ili iweje?. Masogange anapaswa kupewa adhabu kali ili iwe ni fundisho kwa Vijana wenye tamaa.
unafahamu vizui wewe ila unaewind tape tu!Yaani unamaanisha yule miss aliyeopolewa na Mwenyekiti na kumleta wajukuu mapacha?
vinara wa madawa ya kulevya hawawezi kuchukuliwa hatua na serikali yetu hii....hao vinara labda Mungu awaadibishe...Mwenyewe nashangaa kwann wasiseme ukweli na hao vinara wachukuliwe hatua?maana wanatesa sana vijana wetu,af wao hata hawapati madhara yoyote zaidi ya kujenga minyumba ya fahari na kuishi kama hakuna kitu kinachoitwa kifo,na Mungu awaadhibu
serikali imeshazizoea vilio vyetu ndo mana hawafanyi lolote.....kwani mambo mangapi yametokea kwenye nchi yetu na bado serikali imekaa kimya....vilio vyetu wananchi kwa serikali ni kama wimbo wa Taifa.....hivi hii serikali haisikii kilio chetu watz wazalendo!!! Serikali inabidi ichukue serious action now kulingana na hili hali tuwaone kweli wapo serious tumechoka na blah blah wtf??
vinara wa madawa ya kulevya hawawezi kuchukuliwa hatua na serikali yetu hii....hao vinara labda Mungu awaadibishe...
mi nina wasiwasi inawezekana mkuu wa kaya anahusika maana haiwezekani nchi inaharibika mikoni mwako wewe upo tu uunarandarandaserikali imeshazizoea vilio vyetu ndo mana hawafanyi lolote.....kwani mambo mangapi yametokea kwenye nchi yetu na bado serikali imekaa kimya....vilio vyetu wananchi kwa serikali ni kama wimbo wa Taifa.....
Magazeti ya Global Publisherz huwa ni wapuuzi sana, yaani wamejaa udaku udaku tu. Kama wanashindwa kutaja wahusika wanaandika habari ili iweje?. Masogange anapaswa kupewa adhabu kali ili iwe ni fundisho kwa Vijana wenye tamaa.
mi nina wasiwasi inawezekana mkuu wa kaya anahusika maana haiwezekani nchi inaharibika mikoni mwako wewe upo tu uunarandaranda