Mcharo son
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 4,718
- 3,804
Waache wachezaji wachague viwanja vyao, sie huku nje hatujui ya ndani. Utajuaje kama hiyo kesi ilipelekwa kuna ambayo kuna agent wao wa kutekeleza wayatakayoWanajichelesha tu ,hii kesi itachukua miaka kibao
USSR
Simaanishi kuwa 600k inaweza kufacilitate UGAIDI, Laah Hasha , hata Mimi nastaajabu kumshtaki mtu kwa kosa la kutoa 600k kuufadhiri ugaidi! Hili nmeliona Tanzania TU!investment ya Ugaidi haiwezi kuwa duni kiasi hicho , fuatilia mafungu ya Alshabab
Ligaidi linasota likiwa hai.Anayesota kule kuzimu...
Mawakili wote huitwa kwa jina hilo la msomiMwenye orodha ya mawakili wasomi wa serikali ya Tanzania tafadhali.
Hapa ndipo mlipoifikisha hii nchi wajinga nyie! Hivi mnanufaika nini mnapowaombea mabaya wapinzani?Wanajichelesha tu ,hii kesi itachukua miaka kibao
USSR
hivi kuna mawakili wengine sio wasomi eenh?Mwenye orodha ya mawakili wasomi wa serikali ya Tanzania tafadhali.
Ukiona hivyo ujue kesi ina ushahidi wa kutosha kumtia ntuhumiwa hatiani. Mfano mzuri ni kesi ya Sabaya ambayo imeisha kwa muda mfupi. Isingekuwa ombi la Mawakili wa Serikali kuomba muda wa kuandika hitimisho, hukumu ingekuwa imetolewa.It is just delaying the proceedings
mwisho wa siku jamaa anazidi kuumia
wanasheria sometimes wanacheza ping pong na siye tunachekelea
Ndiyo...wapo wengine siyo Mawakili Wasomi.hivi kuna mawakili wengine sio wasomi eenh?
Ambao hawajapitia school of law na hawana mhuriNdiyo...wapo wengine siyo Mawakili Wasomi.
mkuu, sabaya aliweka pingamizi kupitia wakili wake , sema hakimu alilitupilia mbali!Mfano mzuri ni kesi ya Sabaya ambayo imeisha kwa muda mfupi.
Kwa hivyo basi, pingamizi zinaendelea kumweka mtuhumiwa kusota rumande
laki sita ni sawa na US DOLA ngapi ?Mawakili wa Freeman Mbowe ambaye ni Mwamba wa siasa za Tanzania, anayeshitakiwa na serikali ya Tanzania kwa makosa ya Ugaidi wa thamani ya hela za madafu shilingi laki 6 , Wameiwekea pingamizi kesi hiyo kwa madai kwamba Mahakama ya Uhujumu uchumi na Rushwa, ambako kesi hiyo imepelekwa haina uwezo wa kusikiliza kesi ya Ugaidi.
Mahakama imepokea pingamizi hilo na inatarajia kulitolea uamuzi kesho saa 3 asubuhi .
Mungu ibariki Chadema
View attachment 1918046
Ligaidi saa hizi linaliwa na mchwa!Ligaidi linaendelea kusota.
Mwendawazimu kaoza na kunuka.😄Ligaidi saa hizi linaliwa na mchwa!
Wanapataje uwakili ilihali si Wasomi? au ndio 10%Ndiyo...wapo wengine siyo Mawakili Wasomi.
Atatoka tu manyok* zakoLigaidi linaendelea kusota.
Matusi hako hayasaidii hata kidogo.Atatoka tu manyok* zako
Weka picha nyingine. Hii moja haitoshi.
Ligaidi linaendelea kusota. Likifa na lenyewe litaliwa na mchwa, usiwe na wasiwasi.Ligaidi saa hizi linaliwa na mchwa!