Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama iko ndani ya miaka 10 nyuma ni sehemu ya taarifa muhimu.Jamaa alishasema yeyote atakaetajwa basi ameshachunguzwa miaka 10 nyuma.Hivi hii habari ya mwaka gani inakula muda wangu?
..k....Njeki[emoji87]mtoto wa ngo'mba......,,
Makonda ana habari hizi ? Maana alituambia sijui kabla hujatajwa ushafuatiliwa miaka 10 nyumaMbona mambo yako wazi kabisa??
Mwenye Mzigo ni Kinje Ngombale Mwiru. Huyu anajulikana na narudia kusema tena ndiye aliyetumika kumuharibu mtoto wa Sitta ALIYEMZAA kwa mkewe mkubwa aitwaye Valeria(rip).
Huyu tena anashirikiana na Shomar Kimbau sijui kwanini watu wanawaonea aibu hawa watu.
Hawajatajwa. Makonda alikuwa awataje kwenye ile orodha yake ya episode 3 lakini baada ya bunge kumpiga stop imebidi atii amri ya bunge kwani ndiyo check and balances ya mihimili hii mitatu. Ndiyo hivyo tena, tusahau kutangaziwa majina hayo ya mapapa 97 wa biashara hii. Bunge kama wawakilishi wa wananchi wamepiga stop kuyatangaza majina ya washukiwa wa network ya madawa. Tumekosa pale patamu. Sijui kwa nini Makonda hakuanza na pale patamu. Angeanza na mapapa na kumalizia na wasanii/ wabebaji wa madawa hao + mateja, ingekuwa poa zaidi ila nchi ingetikisika na ku vibrate. Kwa busara za wabunge wetu hawakutaka nchi yetu i vibrate maana tunaweza pata madhara zaidi ya yale yaliyopatikana huko Kagera yaliyosababishwa na vibration ya eneo hilo.Sasa wametajwa
Mtoto wa kingungeKinje ni nani?
Na jana Makonda akasema inaweza fika mpaka awamu ya Saba (7), maana kuna mengi ambayo hatuyafahamu/hatuyajuiHawajatajwa. Makonda alikuwa awataje kwenye ile orodha yake ya episode 3 lakini baada ya bunge kumpiga stop imebidi atii amri ya bunge kwani ndiyo check and balances ya mihimili hii mitatu. Ndiyo hivyo tena, tusahau kutangaziwa majina hayo ya mapapa 97 wa biashara hii. Bunge kama wawakilishi wa wananchi wamepiga stop kuyatangaza majina ya washukiwa wa network ya madawa. Tumekosa pale patamu. Sijui kwa nini Makonda hakuanza na pale patamu. Angeanza na mapapa na kumalizia na wasanii/ wabebaji wa madawa hao + mateja, ingekuwa poa zaidi ila nchi ingetikisika na ku vibrate. Kwa busara za wabunge wetu hawakutaka nchi yetu i vibrate maana tunaweza pata madhara zaidi ya yale yaliyopatikana huko Kagera yaliyosababishwa na vibration ya eneo hilo.